Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
And the movie plot thickens! Kwa hiyo muda wote huu ina maana Wamarekani walikuwa wanawafanya nini hao ISIS?
us are very clever, i don't think if russia were invited to attack isis in good will. Time will come and russia will realize its a mistake!
safi sana,kumbe marekani alikuwa anawafuga isis
Republican presidential front-runner Donald Trump (Next President of US) said the United States should let Russia fight it out against the Islamic State terrorist group in Syria, saying Syrian President Bashar Assad looks better to him than the alternative.Russians were never invited by US to attack ISIS. Where did you see them being invited by US? Nuts.
Tatizo la hiyo vita ni kwamba, mrusi analinda utawala wa assad, lkn marekani haimtaki assad, hivyo inaunga mkono waasi, wanaompinga assad. Kwa hiyo marekani inakuwa imejipa kazi kubwa ya kupiga isis, wakati huo huo impige assad, kazi ipo. Ndo maana imeishia kujaribu kupatana na mrusi, lkn imegonga mwamba.
Russians were never invited by US to attack ISIS. Where did you see them being invited by US? Nuts.
KImsingi Marekani hajadhamiria kuwapiga ISIS kinachoendelea ni saa tu..kwa uwezo walionao wamarekani wanajua at any time ISIS wapo wapi wamelala wapi wametoka na mwanamke gani wamevaa nguo gani chakula wanatoa wapi wana magari mangapi diseli inatoka wapi simu wamempigia nani etc etc..wao wanachotaka ni dunia iamini kuwa kweli wanapambana na ISIS ili hali wanataka Assad atoke (hawataki mtandika moja kwa moja kelele zitakuwa nyingi)..Mrusi kwa kuwa anajua hiyo fitna yote (na kwa kuwa analinda soko lake la gesi kwa kupinga gesi kutoka Qatar kupitishwa Syria kwenda uturuki na ulaya) kaamua kugawa kichapo cha mbwa mwizi tokea angani huku ardhini majemedari toka Syria, Lebanon (HIzbolah) na Iran wanakimbiza..kama marekani haitaingilia kati kuwapa silaha na makombora ya kudungulia ndege ISIS basi kiama chao kimewasili
Sema hapo sijui nani yupo sahihi ila nadhani russia yupo bomba, usa wajingaa
Tatizo la hiyo vita ni kwamba, mrusi analinda utawala wa assad, lkn marekani haimtaki assad, hivyo inaunga mkono waasi, wanaompinga assad. Kwa hiyo marekani inakuwa imejipa kazi kubwa ya kupiga isis, wakati huo huo impige assad, kazi ipo. Ndo maana imeishia kujaribu kupatana na mrusi, lkn imegonga mwamba.
za
Hizo video sitaki kuziamini sana coz,nimeona mtangazaji akisema hiyo video ya kudondoshewa siraha na us ni unconfirmed video,na hata hivyo video nying za hapo ni kutoka RT ambayo ni statio ya russia...na wote tunafaham russia na us wanapondana kama ccm na ukawa ,kama ingekuwa kweli russia ingesema hyo mambo officially...so hizo ni story za kimtazamo zaidi
Russians were never invited by US to attack ISIS. Where did you see them being invited by US? Nuts.
Isil ni zao la marekani na israel, upo ushahidi wa kutosha kabisa. Na ndio maana hata isil walivyoushambulia mji wa kobani unaokaliwa na wa kurdi wa turkey, uturuki na marekani hawakutaka kuingilia kati mapema. Na ndio maana ni baada ya iran kuingia vitani ndio angalau isil ikaanza rudishwa nyuma. Urusi inafahamu fika ndoa ya isil na marekani ndio imesema marekani aondoe ndege zake na imeficha mpango wake wa kijeshi. Tayari marekani imeanza lalamikia mashambulizi hayo.