Islam and politics in Tanzania

Islam and politics in Tanzania

Kuelezwa facts siyo "complain" hiyo ni facts. shule zilizotaifishwa hazikuwa za kanisa tu mpaka za kiislamu. isitoshe baada ya kutaifishwa ndio "ubaguzi na uhuni wa mt. nyerere ulipoanza kwa kuweka mapdre wizara ya elimu to select only christians....
waislamu walishasoma kabla ya nyerere wewe dogo acha mapepe soma historia wazee wetu walikuwa wakijua kiarabu kuandika na kusoma, na kiswahili kabla huyo kibaraka wenu kutoka musoma hajafika kuharibu nchi nzuri ya Tanzania na kubandikiza (UDINI hapa) hasa ukatoliki..hili balaa

Mkuu hicho ndicho Kipimo chenu cha Kusoma?
 
Katika Uislamu mke habakwa, pengine mke anabakika in Ukristu.

Say what?

Kwa hiyo ndio maana ulitaka kuanza kuchunguza vitoto vya miaka miwili kujua kama vimebalehe (sijui balehe gani unaizungumzia hapa) ili uvioe.

Na utetezi wako mahakamani utakuwa - mwanamke habakwi?

Hii ndiyo moja ya sababu za kuleta mahakama za kadhi nini? - ili muwe mnaoa vitoto vidogo na kuvibaka kwa kutumia cover za udini?!
 
Say what?

Kwa hiyo ndio maana ulitaka kuanza kuchunguza vitoto vya miaka miwili kujua kama vimebalehe (sijui balehe gani unaizungumzia hapa) ili uvioe.

Na utetezi wako mahakamani utakuwa - mwanamke habakwi?

Hii ndiyo moja ya sababu za kuleta mahakama za kadhi nini? - ili muwe mnaoa vitoto vidogo na kuvibaka kwa kutumia cover za udini?!

Mke habakwi, sio mwanamke.

Ungekuwa makini ungejua nani anastahili kuabudiwa-Mungu ama aliyetumwa na Mungu.
 
Its always like this with these friends!

Plus all the references you have tried to mark out, but there is still a kind of doubt whether you have a well-wish for this country.

What will rewriting of History do with better life to your part, in person?

I think right now we need to fight for a common enemy, which is poverty and all the hazy situations lying ahead of us, instead of striving to look back, blaming and seeking for a magician!

History as a subject is really good, but not in the way you are trying to incinuate pal!

God Bless Tanzania!

History is good when told as it was! like what Mohamed Said did.

Why not re write by omitting the false history as now told? What have we got to lose by telling it as it is.

Thanks Brother Mohamed Said, I know you have many other things to write, I pray for your health and courage and InshaAllah you will finish your other works.
 
Mke habakwi, sio mwanamke.

Ungekuwa makini ungejua nani anastahili kuabudiwa-Mungu ama aliyetumwa na Mungu.
Wewe nimekwambia Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu na ni Mungu. Sijui unataka jibu gani kutoka kwa wakristo. Ila nimekwambia ili ujue fumbo hili lazima ukate kwanza mkataba ulionao na Shetani. Bila kuvunja huo mkataba hata ukielezwa kwa mwaka mzima huwezi kuelewa. Kumbe wakristo hawamwabudu binadamu kama unavyodai.
 
Who sent you? Bila shaka kuna ajenda mahsusi ya kueneza uongo wenu wa historia ya Uislam Tanzania kia siku kwani hizi mada za Uislam zimezidi na kila mara ni wanachama wapya wanazilbandika. Wote mmetumwa nyie!

Onesha kipande kimoja cha histiria aliyobandikwa hapo juu kuwa ni uongo! halafu wewe uonyeshe ukweli mbadala!

Huwezi!

Kama unaweza fanya hivyo. Waswahili tuna usemi wetu ''Ukweli ukibaini uongo hujitenga''. Haya lete huo ukweli wako, na kama huwezi basi ujuwe uongo umejitenga na ukweli unajibaini!
 
"The past cant teach the present". Badala ya kupandikiza mbegu ya upendo,uvumilivu na umoja ndani ya wananchi wewe unaleta utengano.
Kumbuka gaddafi alipoamua kuvunja kinu chake cha nyuklia alisema anafanya hivyo ili wananchi wake wawe na mahusiano mazuri na nchi za magaharibi kwa sababu upande huo ndo kuna maendeleo makubwa ya sayansi na technologia. Hao utawaunga tu upende usipende.

Utengano huletwa na kuficha ukweli na kutokubali kweli. Jee, ni kipi kinachotenganisha hapo juu? au hujapenda kilichoandikwa?
 
Karne ya ishirini na moja!!mnapanda bus la udini!!!kweli ndivyo mlivyo.umeisha iandika basi si ya tosha?Nini tena?
All densely populated areas inthe country are Christian areas,do you know?Do you know also pagans tend to identify themselves with christianity?
Kwa makabila mengi ya bara uislamu ni majina tu?
Kalagha baho.

Uwongo mtupu, weka data tuchambuwe!
 
History is good when told as it was! like what Mohamed Said did.

Why not re write by omitting the false history as now told? What have we got to lose by telling it as it is.

