Mkandara said:
Mkuu shukran saana kuleta habari hii kuhusiana na Origin ya mfumo huu wa Bank ambao ulitumiwa na wayahudi, wakristu na hata leo waislaam.
Ikiwa mfumo wenyewe wanoutumia ni udanganyifu, halafu wakaupatia jina la Islamic Bank, hapo watakuwa wamefanana na ule mfumo unaotumiwa na Mayahudi:
"At the time of the Cholhamoed the transaction of any kind of business is forbidden. But it is permitted to cheat a goy, because cheating of goyim at any time pleases the Lord."- Chulchan Aruch, Orach Chaim 539.
Mkandara said:
Hakika Uislaam sii dini kwa tafsiri yenu au yoyote ile isipokuwa WATU wanaoabudu MUNGU mmoja ( only adhere to ONE divinity).
Kuamini Mungu mmoja hakumfanyi mtu kuwa Muislamu! karibu kila mtu mwenye akili zake timamu anaamini hivyo.
Nguzo ya kwanza ya Iman ni kumuamini Allah; hii ni kumuamini kuwa mmoja, kumuabudu yeye peke yake bila ya kumshirikisha na yoyote, kumpwekesha Yeye katika Majina yake mazuri na sifa zake na kumpwekesha yeye katika hukmu, yaani hakuna hukmu yoyote inayostahiki kuwapo isipokuwa ile aliyoiteremsha Allah.
Je kuna Myahudi au Mristo anayeamini hivyo?!
Mkandara said:
Islam ni dini - a way of life ambayo root yake ni Judaism (Jews),
Hapa ume claim kwa hiyo the onus ya kuleta proof lies upon you.
Mkandara said:
Kuna Makosa ya wazi kabisa yanayofanywa na wengi wetu hata wanapowataja Wayahudi - JEWS. Kwani neno hilo linatokana na kuwa identify Umma (watu) waliokuwa wafuasi wa YUDA mtoto wa Jacob ambao walimuabudu MUNGU mmoja kupitia mafundisho yake.
Very interesting!
Je, Ashkenaz Jews walikuwa ako wapi wakati huo? kwa sababu waliingia katika dini ya Uyahudi katika karne ya 7 (kama sikosei) ,karne nyingi baada ya Yuda kufa.
Mkandara said:
Hivyo ukweli wa kihistoria ni kwamba Jews walikuwa Wana Israel lakini sio Wana Israel wote walikuwa Jews...Leo hii hakuna tena ukweli huu..
Oh Masikini Mkandara! kwa hiyo Moses alikuwa siyo Myahudi kwa sababu alitokea katika kizazi cha Levi!
Exodus 6: 16] And these are the names of the sons of Levi according to their generations; Gershon, and Kohath, and Merari: and the years of the life of Levi were an hundred thirty and seven years.
[
17] The sons of Gershon; Libni, and Shimi, according to their families.
[
18] And the sons of Kohath; Amram, and Izhar, and Hebron, and Uzziel: and the years of the life of Kohath were an hundred thirty and three years.
[
19] And the sons of Merari; Mahali and Mushi: these are the families of Levi according to their generations.
[
20] And Amram took him Jochebed his father's sister to wife; and she bare him Aaron and Moses: and the years of the life of Amram were an hundred and thirty and seven years.
Kwahiyo Moses siyo Myahudi kwa sababu hakutokea katika kizazi cha Yuda bali Levites!
Na Abraham (Ibrahim) hakuwa Myahudi! kutokana na maelezo yako mwenyewe ni kuwa Uyahudi umetokana na Yuda ambaye alikuja wakati Abraham ameshakufa!
Mkandara said:
Waisrael wote wanaitwa Jews hata kama sii waabudu wa Judaism in practice bali ni Jews kwa uzawa wa mama Myahudi (a Jew)
Sasa vipi Muislamu Mpalestine asiitwe Jew?!! huoni kuwa unajichanganya mwenyewe?
Ukweli wenyewe unaonyesha kuwa; aidha hujajitayarisha kwa hii mada au ndio mwisho wa uwezo wako wa kufikiria!
Mkandara said:
Hivyo ufuasi wa Juda ndio imekuwa dini
Sasa inabidi utuelezee huyu Mu Ashkenaz Jew aliyapata vipi mafundisho ya Juda ili tujadiliane hapa.
Mkandara said:
Hivyo wanaofuata mfumo wa Banking ktk Wayahudi leo hii ni wale wanafuata Judaism ambao wengi wao ni Orthodox lakini sii Wayahudi wote kutokana na Gospel ya Binadamu..
Na huu ndio mfumo wenyewe:
"At the time of the Cholhamoed the transaction of any kind of business is forbidden. But it is permitted to cheat a goy, because cheating of goyim at any time pleases the Lord."- Chulchan Aruch, Orach Chaim 539
Mkandara said:
Mahakama ya Kadhi ni utaratibu uliokuwepo toka enzi ya Wayahudi.
Kichekesho! kofi la usoni kwa wanoshinikiza mahakama za Ki Kadhi! vipi?!
Mayahudi walikuwa ni watu wanaouchukua baadhi ya mafundisho ya Torah na kuyawacha baadhi, sasa wewe mwislamu unayetaka kuanziaha mahakama ya kikadhi ambayo utahukumu kwa sheria ya Allah katika baadhi ya mambo (ndoa, talaka,mirathi), na kuyaacha mengine, umeshabihiana na Mayahudi.
May Allah guide these Muslims! Verily to Him we belong and to Him we return.