Ishu ya vibanda fikirieni mara mbili, mnaharibu maisha ya watu

km cdm ndio watakuja na gia yao ya kurudisha wafanyabiashara wa vibanda ili wachafue tena jiji,wataungwa mkono na wehu tu lkn sio watu wenye akili timamu.
Siasa ni hesabu ninyi wenye akili mko wachache, sisi wajinga ndio wengi labda mtuibie kura tu.
Hata miongoni mwenu wenye akili serkali ime impose tozo, kujimilikisha biashara kw kulazimisha ushirika wa mazao ambao sio wa wakulima wenyewe ilimradi iweke makato.
 
nyie ndio mnajenga vibanda na kuvikodisha kisha mnapata pesa.Mnatoa vijana vijijini n thn wanakuja kujazana mjini apa kwa ujira mdogo...hapana aisee hii sio sawa.
Huon nimetoa ajira hapo au..au husikii kelele za unemployment
 
Na Nd

io Wanataka ujinga huu uendelee kisa wanajiita wanyonge acheni Kataeni kuitwa Wanyonge....Chakarika Nyie mkiungana Wawili mnakodi frem moja kila mtu anapanga vitu ili mradi muwe waaminifu....Shida mnataka unafuu wakati mnachafua kila eneo hapana asee...
Kauli za watu wa salary ya lak8 hizi.hahahahha....
 
Njia nyingine rahisi serikali wangeitumia kwa wamachinga...
Wawape maeneo ya wazi wafanye kama magulio tu

Ova
Pia Serikali ikiwezekana ijenge mifumo ya umwagiliaji,na vijana wakopeshwe kwa riba nafuu.kilimo Cha kutegemea mvua hakiwezi walipa. Kuwafukuza na kuharibu mitaji yao sio busara,tuangalie mbali hao ndio wanaweza kuivusha Nchini siku za mbeleni,wakipangiliwa vizuri.Nchi si ya matajiri peke yao.
 
Ingekua wewe ndo kiongozi ungefanyaje?.
Kiongozi wetu analo jibu nini cha kufanya.

Namuomba afuatilie kwa makini watendaji wake wa chini kama wanatekeleza maagizo kwa usahihi au kuna hujuma au kuna tatizo la kutafsiri vibaya maagizo.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom