Basi dini yangu haiendani na hizo dini za Mash ya katiBasi utakua unaamini sawa na hivyo vitabu...Huna haja ya kusema unaamini Kitabu fulani. Dini ni jinsi unavyoishi...Na wewe ni mfuata dini mzuri kama unafanya unachosema unafanya.
Basi dini yangu haiendani na hizo dini za Mash ya katiBasi utakua unaamini sawa na hivyo vitabu...Huna haja ya kusema unaamini Kitabu fulani. Dini ni jinsi unavyoishi...Na wewe ni mfuata dini mzuri kama unafanya unachosema unafanya.
Kama unafanya unachosema unafanya dini yako ni hiyo, Kuipa jina unaweza ukaipa unalotaka au kila siku ukabadilisha jina la dini yako, ila kama unaamini kwenye kufanya Mazuri..bado upo palepale sawa na kuandika Kiluga neno la EnglishBasi dini yangu haiendani na hizo dini za Mash ya kati
32 civilians killed in coalition strikes in east Syria: monitorIsraeli F_16 fighters jets strikes Iranians targets near DAMASCUS .the IDF official declined to comment on this report.
Ok sawa mkuu nimekupata vyema!Kama unafanya unachosema unafanya dini yako ni hiyo, Kuipa jina unaweza ukaipa unalotaka au kila siku ukabadilisha jina la dini yako, ila kama unaamini kwenye kufanya Mazuri..bado upo palepale sawa na kuandika Kiluga neno la English
Yani hata uzaliwe kwenye pango lazima uwe na upande mmoja wa kuamini...Vitabu vya mashariki ya kati vinatufundisha kuamnini upande mmoja , ila sio lazima vitabu kuamini upande flani. Hata jamii inaweza kukuanya ukaamini upande flaniBasi dini yangu haiendani na hizo dini za Mash ya kati
Wako Ukraine wanaisomea hiyo s 30032 civilians killed in coalition strikes in east Syria: monitor
Get your facts straight. Israel yuko busy huko na unarmed palestinians. Na sio kila eneo syria liko manned na S300 kama wengi wa wachangiaji wanavyoamini. Next tym acha ushabiki na upost kwa facts
Unamaanisha kuamini katika wema au ubaya au kwa maana ya uislamu na ukristu?Yani hata uzaliwe kwenye pango lazima uwe na upande mmoja wa kuamini...Vitabu vya mashariki ya kati vinatufundisha kuamnini upande mmoja , ila sio lazima vitabu kuamini upande flani. Hata jamii inaweza kukuanya ukaamini upande flani
Muongo. Tupe source ya hii habariIsraeli F_16 fighters jets strikes Iranians targets near DAMASCUS .the IDF official declined to comment on this report.
Green house zao nzuri sana ila mambo ya rocket na anga ni wanunuzi kama bongo ya siro na cctvMkuu usiongee kishabiki. walau Google uone tu taarifa zihusuyo S300 - S700 (ingawa S500 -700 bado ni siri). Lakini pia wasikilize military analyst wakubwa wanasema nini. Israel anaweza kuwa ana zana nzuri sana za kilimo, pharmaceuticals but when it comes to military bado yupo nyuma ya watu wengine.
Fact.S-700 haipo bado, ila waziri wa ulinzi wa Israeli aliongea hiyo statement kuwa, kama Syria watatungua ndege za kivita za israeli.. Israeli itazifuta air defence zote zilizohusika haijalishi ni s-300 au hata s-700 kama itakuwepo, ila watazifuta sasa kwa historia ambayo huijui Israeli imepigana vita mara nyingi kuliko nchi yoyote..sasa jaribu kujua hivyo vita vilikuaje! kama ni wakulima ndo utajua. Na kama ungejua sehemu kubwa ya uchumi wao ni kwa kuuza vifaa vya kijeshi kwa marekani, Urisi, China, India na nchi nyingine kibao ungejua namaanisha nini hapo
Sasa kwa nini Israel, haiko kwenye kundi la nchi tajiri, inaishi kwa kutegemea misaada kutoka Marekani?USIJIDANGANYE ILI UCHEKE, ISRAELI NI NCHI NYINGINE, HAPO SIO USHABIKI WALA NINI. HAKUNA NCHI INAYOONGOZA KWA UBUNIFU KAMA ISRAELI. UKIWA MTU WA KUFANYA UCHUNGUZI UTAGUNDUA KARIBIA KAMPUNI ZOTE ZA TEKNOLOJIA ZIMEWEKA MAKAO YAKE MAKUU YA RESEARCH AND DEVELOPMENT ISRAELI. YOTE JUU YA YOTE S-300 NA S-400 SIO MCHEZO NA NI TISHIO KWA NDEGE YOYOTE ILE...JAPOKUWA ITALETA MADHARA KWA ISRAELI, ISRAELI ITALETA MADHARA MAKUBWA ZAIDI KWA S-300/400, NA MWISHO WA SIKU S-300/400 HAZIWEZI KUIZUIA ISRAELI KABISA.
HABARI ZA MUDA HUU NAOMBA KUTUMIA NAFASI HII KUWATAARIFA HII YA ISRAELI KUSHAMBULIA SYRIA SIO YA KWELI NA NAOMBA MUIPUUZE.
HAO YAHUDI MDA HUU BADO WAKO HUKO UKRAINE PAMOJA NA BWANA WAO MAREKAN KUJIFUNZA JINSI YA KUIDHIBITI MFUMO HUU WA KULINDA ANGA WA URUSI ULIOWEKWA HAPO SYRIA.
What coincidence?hahah“One thing needs to be clear: If someone shoots at our planes, we will destroy them. It doesn’t matter if it’s an S-300 or an S-700,”
S-700 haipo bado, ila waziri wa ulinzi wa Israeli aliongea hiyo statement kuwa, kama Syria watatungua ndege za kivita za israeli.. Israeli itazifuta air defence zote zilizohusika haijalishi ni s-300 au hata s-700 kama itakuwepo, ila watazifuta sasa kwa historia ambayo huijui Israeli imepigana vita mara nyingi kuliko nchi yoyote..sasa jaribu kujua hivyo vita vilikuaje! kama ni wakulima ndo utajua. Na kama ungejua sehemu kubwa ya uchumi wao ni kwa kuuza vifaa vya kijeshi kwa marekani, Urisi, China, India na nchi nyingine kibao ungejua namaanisha nini hapo
Israeli F_16 fighters jets strikes Iranians targets near DAMASCUS .the IDF official declined to comment on this report.
HII NI FANTASTICMkuu tunaeleweshana kwa facts
Hebu toa silaha mojawapo (made in Israel) ambayo ni tishio kwa dunia hii.
Pia hebu tupe list (sio list yako) toa na source the most advanced and dangerous armed forces in the world.
Tatu millitary power sio airpower tu bali combination of equipments, human resources and strategy kwa kutumia walau hivi vigezo vichache Israel inashika nafasi ya ngapi,
NOTE: Israel wa kwenye biblia sio taifa la Israel la sasa. (Biblia ilimaanisha watu wa taifa la Mubgu yaano mimi na wewe)
Huenda wayahudi wameziloki kitaalamu acha Israel awatandike hao vibaraka wa Putin (natania tu)Na zile s-300 vipi kwani?