. ibra87. Huwezi kuishi bila mapenzi Ibra, sote tumepitia huko. Unapenda, unaumizwa, unasahau, unapenda, unaumizwa,unasahau, unapenda............ Ndo mzunguko ulivyo. Kikubwa ni kujitambua na kujiuliza ni kwa nini uko kwenye mapenzi na huyo uliyenae sasa? Pamoja na sababu Milioni utakazokuwa nazo, nakushauri usipende kwa 100%, never ever do that. Penda kwa 50% tu, 30% iwe kwa ndugu zako(blood related) na 20% kwa wengineo(jamaa, marafiki, mchepuko n.k). kwa njia hiyo kama mpenzi wako uliyempa 50% atakuumiza, unabaki na other 50% ya kupenda wengine. Hata kama akikukera, utakereka kwa 50&, na utaendelea kuwa salama kwa 50% pia. Nawashauri, mkiingia kwenye mahusiano ili msije kufa kwa pressure na kujiua msipende kwa 100%, pendeni kwa kiwango mabacho akizidi 50%. Mwenye kutaka maelezo zaidi ani-PM