October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 93
neno la kwanza Muhammad (PBUH) aliloambiwa na Mungu ni Ikra-soma.
neno la kwanza aliloambiwa Paulo na Mungu ni nini?
Point of Correction!
Mwamadi kabla ya kuambiwa soma alipigwa roba ya mbao mpaka akadhani mauti yamfikia. Hajakaa sawa akatandikwa roba nyingine tena na nyingine tena mpaka akawa hoi bin Taaban (Mungu hawi violent namna hiyo hata siku moja)
Pili alichokua anakisema alikua hakijui kwa sababu alikua illiterate.
Tatu hakuambiwa na Mungu asome bali na Jibreel na sio Mungu.
Kujibu Swali lako kuhusu Paulo ingawa si lazima nikujibu lakini kwa kukusaidia tu ni kwamba neno la kwanza kuambiwa na Mungu ilikua kuitwa jina lake mara mbili, ''Sauli Sauli...' Hili likikua jina lake kabla ya kua Mkristo.
Usidanganye watu tafadhali,