Ivory Coast Elections: Who is the Winner?

Huyu Gbagbo kaleta mpya haijawahi tokea anachakachua baada ya matokeo kutangazwa ? Naskia Mbeki anamuomba akubali matokeo na kumpisha chaguo la watu.
 
Wakuu,

Huyu bwana ndiye aliyechukua makaratasi ya matokeo na kuyatupilia mbali kisha akatangaza ya kwake kua Gbagbo kashinda. Yaani afadhali ile ya CCM maana hii ni wazi bin kweupe ...na mtafanzani?



201012100958842_20.jpg

Mkuu Titchaz, hakun afadhali katika uchakachuaji na kuanza na kusema afadhali ya CCM ni kuhalalisha ubadhuli ambao unaidhalilisha Africa nzima. Ukakika ni kuwa uchakachuaji wa Ivory Coast umeonesha kuwa wenzetu wana Tume huru ya uchaguzi isiyokuwa tayari kubuluzwa na walafi wa madaraka kwa kumtangaza mshindi halali wa kura zilizopigwa na wananchi. Sisi hatuna tume huru tungekuwa nayo nafikiri tungeshuhudia hayahaya ya Ivory Coast ya Kina Shimbo et al kutangaza otherwise kama walivyoonesha wakati wa uchaguzi na kukaa nyuma ya pazia wakati walisema watu wasikatae matokeo ila walipoona CCM inakataa na kuyazuia kutoka wakaona ni fair game. Africa mpaka mwisho wa dunia tutaendelea kulaaniwa kwa ubinafsi na rushwa.

Kwa nini vyama tawala Africa havitaki kushindwa na kukataa matokeo halisi yanayopatikana kwa kura halali?. Kubwa kabisa ni kulinda masilahi binafsi ya genge la wezi na wala rushwa wanaoziongoza serikali hizi kwa hofu kuwa upinzani utawanyang'anya mali walizojilimbikizia na kuwashitaki, hivyo kwa wao ni bora nchi iangamie kuliko wao kuondoka katika power!
 
Typical Miafrika.....just when one makes a step forward there is another one waiting in the wings to take you two steps back!!! Shameful....
 
Afrika iko miaka 630 nyuma ya Ulaya kwenye hili, kanisa la Roma lilishapata Great schism September 1378 huko, wakachaguliwa maPapa wawili kwa wakati mmoja, sie mpaka leo tunacheza huko.

Ouattara aangalie wasije kumu-Abiola.
 
A Government Forms in Ivory Coast

IVORY-articleLarge.jpg


Rebecca Blackwell/Associated Press
United Nations soldiers from Jordan were at the Golf Hotel in Abidjan, Ivory Coast, on Sunday.


By ADAM NOSSITER

ABIDJAN, Ivory Coast - The winner of last week's presidential election set up a parallel government on Sunday while the incumbent refused to give up power, raising the stakes in a political standoff that threatens to tip this nation back into civil war.

Thabo Mbeki, the former South African president, arrived here Sunday to mediate the dispute, but there was little to suggest he would find middle ground, while militants on both sides were sending signals that a return to armed conflict in this West African nation could not be ruled out.

Alassane Ouattara, whose victory was recognized by the United States, France and African nations, formed a government in a lagoon-side hotel where the United Nations has stepped up security. His prime minister, Guillaume Soro, appointed an emergency cabinet of 13 ministers on Sunday night, his spokesman said.

Three armored personnel carriers guarded the Golf Hotel, where Mr. Ouattara's government assembled. A United Nations spokesman said that about 2,000 additional peacekeepers had been moved to Abidjan since the election and that they would guard the hotel as long as Mr. Ouattara needed them.

The incumbent president, Laurent Gbagbo, staged an elaborate inauguration ceremony at the presidential palace this weekend and appointed his own prime minister on Sunday, despite being declared the loser in last Sunday's presidential election by the country's top election official and the United Nations. He appears to have the support of the state bureaucracy and the military, which patrolled the streets of Abidjan on Sunday.

"Gbagbo is giving all the signals that he's not going to back down by any other means" but force, said Michael McGovern, a West Africa specialist at Yale. "This could be the nightmare scenario that would set the conditions for a real all-out war to take place."

"The fact is, Gbagbo is pushing so far, he really risks tipping the whole situation into renewed violence. It's absolutely double or nothing."

