Tetesi: Itatuchukua miaka mingapi na sisi kuanza kutumia Internet ya 5G

complex31

JF-Expert Member
Jun 15, 2016
379
1,208
Habari wanandugu ikiwa imepita takriban miezi mitatu toka kampuni ya Samsung kuzindua simu zake za S10, S10 plus na S10 5G ikiwa na vitu vipya pamoja na technologia ya hali ya juu.
Kwangu mimi ni hii simu yao mpya yenye uwezo wa internet ya 5G ambayo imeanza kutumiwa na Korea kusini pamoja na Marekani wakiwa ni watu wa kwanza kua na hizi technologia ya Internet ya kasi je kwetu sisi huku ‘developing countries ‘ itatuchukua miaka mingapi kwa mitandao ya simu kuileta hii Internet yenye kasi pamoja na wauza vifaa vya Internet kuleta vinavyotumia hii Internet ya 5G?
 
Habari wanandugu ikiwa imepita takriban miezi mitatu toka kampuni ya Samsung kuzindua simu zake za S10, S10 plus na S10 5G ikiwa na vitu vipya pamoja na technologia ya hali ya juu.
Kwangu mimi ni hii simu yao mpya yenye uwezo wa internet ya 5G ambayo imeanza kutumiwa na Korea kusini pamoja na Marekani wakiwa ni watu wa kwanza kua na hizi technologia ya Internet ya kasi je kwetu sisi huku ‘developing countries ‘ itatuchukua miaka mingapi kwa mitandao ya simu kuileta hii Internet yenye kasi pamoja na wauza vifaa vya Internet kuleta vinavyotumia hii Internet ya 5G?
TTCL kama sio siasa nyingi walitakiwa wawe wa kwanza kuwa na 5G network,kwani walishapewaga hii offer na wenye haki miliki ya 5G technology..ila ndo hivyo tena tutegemee Vodacom na wengineo labda
 
5g bado ipo kwenye majaribio na hata huko marekani kuna 5g feki za kutosha tu.

Ikishakuwa mainstream basi hata Tanzania itafika muda huo huo.

Kwa kumbukumbu ya haraka haraka smile ilianza huduma ya 4G Tanzania mwaka 2012, sawa na duniani kwengine, Nchi chache sana zilikuwa na 4g 2011, Hata ukiangalia flagship za 2012 4g ilikuwa ni anasa simu kama galaxy s3 zilikuja na 3g kwa version ya kimataifa.

Naamini mwakani 2020 ama 2021 tutakuwa na 5G Tanzania, ila usiweke matumaini sana 5G haijatengenezwa kuwa na coverage kubwa tegemea watu wa mijini tu kuipata.
 
Back
Top Bottom