Waislamu wapo wa aina mbili,kuna waislamu poa(makafiri) hawa ni waislmu wanye msimamo wa wastani;hawa hunywa pombe,huwa na urafiki na watu wa dini nyingine NK.
Kisha kuna waislamu wafia dini (waliookoka),hawa ndiyo wenye msimamo mkali wakiwemo alshabab,boko haram,Islamic state, al Qaeda N.K.Hawa hutumia aya za Qur'an na mafundisho ya mtume katika kupigania na kusambaza uislamu,hawa huwa hawana urafiki na mtu ambaye hana msimamo mkali wa kiislam kama wao.Kwao hakuna la maana sana zaidi ya kuirithi pepo ya Allah.