VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 798
Siku Zote Mahusiano Hukupa Upofu na Kukuaminisha kuwa Sehemu ulipo ni Sahihi bila kutambua kuwa Moyo Wa Mtu ni Msitu.
Unaweza ukaamini unapendwa kwa Asilimia zote lakini kumbe katika Moyo Wa mwenzako hakuna Kitu kama Hicho.. Anakuchukulia wewe kama Chombo Cha kumstarehesha na Siku Ambayo Utakuja Kugundua ukweli na hapo ndip utakapoamini kuwa Haya tunayosema ni Sahihi.
Kwenda kujiaminisha kwa Mwanamke/mwanaume na kuonyesha mapenzi yako yote basi jiandae Ama kwa kudharauliwa na Hata kulizwa.
Mbinu hii nimeipokea na nitajitahidi kuitumia tatizo penzi la kweli halifanyiwi na wala halina Majaribio
Hebu dadavua