IT, ICT, CS students wanaokimbia chuo ili kuwa mabillgates hapa Tanzania hawawi hivyo hata kwa mtaa tu, kwanini?

Bill Gates alizaliwa kwenye familia ya mamilionaire msijifananishe.
Siyo familia tu, hata nchi tofauti.

Tanzania haina uchumi wa ku produce a Bill Gates in the true sense of a giant billionaire.

GDP ya Tanzania bado haijafikia net worth ya Bill Gates. Na hapo ni baada ya Bill Gates kugawa hela zake kibao katika charities.

Where are the angel venture capitalist?

Bill Gates Mama yake alifanya kazi IBM. Where is our IBM?

Sawa, labda tuchukue maana finyu ya "Bill Gates" kama tajiri aliyefanikiwa kwenye biashara ya ICT.

Tumekuwa na kina Ali Mufuruki alijaribu hii biashara. Mpaka anafariki alikuwa analalamika mifumo ya kodi ya serikali ilivyombana. Na huyu kafanya biashara ambayo vitu kama computer havilipiwi kodi.

Where is our Silicon Valley? Bill Gates hakujiinua yeye mwenyewe tu, kulikuwa na industry. Industry ambayo ilikuwa subsidized heavily na serikali, tena na jeshi, kwenye research and develooment.

Bajeti ya serikali kwenye research and development kwenye haya mambo ni kiasi gani kwa mwaka?

Hivi Tanzania tuna hata jarida formal (achana na forums) la kutoka kila mwezi la kupashana habari za ICT? Hata la online tu?
 
Siyo familia tu, hata nchi tofauti.

Tanzania haina uchumi wa ku produce a Bill Gates in the true sense of a giant billionaire.

Where are the angel venture capitalist?

Bill Gates Mama yake alifanya kazi IBM. Where is our IBM?

Sawa, labda tuchukue maana finyu ya "Bill Gates" kama tajiri aliyefanikiwa kwenye biashara ya ICT.

Tumekuwa na kina Ali Mufuruki alijaribu hii biashara. Mpaka anafariki alikuwa analalamika mifumo ya kodi ya serikali ilivyombana. Na huyu kafanya biashara ambayo vitu kama computer havilipiwi kodi.

Where is our Silicon Valley? Bill Gates hakujiinua yeye mwenyewe tu, kulikuwa na industry. Industry ambayo ilikuwa subsidized heavily na serikali, tena na jeshi, kwenye research and develooment.

Bajeti ya serikali kwenye research and development kwenye haya mambo ni kiasi gani kwa mwaka?

Hivi Tanzania tuna hata jarida formal (achana na forums) la kutoka kila mwezi la kupashana habari za ICT? Hata la online tu?
True: Serikali inatakiwa kuweka mazingira wezeshi kwanza ndo Tupate kila Bill Gate,Jack Ma,Elon Musk etc.
bila Bidii na mchango wa Serikali aitowezekana
 
Huyu naye alikimbia shule?
Aliwahi kuwa kwenye kada kama nilizozitaja?
Aliwahi kuwa kwenye kada ulizozitaja (ICT Enterpreneur).

Hakukimbia shule.

Nakuonesha mazingira ya biashara yanavyofanya biashara iwe ngumu, kwa waliokimbia na wasiokimbia shule.

Nilikuwa natafuta mfano wa tycoon aliyefanikiwa kwa biashara ya ICT Tanzania.

Huyo kanijia mawazoni.

Nilikuwa naongea na Eric Mwenda, I hope you know who that is if you are in the industry in East Africa. Analalamika jinsi hali ya biashara ilivyo mbaya Tanzania, watu wa serikali wanafanya vitu arbitrary, kama wanakomoa wafanyabiashara, sheria hazieleweki kila siku zinabadilishwa kisiasa bila mantiki.

