Ivi kuna hasara gani ukifanya haya

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,107
18,323
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe kujua inakuaje. Si wote najua kuna watu wanafanya kazi yao vizuri hata wake zao wanawahitaji 24 hrs. Mume akisafiri mke hana raha, akichelewa hata kama aetoa taarifa bado hata lala hadi arudi.

Fikiria majibu yako ktk maswali yafuatayo na kama hata nusu ni siyo kazi ipo. naweza kua nakosea kwa malezi niliyo ppewa lakini ukweli utajulikana.

1. Ni mara ngapi umemwamusha mkeo kwa busu asubuhi??
2. Ni mara ngapi umefua nguo yoyote ya familia iwe ya mtoto au ya mkeo, najua upo buse lakini mbona baa hukosi??
3. Ni mara ngapi mkeo akikukuta nyumbani umewahi mpokea walau beg lake tuu??
4. Ni mara ngapi umemtukana mkeo au umedharau bele ya watoto au hadi majirani wanajua??
5.Ni mara ngapi ummemsaidia mkeo hata kusogeza kisu jikoni wengine hata wajawazito wanafanya kazi wakati jamaa anacheck manunited??
6. Ni mara ngapi umekaa na wanao kuwambia habari nzuri za mkeo??
7. Ni mara ngapi umeshiriki usafi wa nyumbani??

Tusiwalaumu wanapo kosea, tuwaonye kwa upole na kuogopa. Watatuheshimu kupita upepo.

SuperStock_1785-40454.jpg
 
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe kujua inakuaje. Si wote najua kuna watu wanafanya kazi yao vizuri hata wake zao wanawahitaji 24 hrs. Mume akisafiri mke hana raha, akichelewa hata kama aetoa taarifa bado hata lala hadi arudi.

Fikiria majibu yako ktk maswali yafuatayo na kama hata nusu ni siyo kazi ipo. naweza kua nakosea kwa malezi niliyo ppewa lakini ukweli utajulikana.

1. Ni mara ngapi umemwamusha mkeo kwa busu asubuhi??
2. Ni mara ngapi umefua nguo yoyote ya familia iwe ya mtoto au ya mkeo, najua upo buse lakini mbona baa hukosi??
3. Ni mara ngapi mkeo akikukuta nyumbani umewahi mpokea walau beg lake tuu??
4. Ni mara ngapi umemtukana mkeo au umedharau bele ya watoto au hadi majirani wanajua??
5.Ni mara ngapi ummemsaidia mkeo hata kusogeza kisu jikoni wengine hata wajawazito wanafanya kazi wakati jamaa anacheck manunited??
6. Ni mara ngapi umekaa na wanao kuwambia habari nzuri za mkeo??
7. Ni mara ngapi umeshiriki usafi wa nyumbani??

Tusiwalaumu wanapo kosea, tuwaonye kwa upole na kuogopa. Watatuheshimu kupita upepo.

View attachment 39332
Hii ndio Ticket ya kuanza kutawaliwa na mwanamke!
 
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe kujua inakuaje. Si wote najua kuna watu wanafanya kazi yao vizuri hata wake zao wanawahitaji 24 hrs. Mume akisafiri mke hana raha, akichelewa hata kama aetoa taarifa bado hata lala hadi arudi.

Fikiria majibu yako ktk maswali yafuatayo na kama hata nusu ni siyo kazi ipo. naweza kua nakosea kwa malezi niliyo ppewa lakini ukweli utajulikana.

1. Ni mara ngapi umemwamusha mkeo kwa busu asubuhi??
2. Ni mara ngapi umefua nguo yoyote ya familia iwe ya mtoto au ya mkeo, najua upo buse lakini mbona baa hukosi??
3. Ni mara ngapi mkeo akikukuta nyumbani umewahi mpokea walau beg lake tuu??
4. Ni mara ngapi umemtukana mkeo au umedharau bele ya watoto au hadi majirani wanajua??
5.Ni mara ngapi ummemsaidia mkeo hata kusogeza kisu jikoni wengine hata wajawazito wanafanya kazi wakati jamaa anacheck manunited??
6. Ni mara ngapi umekaa na wanao kuwambia habari nzuri za mkeo??
7. Ni mara ngapi umeshiriki usafi wa nyumbani??

Tusiwalaumu wanapo kosea, tuwaonye kwa upole na kuogopa. Watatuheshimu kupita upepo.


Nimependa saana post yako.. ila hio in blue ni wishful thinking kwa sie wanawake in most cases.. atleast kwa hawa waume zetu wa kiswahili...
 
Nimependa saana post yako.. ila hio in blue ni wishful thinking kwa sie wanawake in most cases.. atleast kwa hawa waume zetu wa kiswahili...

Mkwe vitu hivi sio sheria, na wala havifanywi kwa sababu ni zamu, Ili mambo yawe matamu lazima ufanye vitu tofauti. Unajua mumeo akikufulia gauni lako walau once, si tukio ambalo halita toka kichwani mwako. Huu ni mfano tuu nafikiri. Binti yako atakusimulia one day.
 
