Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,086
- 15,958
Sawa tumekubali city centre, Kkoo na kwingine sababu ya msongamano wa watu ni kweli watoke
Ila sasa mnatoa watu wako Kinyerezi ndani ndani, Madale, Goba huko ndani ndani vijana, wamama wamejiajiri wanaweka vibanda along the road huko pembezoni mwa jiji tena sio kwenye mifereji bali wanarudisha nyuma mita kadhaa bado huko pia mnawambia watoe, dahhh!
Kwa hiyo mnataka wafanye biashara kwenye frame za laki 2 mpaka laki 3, why mnakataza hata huku pembezoni mwa jij?
Watu wafanyeje sasa wakuu, hao machinga wa siku hizi wengi ni graduates wa vyuo vikuu.
Ajira zenyewe mnazo wa-preach ndio hizo...mnataka wafanye nini wakuu?
Hayo maeneo mnayosema mnawatengea, kwa wingi wao hayawezi tosha hata siku1.
Wakuu toeni hayo mabanda kwenye stand za mabasi masoko ya mijini ila huku pembezoni waacheni jamani
Suala hili ni kubwa kuliko mnavyofikiria.
Wengne tuna kofia mbili, tuko kwenye biashara na tuko kwenye ajira formal na tumeajiri watu wengi.
Watu wanacheka, Well tutayumba for a while lakini tutarudi na njia nyingne bora. Naamini hilo mfanyabiashara ni mtu mwenye akili nyingi sana naamini hilo.
Uzi tayari
Ila sasa mnatoa watu wako Kinyerezi ndani ndani, Madale, Goba huko ndani ndani vijana, wamama wamejiajiri wanaweka vibanda along the road huko pembezoni mwa jiji tena sio kwenye mifereji bali wanarudisha nyuma mita kadhaa bado huko pia mnawambia watoe, dahhh!
Kwa hiyo mnataka wafanye biashara kwenye frame za laki 2 mpaka laki 3, why mnakataza hata huku pembezoni mwa jij?
Watu wafanyeje sasa wakuu, hao machinga wa siku hizi wengi ni graduates wa vyuo vikuu.
Ajira zenyewe mnazo wa-preach ndio hizo...mnataka wafanye nini wakuu?
Hayo maeneo mnayosema mnawatengea, kwa wingi wao hayawezi tosha hata siku1.
Wakuu toeni hayo mabanda kwenye stand za mabasi masoko ya mijini ila huku pembezoni waacheni jamani
Suala hili ni kubwa kuliko mnavyofikiria.
Wengne tuna kofia mbili, tuko kwenye biashara na tuko kwenye ajira formal na tumeajiri watu wengi.
Watu wanacheka, Well tutayumba for a while lakini tutarudi na njia nyingne bora. Naamini hilo mfanyabiashara ni mtu mwenye akili nyingi sana naamini hilo.
Uzi tayari