Daud Hassan
Senior Member
- Jul 12, 2018
- 182
- 240
- Thread starter
- #81
Source itoke wapi ushaambiwa habari SIO ya kweli mkuuTuwekee source.
Source itoke wapi ushaambiwa habari SIO ya kweli mkuuTuwekee source.
Hamna kote uko kaka .sio TAARIFA sahihiHii news namashakanayo sana, kama siyo cnn basi bbc/tbc
Hahaaa nilijuwa tu kaka...pro amerika walishaanza ushabikiHamna kote uko kaka .sio TAARIFA sahihi
TAIFA TEULE LA MASHOGAMUNGU MWENYEWE ANALIITA "TAIFA TEULE"
SA HAPO KUNA NINI TENA
Watoto mchepuko mna matusi nyie..!TAIFA TEULE LA MASHOGA
USIJIDANGANYE ILI UCHEKE, ISRAELI NI NCHI NYINGINE, HAPO SIO USHABIKI WALA NINI. HAKUNA NCHI INAYOONGOZA KWA UBUNIFU KAMA ISRAELI. UKIWA MTU WA KUFANYA UCHUNGUZI UTAGUNDUA KARIBIA KAMPUNI ZOTE ZA TEKNOLOJIA ZIMEWEKA MAKAO YAKE MAKUU YA RESEARCH AND DEVELOPMENT ISRAELI. YOTE JUU YA YOTE S-300 NA S-400 SIO MCHEZO NA NI TISHIO KWA NDEGE YOYOTE ILE...JAPOKUWA ITALETA MADHARA KWA ISRAELI, ISRAELI ITALETA MADHARA MAKUBWA ZAIDI KWA S-300/400, NA MWISHO WA SIKU S-300/400 HAZIWEZI KUIZUIA ISRAELI KABISA.TAARIFA HII NAOMBA MUIPUUZE HAINA UKWELI WOWOTE .
NDEGE ZA KIVITA ZA IDF HAZIJARUKA TOKA NJE YA ISRAELI TANGU S_300 ILETWE PALE SYRIA HAMNA WATU WANAOPENDA KUISHI KAMA HAWA YAHUDI UCHWARA WA PALE TELAVIVI WAMEFYATA MKIA WAPO TULI KIBURI CHOTE KIMEWAISHA .
MASHOGA WAKO KILA SEHEMU, HATA KWENYE UKOO WENU...TAIFA TEULE LA MASHOGA
TAIFA TEULE LA MASHOGAMASHOGA WAKO KILA SEHEMU, HATA KWENYE UKOO WENU...
Kwa hisani ya watu wa marekani...........USIJIDANGANYE ILI UCHEKE, ISRAELI NI NCHI NYINGINE, HAPO SIO USHABIKI WALA NINI. HAKUNA NCHI INAYOONGOZA KWA UBUNIFU KAMA ISRAELI. UKIWA MTU WA KUFANYA UCHUNGUZI UTAGUNDUA KARIBIA KAMPUNI ZOTE ZA TEKNOLOJIA ZIMEWEKA MAKAO YAKE MAKUU YA RESEARCH AND DEVELOPMENT ISRAELI. YOTE JUU YA YOTE S-300 NA S-400 SIO MCHEZO NA NI TISHIO KWA NDEGE YOYOTE ILE...JAPOKUWA ITALETA MADHARA KWA ISRAELI, ISRAELI ITALETA MADHARA MAKUBWA ZAIDI KWA S-300/400, NA MWISHO WA SIKU S-300/400 HAZIWEZI KUIZUIA ISRAELI KABISA.
Ndio maana Kiranga???Acha ujinga wewe huyo Mungu gani anachagua taifa teule linalofanya mauaji ya halaiki?
Ndio maana Kiranga huwa anamkataa huyu Mungu aisee
Marekani ina pesa nyingi Israeli akili nyingi. Hujui israeli ndo nchi peke yake yanye kibali cha kubadilisha mifumbo ya vifaa vya kivita vya marekani?Kwa hisani ya watu wa marekani...........