Will launch largest data center and cloud service in Africa in 2017

Sasa katika mazingira kama hayo ambayo kila rais anakuja na mfumo wake, unategemea vipi tupate Bill Gates wetu?
Ma Bill Gates wetu ndio hao kina Ali Mufuruki na Eric Mwenda wote wanalalamika mfumo unavyonuia kufanya "malaika waishi kama shetani".
 
True: Serikali inatakiwa kuweka mazingira wezeshi kwanza ndo Tupate kila Bill Gate,Jack Ma,Elon Musk etc.
bila Bidii na mchango wa Serikali aitowezekana
Kwetu sisi si kwamba serikali haiwekezi tu.

Hata watu wakijitahidi kivyao, serikali inabania watu. Small minded bureaucrats wasiojua kitu wanaweka bureaucracy kubwa, kodi kibao za kijinga, mfumo usio uwazi na wa kufuata sheria zinazoeleweka, mfumo usio business friendly.

Yote hayo yanachangia umasikini wetu.

Bill Gates ni zao la mfumo mzima.

Inawezekana kabisa angezaliwa Tanzania angekuwa mkulima masikini tu.
 
Fact.

GDP ya Tanzania nzima bado haijafikia net worth ya Bill Gates ya sasa.

Na most likely haitaifikia katika miaka mitano ijayo.

GDP ya Tanzania mwaka 2018 ilikuwa dola za Kimarekani 58 billion.

Bill Gates mwaka 2018 alifikisha net worth ya 90 billion US dollars. Zaidi ya mara moja na nusu ya uchumi wa nchi nzima ya Tanzania kwa GDP.

Na hapo ni baada ya Bill Gates kugawa mabilioni ya dola zake kwenye charities.

Bill Gates anafananishwa na nchi huku Africa, si na mtu.
 
Nilikuwa naongea na Eric Mwenda, I hope you know who that is if you are in the industry in East Africa. Analalamika jinsi hali ya biashara ilivyo mbaya Tanzania, watu wa serikali wanafanya vitu arbitrary, kama wanakomoa wafanyabiashara, sheria hazieleweki kila siku zinabadilishwa kisiasa bila mantiki.

Will launch largest data center and cloud service in Africa in 2017

Sasa katika mazingira kama hayo ambayo kila rais anakuja na mfumo wake, unategemea vipi tupate Bill Gates wetu?
Ma Bill Gates wetu ndio hao kina Ali Mufuruki na Eric Mwenda wote wanalalamika mfumo unavyonuia kufanya "malaika waishi kama shetani".
Eric Mwenda? He went to SRSS back in the day.

I almost got into it with him on the first day of school as a ‘freshman’ for picking on me 😄.

Him and his crew...Idi Janguo, Jesse Marealle, Mpoki MwambenjaOmari Mandari, Michael Ngula, etc.

I was ready to swing but Gwamaka held my hand 🤜🏿
 
N
Aliwahi kuwa kwenye kada ulizozitaja (ICT Enterpreneur).

Hakukimbia shule.

Nakuonesha mazingira ya biashara yanavyofanya biashara iwe ngumu, kwa waliokimbia na wasiokimbia shule.

Nilikuwa natafuta mfano wa tycoon aliyefanikiwa kwa biashara ya ICT Tanzania.

Huyo kanijia mawazoni.

Nilikuwa naongea na Eric Mwenda, I hope you know who that is if you are in the industry in East Africa. Analalamika jinsi hali ya biashara ilivyo mbaya Tanzania, watu wa serikali wanafanya vitu arbitrary, kama wanakomoa wafanyabiashara, sheria hazieleweki kila siku zinabadilishwa kisiasa bila mantiki.

Will launch largest data center and cloud service in Africa in 2017

Sasa katika mazingira kama hayo ambayo kila rais anakuja na mfumo wake, unategemea vipi tupate Bill Gates wetu?
Ma Bill Gates wetu ndio hao kina Ali Mufuruki na Eric Mwenda wote wanalalamika mfumo unavyonuia kufanya "malaika waishi kama shetani".
Nimekupata brother Kiranga
 
Back
Top Bottom