Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
anawafisadi kivipi?The speacility ni kwamba,Michuzi anatufisadi na watu bado wanacheka na kufurahi eti ni....mwenzetu!WHY!HOW!safari hii kumkoma nyani thats it..no more no less.
kibaya zaidi kaenda kutundika huko kwake etii oooh anaonewa na kwa jeuri anadai ataenda sijui Australia/japan etc.
Hio haitusumbui hata ungeenda ahera ...but uende kivyako as a blogger not kwa kivuli cha Daily News na kula pesa yetu ya kodi kihivyo....nna hasira miye wee acha tu.