Itv wame edit picha -kigoma

Itv wame edit picha -kigoma

Mtoa mada wewe ulikuwepo kwenye huo mkutano ina maana hakukuwa na chombo kingine cha habari tofauti na ITV? Kigoma hawa na wawakilishi wa TBC,Star TV,Chenel ten na Clouds TV? Au ndiyo hi yo?

sijavielewa vituo vingine mkuu
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki
Mrema aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kubebwa na kusukumwa kwenye gari.

Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kurushiwa mawe na kufukuzwa jukwaani kwa mabango.

Lipumba aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kupewa kibano na polisi.

Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kuwaamrisha polisi wawadhibiti wananchi na kuokolewa na kuhifadhiwa na polisi ili asidhuriwe.

Haya yote ni maendeleo...

Cc Sikonge
 
Last edited by a moderator:
Anzisha kituo chako cha Tv halafu uwe unarusha habari za mikutano ya Chadema live ili kukwepa kuhaririwa kwa picha za matukio yote. Kwani wewe kinakuuma nini hapo? Son of a btch

mkuu siasa safi ni pamoja na kuwa na vyombo huru tatizo nifake iliyoletwa na jamaa hawa
 
kakojoe ukalale

imekuuma eee

kalale au leo hujapata buku 7!

kwa hiyo imekuuma sana au, kesho jifanye mwandishi wa habari na utoa taarifa yako isikuwa na editing,
watu wengine bwana!!!!!!!!!!!

inakusaidia nini wewe?hayo malamiko yako yataondoa mgao wa umeme?

Anzisha kituo chako cha Tv halafu uwe unarusha habari za mikutano ya Chadema live ili kukwepa kuhaririwa kwa picha za matukio yote. Kwani wewe kinakuuma nini hapo? Son of a btch

Hawa ndio vijana wa Bavicha kama kawaida yao.

Cc Izack Mwanahapa Juliana Shonza
 
Last edited by a moderator:
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki[/QUOTE]

mnafiki anafananaje?

anasema vitu kwa ushabiki bila kujali madhara!
 
Ha ha ha ha ha ha ha...yani mlivyo na akili uharo, mara mseme kuwa wale watu wengi walienda ili kuleta vurugu, sasa mnasema walikuwa wachache. Kweli CDM inawachanganya. Hiyo ndio CHADEMA, nawaasa wana KIGOMA na hasa hawa vijana wanaoandamana kuwa ni wakati sasa kuandamana juu ya umaskini wa mkoa wao badala ya kuandamana dhidi ya Dr Slaa na Mbowe.

mkuu sipo huko unapofikiria!
 
ITV wafanye editing kwa manufaa ya nani? Wewe utakuwa umevurugwa na akili yako imejaa majanga.

Shukran ya punda mateke Kaka!Na mbeleko yote iwabebao leo yamekuwa haya???" Ni kweli vijana wengi wa kigamba ni 'majanga'".
 
ITV wafanye editing kwa manufaa ya nani? Wewe utakuwa umevurugwa na akili yako imejaa majanga.

Shukran ya punda mateke Kaka!Na mbeleko yote iwabebao leo yamekuwa haya???" Ni kweli vijana wengi wa kigamba ni 'majanga' na hawajui wayatendayo".
TATIZO NI KWAMBA HAYA WAYATENDAYO NI HATARI KWETU SOTE NA SHIDA ZAIDI NI KWAMBA WAPO WANAODHANI KWAMBA WAO WAPO SALAMA.
 
Mengi, Mtei, Mbowe, Lema, unadhani kuna nini hapo.

Mmeishiwa hoja,kila mnachofanya kinashindwa,mnabaki kurudia maneno hayo hayo tu. MNAJARIBU KUZUIA MAFURIKO KWA VIGANJA VYA MIKONO.Baada ya uchaguzi 2015 mjiandae kunyea debe tu.
 
Hapo ndipo uone tofauti, Dr. Slaa anatoa amri, POLISI wanatimiza, hiyo ndiyo inaitwa Nguvu ya kuzaliwa nayo na huhitaji uwe na pesa au Msaliti au Kiongozi wa Serikali ili upewe HESHIMA. Sitaki kusema POLISI walimuogopa, BIG NO! Wamempa heshima yake kama Future President. Jinsi habari ya Zitto inavyozidi kudoda, ndiyo mikakati yako (hata hivyo nafikiri wewe ni Chadema kwa ndani) na wenzako wa CCM inakwama. Wasira na Savimbi ni kifo cha mende....

Wewe na Lukosi, CCM iwachunge sana maana mmekaa kushoto kidogo.
Mrema aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kubebwa na kusukumwa kwenye gari.

Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kurushiwa mawe na kufukuzwa jukwaani kwa mabango.

Lipumba aliweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kupewa kibano na polisi.

Slaa ameweka historia kuwa kiongozi wa kwanza wa upinzani kuwaamrisha polisi wawadhibiti wananchi na kuokolewa na kuhifadhiwa na polisi ili asidhuriwe.

Haya yote ni maendeleo...

Cc Sikonge
 
Video tumeziona ,pia picha tumeziona ktk mitandaoa mbali mbali na ktk vyombo vya habari kama ITV.Ni lazima wadau tukushangae kutoka huko ulikotoka na kuamua kupotosha kwa makusudi,ni vizuri ukajiuliza maswali mengi kabla ya kuamua jambo fulani...

kama umeziona je watu waliovunja mkutano wanaenda na idadi ya wahudhuriaji? Kama ndio ...basi tambua watu walikua wengi
kama sio basi idadi ndogo haiwezi kuvunja mkutano wa watu wengi!
 
huna lolote ! vijana wadogo sana mnakalia majungu tu , kama wewe na akili zako unaweza kuwa mfuasi wa zitto , unadhani kuna unachokipigania kweli ? itakuwaje zitto akihamia ccm , kama inavyotarajiwa ? wewe utaenda wapi? kuwa huru kijana usiburuzwe tu , NIMEKUDHARAU SANA !

mkuu usinidharau mie idharau kamati kuu itakayowarudisha baadhi ya watuhumiwa!
 
We sio mzima umepagawa bada ya mipango yako na zitto kufeli slaa hamumuwezi anakubalika sana kajipangeni upya wachawi wakubwa nyie

hahahaha nishajipanga mkuu kwa mabadiliko ila sio mtu wakutafuna kila kitu !
 
Hizi buku 7 zitawatoa roho! Mpaka 2015 mtakua hamna marejesho hapo ndipo itakapo kuwa kazi.
 
Back
Top Bottom