Main news story waliyoanza nayo ITV usiku huu wamedai JK na vyama vya siasa n.k wamekubaliana BMK lisitishwe mpaka baada ya uchaguzi mkuu.
Wakamweka John Cheyo, Mwenyekiti wa Taasisi ya Demokrasia, akisoma taarifa ya makubaliano hayo. Yeye kasema, very clearly tena kwa kurudia rudia, kwamba kura ya maoni imesitishwa mpaka baada ya uchaguzi.
Sasa kipi ni kipi, Bunge Maalum linasimama au linaendelea?
Hili stensheni la ITV linaajiri mijitu gani ya kutaarisha national news jamani?
Wakamweka John Cheyo, Mwenyekiti wa Taasisi ya Demokrasia, akisoma taarifa ya makubaliano hayo. Yeye kasema, very clearly tena kwa kurudia rudia, kwamba kura ya maoni imesitishwa mpaka baada ya uchaguzi.
Sasa kipi ni kipi, Bunge Maalum linasimama au linaendelea?
Hili stensheni la ITV linaajiri mijitu gani ya kutaarisha national news jamani?