Itv wame edit picha -kigoma

mtajibeba huu mwaka mmemuabisha zitto bure kwa kumuahidi kuwa mtafanikisha mikutano haifanyiki kwa kukosa watu, mara maandamano, mara mmeanza kurusha mawe kabisa,,,,pwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,,,weka picha zako unazozitaka
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

usiwaone wakina zemarcopolo, sixgates, lizabon, simiyu yetu wanahangaika humu na ww unakurupuka!! wenzio wanalipwa, we poteza muda ss!
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

ITV wafanye editing kwa manufaa ya nani? Wewe utakuwa umevurugwa na akili yako imejaa majanga.
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

We ni changudoa tu kama machangudoa wengine.
Unawapa kazi za kipuuzi mods kwa kupost unafiki.
Ningekuwa mod ningekupiga life ban

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
je umeonda jinsi ya mabomu yalivyokuwa yakipigwa katika kuahirisha mkutano
je umeona idadi ya watu waliotawanywa kwajili ya kufunga mkutano?


Mabomu ya machozi sio rafiki wa binaadam ndio maana hata police huvaa vifaa maalumu kujikinga ili kutekeleza majukumu yake,unao uhakika gani kama mwandishi aliweza kulichukua tukio lile kwa wakati uleule mabomu ya machozi yalipoanza kulipuliwa na police ?.Kwa sababu mlishajiandaa kupotosha ,sishangai mkipinga habari iliyoletwa na Itv.
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

pole sana ila usimwage chozi,.

Ukweli ndio huo umeshawekwa hadharani!!
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

we mnafiki tu huna lolote!!
 
ITV na Nipashe siku hizi wamekuwa wafuasi wa mmachame mwenzao sio wa kuangalia kabisa hasa katika suala hili la Zitto,.

umla; Mwogope Mungu jamani. Hukai dakika kabla hujataja udini, ukanda na ukabila??? Tangu m/kiti wako aanzishe neno hilo weye hujalisahau? Tafuteni hoja zenye nguvu jamani au acheni kuchangia huu ugoro humu.
Yaani weye ndio unataka kutuambia kwamba ndo unajua kuchunguza vizuri picha na hakuna mwingine? Angalia, hata siku utaoneshwa hapo kuwa mtetezi mzuri na mzushi wa ccm unatafutwa ukachukue nyongeza ya buku 7 hutaamini.
kila ukiota mafanikio ya CDM unaona ukanda na udini na ukabila tu??? Pole. Lakini nakuambia, uzushi wako hautazuia KIMBUNGA hicho cha MABADILIKO. 2015 ccm must weep
 
Ndugu mimi ni mfuasia wa maendeleo katika nchi yetu na tena na msimamo mkali katika chama chetu cha chadema
sikatai mkuu slaa kufanya mikutano sehemu mbalimbali nchini na hasa kigoma na sehemu zingine nchini..

Nimeangalia taarifa ya habari ya itv na nimegundua yafuatayo

1. Watu walikuepo mkutano kwa ajili ya kumsikiliza slaa lakini sio wengi kama ilivyoripotiwa

2. Mhariri ame edit picha za watu na kuzifanya zionekane kuna watu wengi kwa kuzoom picha kiasi utadhani upo mjini vile
3. Picha halisi ni zile wakati mabomu yanapigwa na watu kukimbia utaona kutoka mkutanoni watu wachache tu ndio waliokuwa wanakimbia mabomu ya machozi why?

Tuache unafiki na mimi sio mnafiki

ok umeshasema halafu,,,,,,,,,,!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom