Itambue thamani ya uliyenae

Itambue thamani ya uliyenae

nashukuru sana mkuu lakini nahitaji muda Zaidi na Zaidi na unapoongea kwamba wazazi na ndugu ndio wamehusika vipi picha za uchi nilizotumiwa kwa ruhusa yake?

Hii aliifanya baada ya kuona huelewi somo.ipo pia.

Ameishaamua kukuacha na haoni atakushika wapi, ni kutumia njia kama hii ili ugive up.na pia ujue akiishaamua kukuacha, haoni hasara/huruma kukufanyia chochote.hivi ndivyo yalivyo mapenzi.

Ushauri wa wanasaikorojia ni kutulia ukiumizwa, ila wa kwangu nakwambia ili uweze kumsahau haraka lazima utafute spere huku ukiwa smart kuona kabla hujaonwa, kunusa kabla hujanusa, kuwasha kabla hujawashwa.ukifikia hatua hii ni take off.
Utagundua kuwa mtu uliye naye ni tofauti na ulivyokuwa unafikiria.yaan anakuhitaji maana bazazi/changu huwa hulifikishi hatua hiyo.
 
Hii aliifanya baada ya kuona huelewi somo.ipo pia.

Ameishaamua kukuacha na haoni atakushika wapi, ni kutumia njia kama hii ili ugive up.na pia ujue akiishaamua kukuacha, haoni hasara/huruma kukufanyia chochote.hivi ndivyo yalivyo mapenzi.

Ushauri wa wanasaikorojia ni kutulia ukiumizwa, ila wa kwangu nakwambia ili uweze kumsahau haraka lazima utafute spere huku ukiwa smart kuona kabla hujaonwa, kunusa kabla hujanusa, kuwasha kabla hujawashwa.ukifikia hatua hii ni take off.
Utagundua kuwa mtu uliye naye ni tofauti na ulivyokuwa unafikiria.yaan anakuhitaji maana bazazi/changu huwa hulifikishi hatua hiyo.

nashukuru kwa ushauri mkuu, hakika naweza kusema umenisaidia kwa kiasi fulani ambacho naweza kuitafuta furaha sehemu nyingine na kwa wakati mwingine
 
​Asalaam aliyekhum wana MMU,

Hakukupenda ili umpange foleni na kumvunjia heshima, bali amekuoa kwa kuamini wewe ndio kilakitu katika maisha yake. Kama ni hivyo kwanini usimtunzie heshima yake? Kwanini usiipiganie thamani yake? Mwanamke aliyekupenda kweli unaweza ukamuacha akalia? Mwanaume uliyempenda kweli unaweza kumuacha akilia? Ni ipi thamani ya upendo wenu? Ni ipi heshima ya mapenzi yenu?

Mpaka kitu kikutoke mikononi ndio utambue heshima na thamani yake? Kipi ambacho ni kigeni kati ya ulichonacho na unachokifuata? Nani kakwambia papuchi zinautamu tofauti? Nani amekwambia nilichonacho mimi ndicho alichonacho sumbai au kaboom? Au unadhani alichonacho Heaven Sent ni tofauti na alichonacho BADILI TABIA au Madame S

Tuondoe ujinga tuthamini tulivyonavyo sio mpaka viondoke mikononi mwetu ndio tugundue thamani zao.

Utamu wa maharage hauwezi kuwa tofauti bali ni upishi wako tu.

Muwe na usiku mwema

Hapo kwenye red panauma kama nge.
 
hyo kwanini umuumize mwanaume aliyekusaidia katika maisha yako hainihusu, kwa hyo ambaye hajakusaidia ni bora umuumize tuu
 
Hapo kwenye red panauma kama nge.

Mkuu wakati mwingine itabidi tuongee ukweli ili kuwaokoa ambao bado hawajaamua kupenda. Mapenzi ni Furaha, amani na upendo... Hakuna Mtu ambaye Ameingia kwenye mahusiano ili kuumizwa au Kudharauliwa, kila mmoja aliifuata furaha na heshima ya kuthaminiwa na kuheshimiwa. Kwanini Umeacha mwanamke/mwanaume aliyekupenda ateseke? Ni ipi thamani ya upendo wake kwako? Wakati mwingine tujifunze kuheshimu machozi ya tuwapendao, ipo siku tutayahitaji japo kuyaona lakini hatutayaona tena...
 
Mkuu wakati mwingine itabidi tuongee ukweli ili kuwaokoa ambao bado hawajaamua kupenda. Mapenzi ni Furaha, amani na upendo... Hakuna Mtu ambaye Ameingia kwenye mahusiano ili kuumizwa au Kudharauliwa, kila mmoja aliifuata furaha na heshima ya kuthaminiwa na kuheshimiwa. Kwanini Umeacha mwanamke/mwanaume aliyekupenda ateseke? Ni ipi thamani ya upendo wake kwako? Wakati mwingine tujifunze kuheshimu machozi ya tuwapendao, ipo siku tutayahitaji japo kuyaona lakini hatutayaona tena...