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe kujua inakuaje. Si wote najua kuna watu wanafanya kazi yao vizuri hata wake zao wanawahitaji 24 hrs. Mume akisafiri mke hana raha, akichelewa hata kama aetoa taarifa bado hata lala hadi arudi.

Fikiria majibu yako ktk maswali yafuatayo na kama hata nusu ni siyo kazi ipo. naweza kua nakosea kwa malezi niliyo ppewa lakini ukweli utajulikana.

1. Ni mara ngapi umemwamusha mkeo kwa busu asubuhi??
2. Ni mara ngapi umefua nguo yoyote ya familia iwe ya mtoto au ya mkeo, najua upo buse lakini mbona baa hukosi??
3. Ni mara ngapi mkeo akikukuta nyumbani umewahi mpokea walau beg lake tuu??
4. Ni mara ngapi umemtukana mkeo au umedharau bele ya watoto au hadi majirani wanajua??
5.Ni mara ngapi ummemsaidia mkeo hata kusogeza kisu jikoni wengine hata wajawazito wanafanya kazi wakati jamaa anacheck manunited??
6. Ni mara ngapi umekaa na wanao kuwambia habari nzuri za mkeo??
7. Ni mara ngapi umeshiriki usafi wa nyumbani??

Tusiwalaumu wanapo kosea, tuwaonye kwa upole na kuogopa. Watatuheshimu kupita upepo.

View attachment 39332

hapo kwenye red pagumu, akikuzoea itakua soo
 
Kwa wanaume wa kiafrica hayo mambo ni magumu mno kufanyika
may be kwa busu tuu
Ila biashara ya wewe uko home na mkeo anakuja baada ya wewe kuwa home na unampokea bag mhhh
haya mambo haya kwa imani za wanaume wengi ndo yanaleta kutawaliwa au kusema fulani katawaliwa na mkewe
 
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe kujua inakuaje. Si wote najua kuna watu wanafanya kazi yao vizuri hata wake zao wanawahitaji 24 hrs. Mume akisafiri mke hana raha, akichelewa hata kama aetoa taarifa bado hata lala hadi arudi.

Fikiria majibu yako ktk maswali yafuatayo na kama hata nusu ni siyo kazi ipo. naweza kua nakosea kwa malezi niliyo ppewa lakini ukweli utajulikana.

1. Ni mara ngapi umemwamusha mkeo kwa busu asubuhi??
2. Ni mara ngapi umefua nguo yoyote ya familia iwe ya mtoto au ya mkeo, najua upo buse lakini mbona baa hukosi??
3. Ni mara ngapi mkeo akikukuta nyumbani umewahi mpokea walau beg lake tuu??
4. Ni mara ngapi umemtukana mkeo au umedharau bele ya watoto au hadi majirani wanajua??
5.Ni mara ngapi ummemsaidia mkeo hata kusogeza kisu jikoni wengine hata wajawazito wanafanya kazi wakati jamaa anacheck manunited??
6. Ni mara ngapi umekaa na wanao kuwambia habari nzuri za mkeo??
7. Ni mara ngapi umeshiriki usafi wa nyumbani??

Tusiwalaumu wanapo kosea, tuwaonye kwa upole na kuogopa. Watatuheshimu kupita upepo.

View attachment 39332

Mkuu mara nyingi tu aisee.....

Ila umenifurahisha sana.............. kuna jamaa alimkumbatia mkewe watoto wakaanza kulia, kumbe walizoea kuona majamaa yanatandikana migumu na mieleka
 
Mkuu MTM kweli kabisa
Kuna familia baba na mama kukaa pamoja mezani na watoto ni issue sana
Hata baba kumsifia mama kwa watoto bado ni nadra sana
 
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe kujua inakuaje. Si wote najua kuna watu wanafanya kazi yao vizuri hata wake zao wanawahitaji 24 hrs. Mume akisafiri mke hana raha, akichelewa hata kama aetoa taarifa bado hata lala hadi arudi.

Fikiria majibu yako ktk maswali yafuatayo na kama hata nusu ni siyo kazi ipo. naweza kua nakosea kwa malezi niliyo ppewa lakini ukweli utajulikana.

1. Ni mara ngapi umemwamusha mkeo kwa busu asubuhi??
2. Ni mara ngapi umefua nguo yoyote ya familia iwe ya mtoto au ya mkeo, najua upo buse lakini mbona baa hukosi??
3. Ni mara ngapi mkeo akikukuta nyumbani umewahi mpokea walau beg lake tuu??
4. Ni mara ngapi umemtukana mkeo au umedharau bele ya watoto au hadi majirani wanajua??
5.Ni mara ngapi ummemsaidia mkeo hata kusogeza kisu jikoni wengine hata wajawazito wanafanya kazi wakati jamaa anacheck manunited??
6. Ni mara ngapi umekaa na wanao kuwambia habari nzuri za mkeo??
7. Ni mara ngapi umeshiriki usafi wa nyumbani??

