johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Mwenyewe nilitaka kuuliza hilo swali
Tanzania tangu imeingia ni wiki mbili sasa,, wameshakufa wangapi? Updates plz
Au haukumaanisha hiki ulicho andika mkuu?Nashangaa kanisa katoliki wako kimya mpaka sahv.
Au wanataka mpaka PAPA afe ndo watoe tamko la kukemea korona
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha anaitwa mwakilishi wa mungu hapa duniani nadhani atakuwa bize kuwaombea waktoliki kupitia uwakilishi wake sasa corona ikipita nae sijui itakuaje? ila nadhani amesha agiza krolokwini'' za kutoshaNashangaa kanisa katoliki wako kimya mpaka sahv.
Au wanataka mpaka PAPA afe ndo watoe tamko la kukemea korona
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa kanisa katoliki wako kimya mpaka sahv.
Au wanataka mpaka PAPA afe ndo watoe tamko la kukemea korona
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio wanao jiita chimbuko la makanisa yote tunategemea wawe mfano!
mulwanaka, Hivi unatumia kigezo gani kusema magharibi wana toa data halisi na China hawatoi data halisi?
Corona ilipoanzia China,hahahaha anaitwa mwakilishi wa mungu hapa duniani nadhani atakuwa bize kuwaombea waktoliki kupitia uwakilishi wake sasa corona ikipita nae sijui itakuaje? ila nadhani amesha agiza krolokwini'' za kutosha
Inawezekana mkuu,
Mkuu Naomba Unitag Kama Atakupa Jibu Halisimulwanaka, Hivi unatumia kigezo gani kusema magharibi wana toa data halisi na China hawatoi data halisi?