Ivi wewe unatabia gani...?!

ha ha ha mkuu huoni hujulikani kwa sababu ya kutoonekana unapoishi? hapa inazungumziwa ile hali ya mtu kuwepo lakini hajichanganyi kabisa na wenzake hivyo inakuwa ngumu kumjua. hii yako hapana mkuu sijaichukulia kama tabia yako. ni ratibu yako tuu kutoka na kuingia unapoishi iko tait
yapiliiii....ninapoo kaaa sasaa nina miak miwili hakunaa m2 anae nijuaa zaidi ya kunionaa,natokaaa kumi na mbiliii asubui na rudii 5 usiku.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom