Ulichosema wewe sio mafundisho rasmi ya Kiislamu, niliyoyasema mimi juu ya Ukristo ni mafundisho rasmi ya Ukristu, kama lipo lisilo rasmi litaje.
Huwezi kutenganisha mafundisho ya uislam na muanzilishi wa hiyo dini. Vitu kibao vinavyofanyika kwa waislam ni reflection au maigizo ya vitendo vya mwanzilishi wake - muhamad.
Muhamad alibaka, akanajisi, na kutoa maumivu makali sana kwa kitoto cha miaka 9. Hii ni part ya uislam kama ilivyo kwa actions zingine za Muhamad - kwenda meccah kuhiji.