Tusiwalaumu wanapo kosea, tuwaonye kwa upole na kuogopa. Watatuheshimu kupita upepo.

View attachment 39332
1. ni mara ngapi umeamshwa na mkeo kwa busu asubuhi
2.ni mara ngapi chakula kikiisha ndani mkeo anakwenda kununua kimya kimya bila ya kuomba pesa kwako?, hata kama yeye ana kazi yake??
2. ni mara ngapi umeambiwa na mkeo kuwa wewe ndo kazi yako kumlea na kumtunza yeye? hata kama yeye anakazi?
3. ni mara ngapi watoto wako wakileta usumbufu umewai kuwaambia " nitawasemea kwa mama yenu akirudi"?
4. ni mara ngapi mkiwa mmeishiwa au mna shida ya pesa/chochote mke wako amekuwa wakwanza kwenda kukopa?

mwisho nakuomba waache wanawake waseme wanachotaka na wasichotaka , usiwasemee. usidhani wote wanapenda kuingiliwa ktk kazi zao au kupokea busu za asbui hata mswaki hujapiga
 
1. ni mara ngapi umeamshwa na mkeo kwa busu asubuhi
2.ni mara ngapi chakula kikiisha ndani mkeo anakwenda kununua kimya kimya bila ya kuomba pesa kwako?, hata kama yeye ana kazi yake??
2. ni mara ngapi umeambiwa na mkeo kuwa wewe ndo kazi yako kumlea na kumtunza yeye? hata kama yeye anakazi?
3. ni mara ngapi watoto wako wakileta usumbufu umewai kuwaambia " nitawasemea kwa mama yenu akirudi"?
4. ni mara ngapi mkiwa mmeishiwa au mna shida ya pesa/chochote mke wako amekuwa wakwanza kwenda kukopa?

mwisho nakuomba waache wanawake waseme wanachotaka na wasichotaka , usiwasemee. usidhani wote wanapenda kuingiliwa ktk kazi zao au kupokea busu za asbui hata mswaki hujapiga

asante kwa re-mix!
 
Kwa wanaume wa kiafrica hayo mambo ni magumu mno kufanyika
may be kwa busu tuu
Ila biashara ya wewe uko home na mkeo anakuja baada ya wewe kuwa home na unampokea bag mhhh
haya mambo haya kwa imani za wanaume wengi ndo yanaleta kutawaliwa au kusema fulani katawaliwa na mkewe

Fanya mara moja, uone maajabu.hiyo ni hofu tuu. huwezi kutawaliwa
 
....Inategemea, uzoefu wa wanawake wa kiafrika ukifanya hata nusu ya hayo cha kwanza akilini mwake ni mhh kuna kitu unataka au kuna soo umefanya sasa unaanza kujiosha...! Na hizi negative thinking huwaGa zinaudhi sana wanaume ! Naweza kuwa napika, coz I luv to cook na ili niweze kulalamika chakula kibaya lazima niwe na uwezo wa kuonyesha kizuri kikoje...
Ila isiwe warrant kwa sababu najua kupika basi ndo hujicheweleshe makusudi au uite mashoga na mkae mnasogoa domo tuuuu ukitegemea nitaingia kupika (wengine wanaleta mashoga just to show -off kuwa yy ni kibosile na dume lake sio chochote)- lakini wanasahau kuwa hiyo inaweza kuwa njia bora ya "kumuuza" huyo dume kwa hao mashoga kirahisi maana wengine mbele ya mashoga dume litaongeza manjonjo - kaangiza huku six packs zipo nje nje na una doogie ........... lol
 
....Inategemea, uzoefu wa wanawake wa kiafrika ukifanya hata nusu ya hayo cha kwanza akilini mwake ni mhh kuna kitu unataka au kuna soo umefanya sasa unaanza kujiosha...! Na hizi negative thinking huwaGa zinaudhi sana wanaume ! Naweza kuwa napika, coz I luv to cook na ili niweze kulalamika chakula kibaya lazima niwe na uwezo wa kuonyesha kizuri kikoje...
Ila isiwe warrant kwa sababu najua kupika basi ndo hujicheweleshe makusudi au uite mashoga na mkae mnasogoa domo tuuuu ukitegemea nitaingia kupika (wengine wanaleta mashoga just to show -off kuwa yy ni kibosile na dume lake sio chochote)- lakini wanasahau kuwa hiyo inaweza kuwa njia bora ya "kumuuza" huyo dume kwa hao mashoga kirahisi maana wengine mbele ya mashoga dume litaongeza manjonjo - kaangiza huku six packs zipo nje nje na una doogie ........... lol


Du kazi ipo??
 
Back
Top Bottom