Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
jiulize mkuu....si ndio maana huyu anti UW na mwenzie dilunga wanainua bango...si unajua wabongo wakiona mtu anapaa sana wanamchawiakwi kwi kwi mkuu umeniacha hoi hapo.
Hivi ni nn kinacho mpa umaarufu Misupu?Mbona blog zipo kibao kama Mjengwa,Mpoki,michuzijr,haki ngowi n.k