Mr. Mbeki met with both men on Sunday but gave no indication of the prospect for fruitful negotiations. He said the situation was "very serious" and warned against a return to the civil war that ended here in 2003.
"We're trying to talk to everybody," he said. "We're listening. That's our task here."

But Mr. Ouattara said there was nothing to discuss.

"I told President Mbeki I am the president of Ivory Coast, and it is in that capacity that I am receiving him," Mr. Ouattara said. He said he asked Mr. Mbeki to urge Mr. Gbagbo to "step down as he should after losing an election."

Abidjan, the nation's economic capital, was quiet on Sunday, with no renewal of Saturday's anti-Gbagbo demonstrations. Young activists in Mr. Ouattara's camp said they were under orders to hold back while diplomats tried to reach a resolution.

But tens of thousands of people demonstrated against Mr. Gbagbo on Sunday in the northern city of Bouaké, the stronghold of a 2002 rebellion that split the country into sovereign northern and southern zones, according to a spokesman for the rebels there and to news reports. Mr. Ouattara's prime minister, Mr. Soro, is also the secretary general of the rebel movement in the north, which continues to be well armed, according to analysts.

United Nations officials said they were pinning their hopes on Mr. Mbeki, who was representing the African Union as a special envoy here. The United Nations Security Council, which has yet to make a statement on the dispute, is expected to meet on the issue on Tuesday.

The military announced Sunday that on Monday it would reopen the country's borders, which have been sealed for over a week.

Foreign broadcasts and text messages were still jammed, however. Shops were closed, and economic life ground to a virtual standstill. Mounds of trash are piled up even in better-off neighborhoods, and groups of young men approach guests outside a downtown hotel, saying they are hungry and pleading for money.

Fires continued to smolder in the Treichville neighborhood here, where activists spoke Sunday of a brutal combined assault the day before by state security forces and militant youth gangs allied to Mr. Gbagbo. A doctor at the clinic in Treichville said about 116 were wounded, eight seriously, by what he described as "concussion grenades" used by the security forces.

The doctor, who would give his name only as Dr. Cissé, and others said pro-Gbagbo militants of a muscular student union, known by the French abbreviation Fesci, had acted in concert with the security forces. He and others said the Fesci members beat those deemed to be from the north.

"We are going to be demonstrating until Gbagbo leaves power," said Kadi Konate, a pro-Ouattara youth leader in Treichville.

Elsewhere in the city, other Ouattara activists concurred. "If this can't be resolved in a diplomatic manner, we'll just have to see," a top youth leader in the Ouattara camp, Ben Sylla, said Sunday in Adjamé, a stronghold of Mr. Ouattara in Abidjan, declining to specify what the next steps might be.
But he ruled out a power-sharing agreement.

"Gbagbo has lost the election," he said. "Everyone agrees: Gbagbo has lost."

Neil MacFarquhar contributed reporting from the United Nations.
 
Mataifa ya Afrika kupitia AU yanapaswa kumkemea Gbagbo kwa kitendo hicho,na yamlazimishe akubali kuachia madaraka hii ni aibu ya waafrika kwa ujumla.ila najua hilo halitafanyika kwa sababu viongozi wa Afrika sijui wanalindana au ni kuogopana.Tukumbuke hotuba ya hayati mwl JK Nyerere wakati wa mgogoro wa mipaka kati ya Tanzania na Uganda,aliwaomba viongozi wa Afrika angalau wamkemee Idd Amin lakini hakuna nchi ya Afrika iliyofanya hivyo.
 
Waungwana,
Hebu tutupie jicho katika siasa za kiafrica na wapi tuendapo, yanayojiri Ivory coast ni kama ndoto ila ndio hali halisi. Nchi moja, viapo viwili tofauti, maraisi wawili tofauti.
SWALI:
-Nini mustakabali wa nchi hiyo na haya yatokeayo.
-Nini tunajifunza kama taifa juu ya kuona yatokeayo kwa wenzetu.
-Nini chanzo cha hali kufikia hivi katika mataifa mengi ya kiafrika,TAMAA, UDIKTETA AMA?
-Je, tz yetu hii ipo siku nasi tutafikia huko? Maana tulipiga kura siku moja, cote d'voir ilikuwa pia ni kisiwa cha amani kama ilivyo Tanzania yetu...??
-Je, ni mifumo mibovu ndio chanzo cha yote yanayojiri kwetu Afrika ama...?
-Je, tume ya uchaguzi na mahakama...kwa mujibu wa ivory coast ni muhimili upi wenye mamlaka kamili ya kutangaza matokeo rasmi ya chaguzi nchini humo?
-Je, vita za wenyewe kwa wenyewe huanzishwa na akina nani kama si...viongozi?

