Itv wame edit picha -kigoma

Itv wame edit picha -kigoma

Mbona hamkubali M4C nichama makinu na pendwa hakuna cha kuedit hpod
 
Ha ha ha ha ha ha ha...yani mlivyo na akili uharo, mara mseme kuwa wale watu wengi walienda ili kuleta vurugu, sasa mnasema walikuwa wachache. Kweli CDM inawachanganya. Hiyo ndio CHADEMA, nawaasa wana KIGOMA na hasa hawa vijana wanaoandamana kuwa ni wakati sasa kuandamana juu ya umaskini wa mkoa wao badala ya kuandamana dhidi ya Dr Slaa na Mbowe.
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

Kama umemaliza jisaidie haja ndogo kapumzike wenda ubongo ukakaavizuri kama hauja pata majeraha makubwa
 
sipo katika ccm ila watu si wengi kule mkuu

Video tumeziona ,pia picha tumeziona ktk mitandaoa mbali mbali na ktk vyombo vya habari kama ITV.Ni lazima wadau tukushangae kutoka huko ulikotoka na kuamua kupotosha kwa makusudi,ni vizuri ukajiuliza maswali mengi kabla ya kuamua jambo fulani...
 
mtajibeba huu mwaka mmemuabisha zitto bure kwa kumuahidi kuwa mtafanikisha mikutano haifanyiki kwa kukosa watu, mara maandamano, mara mmeanza kurusha mawe kabisa,,,,pwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,weka picha zako unazozitaka

mkuu picha halisi kulingana na mazingira watu sio wengi kiviile !
 
usiwaone wakina zemarcopolo, sixgates, lizabon, simiyu yetu wanahangaika humu na ww unakurupuka!! wenzio wanalipwa, we poteza muda ss!

mkuu sipo kimaslahi na nimeshajieleza hapo

picha zile haziendani na uhalisia mkuu
 
Tuwekee picha zako ulizozipiga basi ili tuuone ukweli!!!!!!
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki
huna lolote ! vijana wadogo sana mnakalia majungu tu , kama wewe na akili zako unaweza kuwa mfuasi wa zitto , unadhani kuna unachokipigania kweli ? itakuwaje zitto akihamia ccm , kama inavyotarajiwa ? wewe utaenda wapi? kuwa huru kijana usiburuzwe tu , NIMEKUDHARAU SANA !
 
Mabomu ya machozi sio rafiki wa binaadam ndio maana hata police huvaa vifaa maalumu kujikinga ili kutekeleza majukumu yake,unao uhakika gani kama mwandishi aliweza kulichukua tukio lile kwa wakati uleule mabomu ya machozi yalipoanza kulipuliwa na police ?.Kwa sababu mlishajiandaa kupotosha ,sishangai mkipinga habari iliyoletwa na Itv.

mkuu usipende kumeza kila kitu picha ya mabomu wamekimbia watu kidogo

je watu kumi wanaweza kufunga mkutano?
 
Its possible ww si mnafiki tu, you are more than hypocrite, why are you trying to justify your feelings with such a stupid writings, tuzilaumu media zetu kwa mambo ya msingi si uchonganish
 
Back
Top Bottom