rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
- Thread starter
-
- #121
Na vijana wa ccm wengi wamesha dumaa
Hakuna waliodumaa akili kama washabiki wa KLM
Independent Television For Chaggas And Northerners Only au ITCN. Na Isipokuwa Makini Kwa Content Zake Itakuwa Haiko Mbali Kama Ile Media Ya Kichochezi Iliyokuwepo Kwetu Nchi Ya Asali Na Maziwa Rwanda Iitwayo RTLM.
Aagh! Tena unarudia yale maneno ya kisanii! Eti "mfumo" Kwani mfumo ni jengo au miti? Mfumo ni watu, na watu wenyewe wanaolalamikiwa ndio hao waliohamia chadema! Sasa huo mfumo umebaki wapi, ccm au chadema iliyonunuliwa? Be raelistic!
Hakuna waliodumaa kama nyinyi ukawa ambao wajanja kama Dr slaa na Lipumba wamewapuuza, kwa kubadilishiwa misamiati kila uchao na huku mnakenua meno tu! Eti fisadi anaitwa "Mfumo" ha ha ha ha think big bro!
Na vijana wa ccm wengi wamesha dumaa
ni kwel ccm wamedumaa lakin atlst wanaweza jenga hoja wakaeleweka kuliko wewe mmawia kila siku unaandika pumba...
wwe wasiwasi wako nni si uangalie TBC wanaonyeshaKaka mi sio mjinga. Hivi kwa nini nyie chadema mna matusi namna hii!? Huko Sikonge chadema toka asubuhi wanapasuana wao wanaongelea habari za mabibo tu!
Wewe binti nenda kazini kwako kona bar maana muda ndio huu
nilishakwambia na ntakwambia tena,wewe ni kijana kaa fikiri jenga hoja sio kuropoka kutoa kashfa na matusi
Stupid acha kuiingiza Rwanda kwa ujinga wenu wa CCM
Nakwambia muda huu ni muafaka kwako nenda kibaruani
Yaani kuna matukio yanaonyesha wazi kuwa mna upendeleo wa wazi kwa CHADEMA na UKAWA bila kificho, mfano migogoro ya CHADEMA ya wagombea wao kukatwa na kugombana hadharani hamuonyeshi sana sana mnakimbilia kule CCM wanakokatwa na kutangaza kuhama tu! Bakizeni akiba ya maneno ya habari za kishabiki hamuwezi kujua nani ataibuka mshindi na msiamini mnavyoamini tu.
huna hoja vijana kama nyie mmeleweshwa pombe ya kisiasa ni hatari kwa taifa letu na hatutaendelea kamwe