Itv wame edit picha -kigoma

Itv wame edit picha -kigoma

unafiki wangu ni upi?
Kuangalia real situation au kupostiwa fake info?

Ulianzisha Uzi ukitegemea Lumumba FC waje wakusaidie,bahati mbaya wamekutosa,haya sasa hangaika na wadau wanakuuliza hizo picha zako za "ukweli"ziko wapi? Weka tuzione basi mnafiki wewe.
 
Itv wame edit picha -kigoma

Hakuna ajabu hapo. Picha ya video ili irushwe katika taarifa ya habari lazima iwe edited. Huwezi kurusha mkutano wa masaa mawili kwenye dakika 20 za habari sita za kitaifa ktk taarifa ya habari ya saa moja. Lazima ku.edit ili upate vipande vyenye point muhimu. Kwa hiyo sioni sababu ya kulalamika eti ITV wame.edit, hata ingekuwa CNN au BBC wange.edit tu!
 
Ulianzisha Uzi ukitegemea Lumumba FC waje wakusaidie,bahati mbaya wamekutosa,haya sasa hangaika na wadau wanakuuliza hizo picha zako za "ukweli"ziko wapi? Weka tuzione basi mnafiki wewe.

mkuu nipo MIMI KAMA MIMI NA ZILE PICHA SI ZA KWELI Napenda siasa huru
 
ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki
kumbuka kuwa wanaoleta fujo ni wachache sana. Unataka wapogwe mabomu wote na walio wastaraabu
 
By scatter:
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo
katika nchi yetu na tena na msimamo
mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano
sehemu mbalimbali nchini na hasa
kigoma na sehemu zingine nchini..
Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na
nimegundua yafuatayo
1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya
kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama
ilivyoripotiwa
2. Mhariri ame edit picha za watu na
kuzifanya zionekane kuna watu wengi
kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo
mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu
yanapigwa na watu kukimbia utaona
kutoka mkutanoni watu wachache tu
ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya
machozi why?
Tuache unafiki na mimi sio mnafiki
kakojoe ukalale
Ni vyema maji yakaitwa maji na sio kulazisha maji kuita mma.
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

Utaamini media house ipi, ya sebuleni kwa babako, t.makene, itv ama tbccm maana waonekana umevurugwa akili na uccm.
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

Na hawa je wame editiwa, wewe ndo uache kuwa mnafiki!
 

Attachments

  • attachment-23.jpg
    attachment-23.jpg
    328.3 KB · Views: 43
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki


Kama Zitto kanunuliwa utakosa wewe!
 
wakuu naomba muwahurumie hawa CCM na Pro -CDM sasa hivi wamechanyikiwa hawaamini kila kitu mwishowe mtasababiasha vifo vyao kwani mpaka sasa wanapumulia mashine.
 
By scatter:
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo
katika nchi yetu na tena na msimamo
mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano
sehemu mbalimbali nchini na hasa
kigoma na sehemu zingine nchini..
Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na
nimegundua yafuatayo
1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya
kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama
ilivyoripotiwa
2. Mhariri ame edit picha za watu na
kuzifanya zionekane kuna watu wengi
kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo
mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu
yanapigwa na watu kukimbia utaona
kutoka mkutanoni watu wachache tu
ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya
machozi why?
Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

Ni vyema maji yakaitwa maji na sio kulazisha maji kuita mma.

Ni vyema wewe ukaacha unafiki maana hata hukuwa kigoma umeona kwenye TV tu na unabishana na TV!
 
Back
Top Bottom