Naomba kuwasilisha...
 
hakuna tofauti ............ndio yenyewe CCM WANGEFANYA HIVI NIMEIPENDA.ubabe mwanzo mwisho lazima wakubali ........................
 
Ni moja ya nchi zinazowakilisha mifano michache kati ya mingi inayohusu mapungufu ya Tume ya Uchaguzi pamoja na katiba ya nchi.Laurent Bagbo ktk kipindi cha utawala wake kuelekea uchaguzi ilimlazimu kuteua Tume ya Uchaguzi ya mpito kusimamia uchaguzi wa majuzi lakini hakufanya hvyo kwasababu zinazojulikana wazi.Kilichotokea baada ya uchaguzi ni kwamba mpinzani wake ameshinda kwa kura nyingi lakini tume kama ilivyo nchi nyingine za kiafrika ikatangaza kinyume.Matokeo yake ni mkanganyiko wa viapo viwili tofauti vya wakuu wa nchi na mwendelezo wa mifarakano iliyokuwapo hapo awali.Jumuiya ya kimataifa imetangaza kumtambua mpinzani wake kama Rais halali ilihali naye pia anang'ang'ania kubaki ikulu.Tusubiri yatakayojiri baada ya Thabo Mbeki kuwasili Abidjan
 
Waafrika hata wakiwa na katiba nzuri kiasi gani, we are very arrogant na we lack ustaarabu! Ustaarabu na kuheshimu watu wengine ni shida ya viongozi wa kiafrika! Na kwa hali ilivyo na unafiki wa wafadhili wa magharibi, there is no means we can change in the near future unless hao donors wa-change behavior yao, na wananchi wazalendo nao wa-rise up and take the right direction they would want to be led.
Vinginevyo waachie political sharks of this weak continent waendelee ku-vandalize!
 
waafrika hata wakiwa na katiba nzuri kiasi gani, we are very arrogant na we lack ustaarabu! Ustaarabu na kuheshimu watu wengine ni shida ya viongozi wa kiafrika! Na kwa hali ilivyo na unafiki wa wafadhili wa magharibi, there is no means we can change in the near future unless hao donors wa-change behavior yao, na wananchi wazalendo nao wa-rise up and take the right direction they would want to be led.
vinginevyo waachie political sharks of this weak continent waendelee ku-vandalize!

ikifika waakati wa kudai haki basi akuna budi damu za wachache zimwagike ili heshima ya watu iendelee kuwepo..so akuna shaka kijana atachukua nchi ni muda tu ngagbo atajua watu wamechoka..sauti ya watu sauti ya mungu
 
Gad ONEYA,
do you mean the majority of African countries are led by whites kwa interests zao na hata katika internal affairs?
Na does this defined to be the source of all internal conflicts zitokeazo katika bara letu hili la kiafrica?
 
Gad ONEYA,
do you mean the majority of African countries are led by whites kwa interests zao na hata katika internal affairs?
Na does this defined to be the source of all internal conflicts zitokeazo katika bara letu hili la kiafrica?

Thats true nakuunga mkono kaka na tusipoangalia sisi pia tutaingia kwenye mtego wa capitalist powers. Take care
 
In short kilichotekea kule ni kama bongo baada ya kupiga kura, tofauti ni kuwa cc hatukuchapana ila wao wanaelekea huko!
 
Watanzania tumejawa na huruma mno haya mambo yaliyotokea Ivory Coast hayana tofauti kabisa na yaliyowakumba watanzania wenye Kujiita ni watu wa Amani. Sema tofauti Watanzania ni watu wa kudharau na kusahau haraka!
 
Ni kweli yaliyotokea huko yaweza tokea huku Tz. Ni kweli watz ni wapole, lakini upole huu una mwisho wake. Sipendi yatokee kwenye nchi yangu Tz lakini sina uwezo wa kuyazuia
 
Back
Top Bottom