Kama ni Mungu huyo wa kuruhusu kuua watu kwa halaiki harafu ndio anaichagua hiyo nchi kama taifa lake teule hata mi simhitaji Mungu kama huyo wala hana maana yoyoteNdio maana Kiranga???
Wewe unasemaje?
Mbona haujiamini katika kauli zako ?
Utakuwa unamuhitaji mungu goigoi.Kama ni Mungu huyo wa kuruhusu kuua watu kwa halaiki harafu ndio anaichagua hiyo nchi kama taifa lake teule hata mi simhitaji Mungu kama huyo wala hana maana yoyote
USIJIDANGANYE ILI UCHEKE, ISRAELI NI NCHI NYINGINE, HAPO SIO USHABIKI WALA NINI. HAKUNA NCHI INAYOONGOZA KWA UBUNIFU KAMA ISRAELI. UKIWA MTU WA KUFANYA UCHUNGUZI UTAGUNDUA KARIBIA KAMPUNI ZOTE ZA TEKNOLOJIA ZIMEWEKA MAKAO YAKE MAKUU YA RESEARCH AND DEVELOPMENT ISRAELI. YOTE JUU YA YOTE S-300 NA S-400 SIO MCHEZO NA NI TISHIO KWA NDEGE YOYOTE ILE...JAPOKUWA ITALETA MADHARA KWA ISRAELI, ISRAELI ITALETA MADHARA MAKUBWA ZAIDI KWA S-300/400, NA MWISHO WA SIKU S-300/400 HAZIWEZI KUIZUIA ISRAELI KABISA.
Pumba tupu matango matapishi ()Marekani ina pesa nyingi Israeli akili nyingi. Hujui israeli ndo nchi peke yake yanye kibali cha kubadilisha mifumbo ya vifaa vya kivita vya marekani?
Hii ni kwasababu, marekani ana pesa ya kutosha kutengeneza chochote, ila hana sehemu ya kujaribisha. Kwa hiyo hajui vitafanyaje kazi kwenye vita ya kweli dhidi ya urusi na china. ila israeli anaweza kutumia vifaa vya marekani ankamjaribu mrusi na akishindwa anajua kipi cha kubadilisha na kuongeza. lazima awe rafiki wa marekani. na kwa historia Israeli haijawahi kushindwa moja kwa moja na teknolojia ya nchi nyingine, lazima wapate njia.
kabla ya s-300 walikua wanaongelea Mig-21, na kila nchi ilikua inaziogopa Hadi israeli waloingia na kuonyesha dunia penye nia pana njia
HaaaaaahaaaaaaaaEti taifa TEULE
SIJUI ALILITEUA SHETANI .........
Kila siku kuua watu wasio na hatia .
Eti linajisifu kuwashinda vita watu wanaotumia mawe na manati. .ni upuuzi huu.
Bado akili yako imetiwa giza.Eti taifa TEULE
SIJUI ALILITEUA SHETANI .........
Kila siku kuua watu wasio na hatia .
Eti linajisifu kuwashinda vita watu wanaotumia mawe na manati. .ni upuuzi huu.
Freemason wanakukaribisha kwa mikono myeupe, Freemason wanafundishana maneno kama hayo ndo mana wanamkataa Mungu na kusema Lucifer ndio mungu wao. Ila tunaoamini tunajua Mungu anampenda mtu anayempenda, anamkataa anayemkataa na binadamu hatuna sehemu ya kumpangia kipi ni sahihi kwa sababu sisi wote katuumba yeyeKama ni Mungu huyo wa kuruhusu kuua watu kwa halaiki harafu ndio anaichagua hiyo nchi kama taifa lake teule hata mi simhitaji Mungu kama huyo wala hana maana yoyote
umeelewa hapo hata kitu kimoja KIBUMBULA! kitu gani kimekuchanganya hapo, maana ukweli unatisha hadi unafikiria ni ndoto...amka, jifunze hutaongea ongea bila kujua unaongea niniNaona uko ndotoni mheshimiwa.