Dilunga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2009
- 679
- 49
Kwani Michuzi amelipiwa pesa na mwajiri wake kwenda kufanya shughuli zake binafsi?
Nani kamlipia nauli?
Na inakuwaje video clip ya habari hiyo hiyo inatokea kote DAILY NEWS na Michuzi? Who owns it?
Mfano, video ya mabomu Mbagala ilitokea DAILY NEWS na MICHUZI.
Video ya Kassim Dewji ilitokea DAILY NEWS, ikawa ukibonyeza haichezi. Kesho yake ikahamishiwa MICHUZI, ikawa inacheza. Mpiga picha huyo huyo mmoja. Sasa zile video ni copyright ya serikali au ni mali ya MICHUZI?
Halafu, just because kuna watu wengi wanachomoka muda wa kazi kwenda kwenye miradi yao, that doesn't make it appropriate.