Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,829
- 1,885
Hamas yavamia kikundi chenye msimamo mkali Doghumosh Clan Gaza city (13/3.2024) na kuua idadi kadhaa ya wapiganaji wao akiwemo kiongozi wao. Hamas walichukua hatua hii baada ya kikundi hicho kushutumiwa kuwa na mazungumzo na Israel. Hamas imeshawahi kuonya kuwa kikundi au mtu yeyote ndani ya Palestina atayeshirikiana na Israel atashughulikiwa.
Mpango wa afisa Usalama wa Israel "Shin Bet" ni kufanya mazungumzo na vikundi mbali mbali ndani ya Gaza, ili baada ya vita(kuitokomeza Hamas) kuigawanya Gaza na kuvipa vikundi hivyo jukumu la Usalama katika maeneo husika. Katika mpango huu Doghumush clan inatarajiwa kupewa Gaza kaskazini na kufanya kazi chini ya Israel.
Kikundi hiki kiitwacho "Army of Islam" ni kikundi shirikishi ndani/chini ya mwavuli wa Al-Qaida.
My take: Hapa Israel inaruka Mko...o na kukanyaga Mav. Eti unamkataa Hamas na unakwenda kumkumbatia Al-Qaida. Mwaka huu Israel imechanganyikiwa!
Chanzo: https://www.timesofisrael.com/hamas
Mpango wa afisa Usalama wa Israel "Shin Bet" ni kufanya mazungumzo na vikundi mbali mbali ndani ya Gaza, ili baada ya vita(kuitokomeza Hamas) kuigawanya Gaza na kuvipa vikundi hivyo jukumu la Usalama katika maeneo husika. Katika mpango huu Doghumush clan inatarajiwa kupewa Gaza kaskazini na kufanya kazi chini ya Israel.
Kikundi hiki kiitwacho "Army of Islam" ni kikundi shirikishi ndani/chini ya mwavuli wa Al-Qaida.
My take: Hapa Israel inaruka Mko...o na kukanyaga Mav. Eti unamkataa Hamas na unakwenda kumkumbatia Al-Qaida. Mwaka huu Israel imechanganyikiwa!
Chanzo: https://www.timesofisrael.com/hamas