Miwatamu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2012
- 1,450
- 487
wana Jamvi habari,
Nimeamua kuandika thread hii baada ya kukutana na lalamiko la mwana jamvi mwenzetu akimlalamikia mtangazaji huyu kuwa anajiona awapo kwenye kazi yake ya utangazaji.
Ukweli ni kuwa; mbali ya pozi zake awapo mbele ya kamera, lakini ni mtangazaji kati ya wachache tulionao hapa nchini anayeweza kutengeneza sentensi na kujua jinsi ya kuifikishwa kwa jamii na kila mtu akaelewa kile anachokisema. kwa maana nyingine, ni kuwa huyu ni mtangazaji mahiri sdana katika fani hii.
Labda kwako wewe unayekereka na aina ya utangazaji wake, nitakuongezea watangazaji wengine wa aina yake kwa uchache;
Salim Kikeke - BBC
Samadu Hassan - Star
Kwa ufafanuzi huu naomba niseme kuwa hoja ya ndugu yangu hapa chini haina mashiko.
By. Mtazamaji huru.
TV Huyu mtangazaji Wa star tv
Wanajamvi,Leo natoa dukuduku langu hasa kwa mtangazaji VYONA KAMUNTU Wa star Tv,apunguze malingo na kujisikia pale anapokuwa Anatangaza pale Luninga ya star Tv,kwani anajibinuabinua utadhani kuna Mtu Ana mlingishia sura yake,Ajirekebishe ,mbona watangazaji wenzake wanatangaza vema?au anajiona kuwa yeye ni mrembo zaidi?Anakera sana huyu Dada,
Nimeamua kuandika thread hii baada ya kukutana na lalamiko la mwana jamvi mwenzetu akimlalamikia mtangazaji huyu kuwa anajiona awapo kwenye kazi yake ya utangazaji.
Ukweli ni kuwa; mbali ya pozi zake awapo mbele ya kamera, lakini ni mtangazaji kati ya wachache tulionao hapa nchini anayeweza kutengeneza sentensi na kujua jinsi ya kuifikishwa kwa jamii na kila mtu akaelewa kile anachokisema. kwa maana nyingine, ni kuwa huyu ni mtangazaji mahiri sdana katika fani hii.
Labda kwako wewe unayekereka na aina ya utangazaji wake, nitakuongezea watangazaji wengine wa aina yake kwa uchache;
Salim Kikeke - BBC
Samadu Hassan - Star
Kwa ufafanuzi huu naomba niseme kuwa hoja ya ndugu yangu hapa chini haina mashiko.
By. Mtazamaji huru.
TV Huyu mtangazaji Wa star tv
Wanajamvi,Leo natoa dukuduku langu hasa kwa mtangazaji VYONA KAMUNTU Wa star Tv,apunguze malingo na kujisikia pale anapokuwa Anatangaza pale Luninga ya star Tv,kwani anajibinuabinua utadhani kuna Mtu Ana mlingishia sura yake,Ajirekebishe ,mbona watangazaji wenzake wanatangaza vema?au anajiona kuwa yeye ni mrembo zaidi?Anakera sana huyu Dada,