Kweli kabisa.
 
hyo kwanini umuumize mwanaume aliyekusaidia katika maisha yako hainihusu, kwa hyo ambaye hajakusaidia ni bora umuumize tuu

huwezi kumuumiza mwanamke Ambaye hujamsaidia kwa kuwa hakuhusu na Mtu ambaye hajawahi kukuhusu huwezi kumuumiza na haitatokea kwa kuwa hajawahi kukuhusu na wala kumsaidia.
 
kila mmoja anatambua ni kiasi gani mapenzi yanaumiza. Hakuna ambaye hafahamu maumivu yanayotokana na kupenda au kupendwa. Inapotokea umependa au kupendwa Jaribu kujitoa kwa kila hali na mali bila kusita wala kufikiria mara mbili.. Daima unapokuwa katika mikono salama yenye upendo huwa hutamani kupotea na kujiondoa mikononi mwa Yule anayekujali, kukuhitaji, kukupenda na kukuthamini.. Utahitaji kila wakati uimbe naye, ucheze naye na utembee.. Kila anapotabasamu hata wewe hujikuta unatabasamu... Usimuache umpendae Akuponyoke itakuwa ni Vigumu kumrudisha akiwa Yule yule..
 
​Asalaam aliyekhum wana MMU,

Nipo hapa mbele yenu kuwakumbusha kitu kimoja muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku hasa yale ya kimahusiano.

Najua wote tunajua thamani ya mapenzi na pia tunafahamu ni jinsi gani mapenzi yanatesa, yanaumiza na wakati mwingine kuua. Wengi tunafahamu jinsi mapenzi yalivyoleta umoja, undugu na urafiki ambao haukutarajiwa katika maisha yetu lakini kutokana na huyu kuoa yule na yule kuolewa na huyu tumejikuta tukiunganishwa na jambo hilo.

Licha ya kujua thamani ya mapenzi na maumivu yake lakini tumeshindwa kuilinda thamani na kuyapuuza maamuvi yake. Tumekuwa wakosaji wakubwa sana kwa wenza wetu tulionao. Tumekuwa hatutambui thamani ya tulionao mpaka pale wanapoondoka mikononi mwetu. Tumekuwa watu tusiothamini mioyo na machozi ya wenza wetu kanakwamba sisi ni wanyama.

Kwanini umlize mwanaume aliyekupenda na kukusaidia katika maisha yako? Kwanini umsaliti mwanamke aliyekupa mwili wake na moyo wake pamoja na kukupa thamani kubwa katika maisha yake? Ipi thamani ya machozi yake kwako? Ipi thamani ya mapenzi yake kwako? Kwanini uliache penzi lako lenye furaha na kwenda kwa mtu mwingine ambaye wakati mwingine anaweza asifike hata nusu ya uliyenae?

Kumbukeni mapenzi ni hisia ambayo hukaa ndani kabisa ya moyo, hisia ambazo haziwezi kupuuzwa au kutokuthaminiwa. Hisia ambazo zinauwezo wa kukubadili jina kutoka fulani na kuwa marehemu fulani. Hisia ambazo huumiza zaidi ya kufiwa na ndugu na wakati mwingine hata wazazi wako.Mwanamke au mwanaume anapokupenda huwa amekuona wewe na kukuchagua wewe kati ya wengi ambao amewaona.

Amekuchagua wewe kwa kuamini kuwa wewe ni faraja, furaha, liwazo na kumbatio la huba. Hakukupenda ili umsaliti na kuishusha thamani yake.. Hakukupenda ili umpange foleni na kumvunjia heshima, bali amekuoa kwa kuamini wewe ndio kilakitu katika maisha yake. Kama ni hivyo kwanini usimtunzie heshima yake? Kwanini usiipiganie thamani yake? Mwanamke aliyekupenda kweli unaweza ukamuacha akalia? Mwanaume uliyempenda kweli unaweza kumuacha akilia? Ni ipi thamani ya upendo wenu? Ni ipi heshima ya mapenzi yenu?

Mpaka kitu kikutoke mikononi ndio utambue heshima na thamani yake? Kipi ambacho ni kigeni kati ya ulichonacho na unachokifuata? Nani kakwambia papuchi zinautamu tofauti? Nani amekwambia nilichonacho mimi ndicho alichonacho sumbai au kaboom? Au unadhani alichonacho Heaven Sent ni tofauti na alichonacho BADILI TABIA au Madame S

Tuondoe ujinga tuthamini tulivyonavyo sio mpaka viondoke mikononi mwetu ndio tugundue thamani zao.

Utamu wa maharage hauwezi kuwa tofauti bali ni upishi wako tu.

Muwe na usiku mwema
Katika siku zoooote leo angalau umeongea pont. God bless you
 
Last edited by a moderator:
Yeah! Alikuwa ikidate na mwanaume mwingine wakati nipo chuo na huyo mwanaume ndio anayeishi nae mpaka leo Huko Canada



Mkuu huyo amekwenda kwaajili ya tamaa za muda mfupi na inshu ya kwenda abroad..pili familia yake watu wa tamaaa na wanapenda kuingilia maisha mpaka ya binti zao Mungu atakulipa na hiyo hali itapotea mkuuu
 
Yeah! Alikuwa ikidate na mwanaume mwingine wakati nipo chuo na huyo mwanaume ndio anayeishi nae mpaka leo Huko Canada



Mkuu huyo amekwenda kwaajili ya tamaa za muda mfupi na inshu ya kwenda abroad..pili familia yake watu wa tamaaa na wanapenda kuingilia maisha mpaka ya binti zao Mungu atakulipa na hiyo hali itapotea mkuuu
 
​Asalaam aliyekhum wana MMU,

Nipo hapa mbele yenu kuwakumbusha kitu kimoja muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku hasa yale ya kimahusiano.

