Ndugu Mzanganyiko;[607023] yaelekea upeo wako wa kuelewa mambo ni mfinyu mno kiasi cha kusikitisha na kwamba unahitaji tiba ya ki-psychologia. Biologically binadamu mwanamke hubalehe(i.e to be matured enough to conceive) when she is at a range of age betwen 9 and 15 years old, and above. Na kwa binadamu mwanaume ni kuanzia miaka 15 na kuendelea. Wataalamu wa biology na mabingwa wengine wa Human Science( i.e anatomy) katika nchi nyingi zilizoendelea za huku Ulaya na Amerika wamebaini hilo na katika hilo wote wanakubaliana. Yaani, binti anaweza kuvunja ungo kuanzia dakika yoyote ile ya umri wake wa kuanzia miaka 9,10, hadi 15. Na ninahakika hata mmoja wa dada zako ni miongoni mwa wale wanawake waliobahatika kuvunja ungo wakiwa na umri huo mdogo wa miaka 9, hivyo, sioni sababu ya msingi kwa wewe kushanga kwa hilo. Ingekuwa vyema kwako kuanza kustaajabu kuvunja ungo kwa dada yako huyo akiwa na miaka 9 tu ambaye siku zote wala naye ,wanywa naye na zaidi ya yote wamuona kila kukicha, kuliko kustaajabu umri mdogo wa mke wa Muhammad ambaye hukumuona abadan bali wamsikia tu.
Ni vyema ukafahamu kwamba, katika karne nyingi zilizopita, utaratibu uliokubalika na jamii nyingi za wanadamu huko nyuma kuanzia wazungu, wachina, waarabu, wahindi na wa-Afrika, kigezo muhimu na cha awali kabisa kwa mtu kuowa au kuolewa kilikuwa kwanza ni rika lake, yaani kubarehe(kwa mwanaume) au kuvunja ungo(kwa mwanamke), baada ya kigezo hicho kukamilika, ndipo baadaye yalitazamwa mambo mengine muhimu mathalani, tabia njema, uwezo wa kujituma kufanya kazi ya kujipatia riziki kwa njia za halali, ushirikiano wa muoaji/muolewaji na watu wengine ndani ya jamii aliyomo, ucheshi,ukarimu, usafi nk.
Sasa ikiwa Muhammad(sw) alikuwa na umri wa zaidi ya miaka 40, tayari kesha barehe, na zaidi ya yote ni mwanamume rijali kamili na mwenye tabia inayokubalika na jamii yake, na huyo bi Asia anayedaiwa kuolewa naye alikuwa ni mwenye umri wa miaka 9,kesha vunja ungo na zaidi ya yote mwenye uzuri na hurka ya kupendeza, hivyo sioni tatizo lolote la kisheria kwa Muhammad kumuoa na yeye kukubali kuolewa naye.
Point ya mwisho kwako ndugu Mzanganyiko ni kwamba, wataalamu wa Pscychology wanaamini kwamba kwa mwanaume aliyekamilika na ambaye anamajukumu mazito ya kuiongoza jamii, ili aweze kufanya kazi hiyo vyema sharti la kwanza ni yeye awe na mke ambaye atampa mapumziko mema na burusisho la ki-Psychologia(i.e to create sustainable mental stability and confortability). Pale akili ya mume huyo itakapotulia na kuwa OK, ndipo atakapokuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi ki-busara na kwa makini zaidi na siyo kiubabaishaji. Kwa sababu hiyo ndiyo maana hakuna nchi yoyote duniani ambayo kwamba Rais wake ni hanith . Anaweza Rais huyo asiwe na mke wa ndoa halisi, lakini lazima atakuwa na kimada anayetambulika rasmi na watu awaongozaye-wa kumliwaza sawa na liwazo la mke halisi. Hata Cardinal Pengo na Mchungaji Mtikila wafahamu hivyo. Fanya nao faragha watakueleza kinagaubaga ndugu yangu wala usiwe na mashaka juu ya jambo hilo.
Kwahivyo, Muhammad(SWA),akiwa ni kiongozi wa jamii ilimpasa awe na mke zaidi ya huyo ili fursa ya kutuliza akili ipatikane by 100%, na hivyo aweze kutimiza majukumu yake ya kiroho ipasavyo. Kwa kumalizia, nakushauri na wewe uwe na mke tena dogo dogo ili akupatie mrithi na siyo kuokota migubigubi ya mjini inayo jali poch tu na siyo wajuzi wa mapenzi ya kukufanya wewe akili yako itulie na uweze kuchapa kazi sawasawa.