Thanks Brother Mohamed Said, I know you have many other things to write, I pray for your health and courage and InshaAllah you will finish your other works.

Naona mujahidina sasa wanaitisha jihad --- makafiri mjichunge
 
Utengano huletwa na kuficha ukweli na kutokubali kweli. Jee, ni kipi kinachotenganisha hapo juu? au hujapenda kilichoandikwa?

Ukweli kuwa Muhamad alibaka, kunajisi, na kukipatia maumivu makali kitoto cha miaka 9 kwa kisingizio cha ndoa.
 
Hivi nyie Waislamu mna shida gani kubwa hivyo?

Ni mangapi ambayo wakristu wamefanyiwa na waislamu ,wakakaa kimya au kusuluhisha kwa busara?

Ni kweli ukose mali lakini uwe na busara.

Ndo mnavyodanganyana na yule ndugu yenu Makwaia Wa Kuhenga?

Kwa mtindo huu wa chuki na majazba na hasira zisizodhibitika, basi hamfiki kokote, na mtaishia kuwasikia redioni wakristu wakipepea kama KISHADA.

Kwani wewe hujui kuwa alipozikwa ardhi ilitetemeka wakati haijapatapo kutokea eneo hilo? na hujui kwamba kaburi liliwaka moto? mpaka askari akakimbia? Yalitoka kwenye gazeti yakapigwa marufuku yasiandikwe tena. Sasa anaewakiwa moto kaburini yukoje huko? na kwa nini iwe hivyo kwake tu? jibu ni simpo, dhulma alizofanya na baadhi yake ni kama zilivyo ainishwa hapo juu!
 
Kwani wewe hujui kuwa alipozikwa ardhi ilitetemeka wakati haijapatapo kutokea eneo hilo? na hujui kwamba kaburi liliwaka moto? mpaka askari akakimbia? Yalitoka kwenye gazeti yakapigwa marufuku yasiandikwe tena. Sasa anaewakiwa moto kaburini yukoje huko? na kwa nini iwe hivyo kwake tu? jibu ni simpo, dhulma alizofanya na baadhi yake ni kama zilivyo ainishwa hapo juu!

Na baada ya kaburi kuwaka moto, akaamrisha kwamba watu wote wasio waislam (makafiri) wauwawe kwa upanga.

Frustrating ... isnt it?. Alishindwa kueneza dini kwa amani ikabidi aangukie violence. No wonder wafuasi wake wanachinjana kila siku.
 
Wewe nimekwambia Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu na ni Mungu. Sijui unataka jibu gani kutoka kwa wakristo. Ila nimekwambia ili ujue fumbo hili lazima ukate kwanza mkataba ulionao na Shetani. Bila kuvunja huo mkataba hata ukielezwa kwa mwaka mzima huwezi kuelewa. Kumbe wakristo hawamwabudu binadamu kama unavyodai.

Kama yeye ni Mungu kwa nini anasema hana ubavu wa kufanya lolote bila ya amri ya aliyemtuma?


John 5:30
"I can do nothing on My own initiative. As I hear, I judge; and My judgment is just, because I do not seek My own will, but the will of Him who sent Me.

manabii wote had the same story-uwezo wao ulitokana na kupewa nguvu na Mungu na sio nguvu zao wenyewe.
 
Daah nimepitia page huku kwenye hii thread nimecheka kwa kweli.... naomba niishie hapo maana mara kuna wabakaji, mara kuna wanaosema watu wanamwabudu Mungu anayelala kula na kwenda msalani... nimechoka kwa kweli
 
Naona mujahidina sasa wanaitisha jihad --- makafiri mjichunge
Mti mwema hutambulikana kwa matunda yake mema. Vivyo hivyo mti mwovu hutambulikana kwa matunda yake maovu. Yetu macho na masikio. Hatuna ugomvi na mtu. Lakini ukiona watu wanazidisha lalamu ujue ndo namna ya ibilisi anavoamuka na kujichajisha ili awe na nguvu ya kufanya anayotaka. He is so clever. Kwanza analia na kunadi anaonewa kumbe ni mbinu ya kutafuta mwanya wa wa kuhurumiwa. Na akisha hurumiwa na kupewa nafasi utaona kitakachofuata. This is reality. Kama nadanganya someni waraka wa shura ya maimamu. You will easily sense. They are about to show their real colours.
 
Na baada ya kaburi kuwaka moto, akaamrisha kwamba watu wote wasio waislam (makafiri) wauwawe kwa upanga.

Frustrating ... isnt it?. Alishindwa kueneza dini kwa amani ikabidi aangukie violence. No wonder wafuasi wake wanachinjana kila siku.

takwimu rasmi diniani zinasema waliouwa kuliko wote na kuuliwa kuliko wote ni Waksristu.

Vita kuu ya 2 peke yake vichwa kama milioni 50 na ushee vilichinjwa.

Uliza crusaders waliua wangapi kwa ajili ya tofauti za dini tu.

Dini inayosema dhambi zote ni sawa mbele ya Mungu, yaani mwizi wa chupi na muuwaji wote wametenda kosa of equal magnitude ni wazi inacheza na akili za Mungu.
 
Back
Top Bottom