Jack Cliff hatanyongwa wala kufungwa

Jack Cliff hatanyongwa wala kufungwa

Bahalulu

Senior Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
106
Reaction score
23
Macau alipokamatwa Jack Cliff hawana adhabu ya kifo ila kwa kuwa imethibitika atafungwa jela kwa muda wa miaka 60 AU faini (not mentioned) hivyo tutegemee Lady Boss kurudi mtaani..
 
Kwa Nchi makini sana huyo hata kama hatafungwa ama vyovyote lakini akirudi Home tu anatakiwa akamatwe na kwenda mbombo haraka kila uchao ni kuchafua jina zuri la Tanzania
Kwenye Tv WANAJIFANYA WANA PESA KUMBE NI
SEMBE
 
Magari mazuri mbwembwe nyingi kumbe sembe.sasa sitini umeona mwakani wakati tata madiba alikaa 27 tu karudi Mzee itakuwa huyo was kula biskuti.
Huyo tumsomee hitma tu.
 
Tatizo mademu wa bongo wanapenda sana kula kwale bila jasho,na watakoma sana hii ni trail tu picha bado.
 
Ndo dawa yao hao wanataka maish mazur wanajfanya wao watot Wa mjin sio n bora wakamatwe tamaa za magar ya kfahar
 
Mmmmhhhh huyo bi dada ma bosi watamtolea faini nnavyodhani...ila bint kiziwi wameshindwa kumlipia.??
 
Nauliza turn hiviNdio yule alikuwa anaendesha renge new model nyeupe
 
Asamehewe,mandiko matakatifu yanasema samehe saba Mara sabini, rudi home hope uta change.
 
"tee teh teh tutaenda kumtoa teh teh..."hivyo ndivyo drug lords wa bongo wanavyo jadili hivi sasa cos macau hakuna sheria ya kunyonga.siku si nyingi ataonekana mitaa ya kinondoni aki beng na dinga yake.anaebisha should watch this space.chezea wakubwa nyie.lol
 
Macau alipokamatwa Jack Cliff hawana adhabu ya kifo ila kwa kuwa imethibitika atafungwa jela kwa muda wa miaka 60 AU faini (not mentioned) hivyo tutegemee Lady Boss kurudi mtaani..

This is VERY BAD news!
ANYONGWE!!
 
Aisee akirudi huyu ntaamini uchumi wa Tz unategemea sana hii kitu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom