dada white
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 1,228
- 514
Inasikitisha ITV yenye hadhi kama ITV kuruhusu vipindi vichafu kama hivyo (Siri ya mtungi). Tuna fundisha maadili gani kwa watoto wetu.Halafu tunasema watoto wa siku hizi wameharibika. Tena inatia kinyaa wakati mtanzania anavyojaribu kuiga tabia ambazo hazikuzoeleka hapa kwetu. Shame on you ITV
Lalamikia umasikini wako kwa kuwa na Video moja kwa hiyo wasituoneshe maisha kisa kuna watoto wanunulie tv watoto zako iwe chumbani kwao na uwawekee CD za kitoto.We dini gani kwanza mbona mlalamishi hivyo?