Itambue thamani ya uliyenae

Itambue thamani ya uliyenae

Binadamu wengi huwa tunatambua thamani ya kitu/mtu pale ambapo hatujakipata kabisa au tumekipata but tumekipoteza kisa tulikichukulia for granted.
I ain't perfect but TG kwa wale wachache/ vichache nilivyonavyo, navithamini and kama ni mtu basi I'll let him/her know ni kiasi namthamini kwa maneno na vitendo. Japo kuna wakati, watu wanaweza wakakuchukulia poa, but Nisikukatishe bit tamaa wala kubadilisha the person you are. Sijawahi kujuta why nilimwonesha mtu fulani kuwa namthamini, na sijawahi kutamani labda ningemtreat mtu fulani vizuri, still angekuwepo maishani mwangu. "Sometimes we don't lose people.., some people lose us". Thamini na heshimu kile ulichonacho, kuna watu wanaomba na kutamani hata wangekuwa na ulivyo navyo but ndo hawana
"Sometimes we don't lose people..,some people lose us

Asante nimeelewa vzur sana dada
 
Haya mambo yasikie kwa wengine lakini yakikukuta ni majanga
ni kweli mkuu... Wakati mwingine huwa tunahitaji kufutwa machozi Kwa Yale tuliopitia lakini hakuna. Wa kutufuta. Wote wamekuwa kama wale wasiokuwa na Huruma.

Hawauthamini Moyo wako
hawathamini chozi lako
hawaioni thamani yako na
mwisho hawayaoni mapenzi yako.
Wamekuwa kama Vipofu, vipofu ambao hawaoni kile kinachofanyika.

Wamekuwa watu wa kulia pale unapoondoka katika maisha yake. Hapo ataitambua
thamani yako
mapenzi yako
hisia zako na kujua kumbe ulikuwa na thamani kubwa kwako.

Usimsubiri mpaka aondoke ndipo umpe thamani yake.

Unapendwa na mtu muonyeshae kuwa unampenda, kumjali na kumthamini
 
mkishaachana, yani mmeshapigana kibuti baaaaaadaeeeeee......!!!!!! ndo unaanza ooh!!! dah!!! aiseee!!! kumbe huyu demu alikuwa mtu mhimu sana kwangu. kipindi uko nae ulikuwa unamuona fala furani ukishikwa shikana kabisa weka na gundi au super glue ili msitenganishe na chochote
 
mkishaachana, yani mmeshapigana kibuti baaaaaadaeeeeee......!!!!!! ndo unaanza ooh!!! dah!!! aiseee!!! kumbe huyu demu alikuwa mtu mhimu sana kwangu. kipindi uko nae ulikuwa unamuona fala furani ukishikwa shikana kabisa weka na gundi au super glue ili msitenganishe na chochote
nimeanza kukupenda dada Dotto kama huna mtu fanya kunipm mpenzi
 
kwahiyo mnapokuwa katika mahusiano mnatakiwa msijenge mazoea?
Amemaanisha mazoea yenu yawe katika mahusiano ya mapenzi msiingize tabia zako unazofanya kwenu au unapokuwa na wenzako kwa mtu wako unaempenda.Mfano:?
 
Haaahahaha house girl atoto teh katika pita pita zangu nilipita na hapa
nilijua ndio tunapotezeana kumbe bado? Kama hiki unachukulia kwa umakini wa hali ya juu basi hiyo miaka mitano ya kusoma kwako haikukusaidia kuelewa wala kutambua kipi sahihi na kwa wakati upi na kipi si makini na kwa wakati gani. Nakupenda brenda hakika upo ndani ya Moyo wangu. Jaribu kupunguza panic yako itaharibu hekima yako dada angu
 
Amemaanisha mazoea yenu yawe katika mahusiano ya mapenzi msiingize tabia zako unazofanya kwenu au unapokuwa na wenzako kwa mtu wako unaempenda.Mfano:?
mapenzi hayana kanuni maalum kwa kuwa kila mmoja ana kile anachokihitaji kwa mwenzake. Inapotokea hutaki mpenzi Wako Akuzoee hapo kutakuwa na umuhimu gani wa kuwa wapenzi?

Daima hisia huja na dalili zake... Hisia huletwa na muonekano wa umpendae. Wakati mwingine unaweza kumpenda mtu kwasababu ya Mazoea.. Kwahiyo ni Vigumu Kuyaondoa Mazoea katika mahusiano kwa kuwa italeta hali flani ya kuogopana kitendo ambacho hakitakuwa kizuri katika mahusiano yenu
 
You don't deserve to be hurt at all. Just learn to "release" some people out of your life. That poor soul is just for God and few loyal people God blesses us with, not for those who hurt us. Your destiny isn't tied to them anymore. Just say " it was good having you, thanks for everything" and then move out and see what life has in store for you. Sometimes we find the good in goodbye.
Well said @heavensent
 
Back
Top Bottom