Najua wote tunajua thamani ya mapenzi na pia tunafahamu ni jinsi gani mapenzi yanatesa, yanaumiza na wakati mwingine kuua. Wengi tunafahamu jinsi mapenzi yalivyoleta umoja, undugu na urafiki ambao haukutarajiwa katika maisha yetu lakini kutokana na huyu kuoa yule na yule kuolewa na huyu tumejikuta tukiunganishwa na jambo hilo.

Licha ya kujua thamani ya mapenzi na maumivu yake lakini tumeshindwa kuilinda thamani na kuyapuuza maamuvi yake. Tumekuwa wakosaji wakubwa sana kwa wenza wetu tulionao. Tumekuwa hatutambui thamani ya tulionao mpaka pale wanapoondoka mikononi mwetu. Tumekuwa watu tusiothamini mioyo na machozi ya wenza wetu kanakwamba sisi ni wanyama.

Kwanini umlize mwanaume aliyekupenda na kukusaidia katika maisha yako? Kwanini umsaliti mwanamke aliyekupa mwili wake na moyo wake pamoja na kukupa thamani kubwa katika maisha yake? Ipi thamani ya machozi yake kwako? Ipi thamani ya mapenzi yake kwako? Kwanini uliache penzi lako lenye furaha na kwenda kwa mtu mwingine ambaye wakati mwingine anaweza asifike hata nusu ya uliyenae?

Kumbukeni mapenzi ni hisia ambayo hukaa ndani kabisa ya moyo, hisia ambazo haziwezi kupuuzwa au kutokuthaminiwa. Hisia ambazo zinauwezo wa kukubadili jina kutoka fulani na kuwa marehemu fulani. Hisia ambazo huumiza zaidi ya kufiwa na ndugu na wakati mwingine hata wazazi wako.Mwanamke au mwanaume anapokupenda huwa amekuona wewe na kukuchagua wewe kati ya wengi ambao amewaona.

Amekuchagua wewe kwa kuamini kuwa wewe ni faraja, furaha, liwazo na kumbatio la huba. Hakukupenda ili umsaliti na kuishusha thamani yake.. Hakukupenda ili umpange foleni na kumvunjia heshima, bali amekuoa kwa kuamini wewe ndio kilakitu katika maisha yake. Kama ni hivyo kwanini usimtunzie heshima yake? Kwanini usiipiganie thamani yake? Mwanamke aliyekupenda kweli unaweza ukamuacha akalia? Mwanaume uliyempenda kweli unaweza kumuacha akilia? Ni ipi thamani ya upendo wenu? Ni ipi heshima ya mapenzi yenu?

Mpaka kitu kikutoke mikononi ndio utambue heshima na thamani yake? Kipi ambacho ni kigeni kati ya ulichonacho na unachokifuata? Nani kakwambia papuchi zinautamu tofauti? Nani amekwambia nilichonacho mimi ndicho alichonacho sumbai au kaboom? Au unadhani alichonacho Heaven Sent ni tofauti na alichonacho BADILI TABIA au Madame S

Tuondoe ujinga tuthamini tulivyonavyo sio mpaka viondoke mikononi mwetu ndio tugundue thamani zao.

Utamu wa maharage hauwezi kuwa tofauti bali ni upishi wako tu.

Muwe na usiku mwema
Wengin
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyo amekwenda kwaajili ya tamaa za muda mfupi na inshu ya kwenda abroad..pili familia yake watu wa tamaaa na wanapenda kuingilia maisha mpaka ya binti zao Mungu atakulipa na hiyo hali itapotea mkuuu
najua mkuu na nimeanza kupambana na Hii hali na muda sio mrefu nitakuwa happy
 
tatizo lako Dotto Unaongozwa na wivu Sijui kwanini? Lakini usijali hapa hatupo siasani
Abiria must uuchunge mzigo wako. na hakuna mapenzi bila wivu. yaani km una mpenzi na hana wivu na wewe jua hapo umekosea njia
 
You don't deserve to be hurt at all. Just learn to "release" some people out of your life. That poor soul is just for God and few loyal people God blesses us with, not for those who hurt us. Your destiny isn't tied to them anymore. Just say " it was good having you, thanks for everything" and then move out and see what life has in store for you. Sometimes we find the good in goodbye.


Heaven Sent, I just jumped out of my chair saying waoooooh, your ideas are more than strong. you talk with inner feelings and you are more than right. sometimes we hurt our souls just for someone who does not deserve to hurt us forgetting that our souls are for God.

Bravooooo my love, i just wanna say you made my day.

Once more thanks.
 
Back
Top Bottom