EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
kuna jama alikuwa anamlalamikia dem wake ile mbaya MAMBO YALIKUWA HIVI.
Jamaa: kwanini umeniita nije kwenu wakati we haupo !
Dem: jamani dia si uliniambia siku kukiwa hamna mtu nyumbani ndo nikuite sasa nimekosea nini hun !
Jamaa: kwanini umeniita nije kwenu wakati we haupo !
Dem: jamani dia si uliniambia siku kukiwa hamna mtu nyumbani ndo nikuite sasa nimekosea nini hun !