Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 8,988
- 11,862
Israel imemuaa Jenerali Ali Shademani yaani Mkuu wa Majeshi mpya wa Iran ambaye alichaguliwa kushika nafasi hiyo baada ya aliyekuwa mkuu wa Majeshi kuuawa na Israel.
Jenerali Ali ametumikia nafasi hiyo kwa siku 4 na masaa 3 tu.
Taarifa imethibitishwa na kiongozi mkuu wa Iran.
Jenerali Ali ametumikia nafasi hiyo kwa siku 4 na masaa 3 tu.
Taarifa imethibitishwa na kiongozi mkuu wa Iran.