Kwani nani kakuambia shetani maana yake mbaya? Au nani kakuambia shetani adui/kinyume cha Mungu? Kitabu kilichokufanya umjue shetani kimesema alikua malaika wa Mungu kabla hajatupwa. Kwani wakati alipokua kwa Mungu, Kulikua na Shetani Mwingine adui wa Mungu?
Mungu ndo kafanya Giza na Mwanga, Zuri na Baya. Shetani ni adui yetu sisi wanadamu, anatuchukia sisi wanadamu.
Sasa sikiliza kwa makini nikupe darasa kubwa. Freemason/Pagan/Illuminati/Skull&Bones/Luciferians wote wanaamini Mungu aliyeumba binadamu ni gaidi na Alimweka binadamu kwenye bustani awe mtumwa, hadi nyoka/lucifer/shetani alipomuonea huruma na kumfundisha jinsi ya kuwa huru... Hiyo ndio sababu Freemasons na wengineo wamanuamini mungu ila Sio Mungu unayemjua wewe=shetani/lucifer.
Na moja ya vitu wanavyosoma kwenye vitabu vya dini vinaonekana kwao kuwa Mungu ni katili, au ana upendeleo au gaidi. Kama jinsi wewe unavyoona Mungu hawezi akawabariki Israeli ambao wanauwa waarabu, ndio hizo hizo hoja zao.
Alafu kuongeza msumari- Kwenye biblia Mungu aliwaambia waisraeli wawaue wapalestina wote, sio mtoto wala mzee wala ng'ombe. The rest of story is long Ila ndo hao watu wa Gaza wanaosumbua raia wa Israeli.
Kama utasema Mungu ni mbaya kwa kutaka waisraeli kuua hadi watoto wachanga wewe Freemason itakukaribisha mapema sana, na utapata degree za fasta.