Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Watanzania wenzangu nawasalimu. Nirudi kwenye Mada hapo juu CHADEMA ni Chama kikuu cha Upinzani Tanzania. Chadema mwaka 2015 kilishiriki Uchaguzi Mkuu ambao kilimsimamisha Mzee Edward Lowassa kama Mgombea wake wa Urais na CCM ilimsimamisha John Magufuli na Matokeo yake CCM ilishinda.
Mara tu Baada ya Magufuli kuapishwa PILIKAPILIKA za KUISAKAMA CHADEMA zikaanza zikiwemo za Kuwakamata Wanachama wafuasi na Viongozi na kuwabambikizia Kesi za Uhujumu uchumi mauaji Utakatishaji fedha ili mradi Wakajazwa Magerezani.
Kila kukifanyika Uchaguzi mdogo basi Wafuasi wa Chadema watakamatwa na kupewa hizo kesi. Ulifanyika uchaguzi mdogo Kinondoni uliopekekea Mwanachuo kupigwa Risasi na Polisi lakini Viongozi wa Chadema toka Mwenyekiti na Wajumbe wake Walipewa kesi ya Mauaji ya huyo Binti Akwilina na Kutozwa Faini ya Sh Milioni 320. Kama haitoshi siku ya kwenda kumtoa Mbowe Gerezani Halima Mdee na Wenzake Walipigwa sana na Askari Magereza bila kosa la msingi.
Mikutano ya Hadhara ilizuiliwa Kinyume na KATIBA ila CCM ilikuwa inafanya. Mikutano ya Ndani nayo CHADEMA ikifanya wanakamatwa. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 ilikuwa Vioja Uchaguzi Mkuu 2020 hata Mabango ya Kampeni Chadema Walizuiliwa Nchi nzima ni Mabango ya Picha ya MAGUFULI Wagombea wa Chadema Walikatwa Majina yao Wagombea wa CCM wakapita bila Kupingwa ili mradi Ulikuwa ni UCHAFUZI na Sio UCHAGUZI na MAGUFULI akashinda jwa ASILIMIA 90 Bado ktk utawala wake Wanachama wa Chadema wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo kama vile Ben saanane Azory Gandwa na Wengineo.
Tundu lissu alipigwa risasi mchana kweupe Wabunge na Wanachama wa Chadema kununuliwa na kuhongwa Vyeo Kina Halima Mdee kupewa ubunge Viti maalum bila chadema kuhusika na Mbowe kubambikiziwa Kesi ya Ugaidi ili mradi MATESO kwa Chadema.
Leo CHADEMA wanawasimulia WANANCHI MATESO waliyopitia Wanatokea WAJINGA na WAPUMBAVU wachache wanasema CHADEMA wanamtukana MAGUFULI ukweli ni kwamba CHADEMA wanawaeleza WANANCHI namna RAIS MAGUFULI alivyoWATESA Ktk UTAWALA wake wa MIAKA 6.
USHAURI
Binadamu ni Muhimu Uwapo DUNIANI Ukatenda MEMA na MAZURI kwa Watu wote kwani Siku UKIFA watakusema VIZURI lakini Ukitenda MABAYA hakika WATAKUSEMA VIBAYA
Mara tu Baada ya Magufuli kuapishwa PILIKAPILIKA za KUISAKAMA CHADEMA zikaanza zikiwemo za Kuwakamata Wanachama wafuasi na Viongozi na kuwabambikizia Kesi za Uhujumu uchumi mauaji Utakatishaji fedha ili mradi Wakajazwa Magerezani.
Kila kukifanyika Uchaguzi mdogo basi Wafuasi wa Chadema watakamatwa na kupewa hizo kesi. Ulifanyika uchaguzi mdogo Kinondoni uliopekekea Mwanachuo kupigwa Risasi na Polisi lakini Viongozi wa Chadema toka Mwenyekiti na Wajumbe wake Walipewa kesi ya Mauaji ya huyo Binti Akwilina na Kutozwa Faini ya Sh Milioni 320. Kama haitoshi siku ya kwenda kumtoa Mbowe Gerezani Halima Mdee na Wenzake Walipigwa sana na Askari Magereza bila kosa la msingi.
Mikutano ya Hadhara ilizuiliwa Kinyume na KATIBA ila CCM ilikuwa inafanya. Mikutano ya Ndani nayo CHADEMA ikifanya wanakamatwa. Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 ilikuwa Vioja Uchaguzi Mkuu 2020 hata Mabango ya Kampeni Chadema Walizuiliwa Nchi nzima ni Mabango ya Picha ya MAGUFULI Wagombea wa Chadema Walikatwa Majina yao Wagombea wa CCM wakapita bila Kupingwa ili mradi Ulikuwa ni UCHAFUZI na Sio UCHAGUZI na MAGUFULI akashinda jwa ASILIMIA 90 Bado ktk utawala wake Wanachama wa Chadema wamepotea mpaka leo hawajulikani walipo kama vile Ben saanane Azory Gandwa na Wengineo.
Tundu lissu alipigwa risasi mchana kweupe Wabunge na Wanachama wa Chadema kununuliwa na kuhongwa Vyeo Kina Halima Mdee kupewa ubunge Viti maalum bila chadema kuhusika na Mbowe kubambikiziwa Kesi ya Ugaidi ili mradi MATESO kwa Chadema.
Leo CHADEMA wanawasimulia WANANCHI MATESO waliyopitia Wanatokea WAJINGA na WAPUMBAVU wachache wanasema CHADEMA wanamtukana MAGUFULI ukweli ni kwamba CHADEMA wanawaeleza WANANCHI namna RAIS MAGUFULI alivyoWATESA Ktk UTAWALA wake wa MIAKA 6.
USHAURI
Binadamu ni Muhimu Uwapo DUNIANI Ukatenda MEMA na MAZURI kwa Watu wote kwani Siku UKIFA watakusema VIZURI lakini Ukitenda MABAYA hakika WATAKUSEMA VIBAYA