ivi kuna ukweli hapa?

itategemeana na kazi unayofanya
why do u think walimu wanaonekana ni 'better wives'?????
jiulize hilo....
Duh! Itabidi nitafakari. Mimi nilikusudia kuoa afande mmoja pale Lugalo kwao Nachingwea.
Mimi nilitoroka la 7 yeye kamaliza chuo. Mimi ninauza nyanya kwenye kibaraza yeye yuko kikosi cha mizinga.
Kwa hivyo nitarajie nini? Push-ups na kuamshwa 9 za usiku kwa ligwalide?
 
I tell you there is a big clear difference.
I wont go into details but kuna ukweli % kubwa tu

tofauti ipo moja tu............wakati wa kushusha mzigo, engineer analia ki mathematics wakati ngwine wanapiga makelele haooo
 
xaveri rwaitama kasoma nini
lazima ungesomea kama ya huyo

Halafu ngoja nikuulize....hivi kwa mfano, kulingana na michango yangu hapa JF, ningekuwa nami nimebahatika kusoma hadi chuo kikuu na kupata lidigrii, unadhani ningekuwa nimesomea fani gani?
 
Inasemekana wanaume walisoma masomo ya kujieleza na hawa waliosoma masomo magumu magumu kama engineering n.k.. Huwa wana urgue tofauti na pia hata katika ku-solve matatizo wana tofautiana.

Nauliza sababu kuna shosty wangu alikuwa na boyfriend wake engineer sasa wamemwagana, sasa kapata mngwini ndio ananiambia kua wana tofautiana kabisa. Anajuta anamkumbuka Mpennzi wake wa awali.

Je hii ina apply pia na kwa ladiez or? naomba kuuliza ili jaman.

kwanza shosty wako mwambie kila mtu au watu wanatofautiana kwa kila kitu au kwa lugha nyngne wanaume hawafanan kama wanawake wanavyofanana hvyo mwambie kama jamaa wa kwanza alikuwa mtundu kwake hai usihan na fan za uinjinia au uhasibu ni utundu wa mtu tuu na alikolea kwa jamaa zaid ya huyu wa sasa
 
Duh! Itabidi nitafakari. Mimi nilikusudia kuoa afande mmoja pale Lugalo kwao Nachingwea.
Mimi nilitoroka la 7 yeye kamaliza chuo. Mimi ninauza nyanya kwenye kibaraza yeye yuko kikosi cha mizinga.
Kwa hivyo nitarajie nini? Push-ups na kuamshwa 9 za usiku kwa ligwalide?

halafu we nilijua ni demu kumbe kidume.
 
Back
Top Bottom