Ishu ya vibanda fikirieni mara mbili, mnaharibu maisha ya watu

Njia nyingine rahisi serikali wangeitumia kwa wamachinga...
Wawape maeneo ya wazi wafanye kama magulio tu

Ova
Hayo maeneo dar hakuna.....watapelekwa mabwepande..hakuna huduma.hakuna chochote...wanunuz hawatofika huko..
 
Hapa sasa ndio inatakiwa mlianzishe.
Nadhani vibosile wamegoma frem zao hazipati wateja
 
Unahis wote wameenda shule mkuu...wale wamama wauza supu wanahitaj muongozo...lets not talk about me...i can handle myself .tuongelee hao wengne...mim niko vzur
Serikali itawalazimisha wajiunge vikundi?

Mama lishe wakipangisha fremu kwa kushea shida iko wapi
Mbona fremu nyingi tu kuna vihoteli vidogo vya mama lishe na wote tunavijua

Unapenda waendeleee kupikia barabarani?.
 
Ni darasa la saba hao au ni Uni. Graduates...usiongelee tabaka moja...kwenye machinga kuna graduates wa vyuon na darasa la saba na wengne hata shule hawajaenda..na ndo weng
Wasio na elimu wafanye kazi zisizohitaji elimu
Elimu sio lazima ili ujishughulishe

Ila taratibu zipo
Haimaanishi kwa kuwa huna elimu ndio usifate taratibu


Mfano Mama yangu mdogo toka nitoke alikua anafanya mama lishe Makumbusho pale na analipia fremu

Alihama badae
 
Mkuu...naomba nisibishane nawew..uko mbali na uhalisia..uko ki vitab vitab..ki sera sera.hakuna uhalisia ...naomba nisikujib tena.....kiufup tu..mim nishapita kote huko


Sera hizi umetoka kuzijadili punde tu kuwa serikali iboreshe mazingira ukiulizwa umefika tume ya umwagiliaji ukakosa msaada utasemaje?

Ama ungependa serikali iboreshe kwa style gani?ifate watu nyumbani ama iweke taasisi za kusaidia watu ambazo wananchi wanaweza kwenda kupata msaada?.
 
Nimeona kuna sehemu muuza pweza kaajiri mzee umri wa miaka kama 60 na kitu kwenda 70 kaambiwa aondoke na ni mbele ya eneo la mtu pembezoni mwa barabara ya vumbi (kifusi cha kokito)!!!!

Nawaza yule mzee ataenda wapi? Kijana ataishi tu ataenda kubeba zege au mchanga alipwe 10 kwa siku nauli 2000, chakula na maji 2500.
 
Sio lazima waende huko hata
Baadhi yao wanamudu kupangisha fremu

Kama huyu mwenye hii thread ana uwezo mkubwa tu anaimport vitu toka china ila anajiita machinga
Js imagine
Hahahah

Huyu siyo mmachinga

Ndomana nlimwambia mmachinga ni yule anayetembeza bidhaa zake kwa mguu kutoka sehemu moja kwenda nyingine,jioni anarudi kwake

Ova
 
Nimeona kuna sehemu muuza pweza kaajiri mzee umri wa miaka kama 60 na kitu kwenda 70 kaambiwa aondoke na ni mbele ya eneo la mtu pembezoni mwa barabara ya vumbi (kifusi cha kokito)!!!!

Nawaza yule mzee ataenda wapi? Kijana ataishi tu ataenda kubeba zege au mchanga alipwe 10 kwa siku nauli 2000, chakula na maji 2500.
Ingekua wewe ndo kiongozi ungefanyaje?.
 
Nasikia hivyo vibanda usiku vinakua guest..na wengine vinakua ni maficho ya wahalifu
 
Nafanya hivi kwa kuwa 2025 ni mbali tunajua ukikaribia uchaguzi watakuja na shairi jipya la wanyonge na machinga lkn muda huu CDM wautumie kupata popularity hii sisiem inaingia kwa nguvu za vurugu si kura amabalo litaamusha ari ya ukombozi.
 
Unahis hatulip kodi?...hebu pitia pitia tena na uulize kama hatulip kodi...mim nina magol zaid ya 10 nmeajir vijana zaid ya 25...nalipa kodi...siko kwenye barabara niko pembezon mwa jij..kwenye maeneo ta watu...naambiwa nitoe..aisee atakufa mtu kwa lolote.hata kwa kuloga mzee...
nyie ndio mnajenga vibanda na kuvikodisha kisha mnapata pesa.Mnatoa vijana vijijini n thn wanakuja kujazana mjini apa kwa ujira mdogo...hapana aisee hii sio sawa.
 
Nafanya hivi kwa kuwa 2025 ni mbali tunajua ukikaribia uchaguzi watakuja na shairi jipya la wanyonge na machinga lkn muda huu CDM wautumie kupata popularity hii sisiem inaingia kwa nguvu za vurugu si kura amabalo litaamusha ari ya ukombozi.
km cdm ndio watakuja na gia yao ya kurudisha wafanyabiashara wa vibanda ili wachafue tena jiji,wataungwa mkono na wehu tu lkn sio watu wenye akili timamu.
 
Back
Top Bottom