Mimi napenda sana ambayo yananihusu mengi kayafanya. Nina watoto wangu wawili nilikuwa nawasomesha shule ya kulipia milioni 2 kila mwaka. Lakini Sasa nimewahamishia shule ya serikali natumia laki3 tu kwa kuwagaramia uniform na matumizi binafsi wanapokuwa shule.Subiri tumnyooshe naona nawewe hupendi yanafanywa nahuyu jamaa ilatatizo haupo huru