L Leornado JF-Expert Member Nov 12, 2010 1,529 196 Jan 27, 2011 #1 Ukiwa hivi ni rahisi kumdhamini mtu polisi au mahakamani...
Z ZenaTulivu Senior Member Jan 1, 2011 137 4 Jan 27, 2011 #5 Ndao zao bado ziko salama kabisa hii sampuli ya matajiri wa Bongo? Hapa naona ugomvi kutwa mara tatu tu na mama watoto kama kumeza dawa, hamna kitu!!
Ndao zao bado ziko salama kabisa hii sampuli ya matajiri wa Bongo? Hapa naona ugomvi kutwa mara tatu tu na mama watoto kama kumeza dawa, hamna kitu!!
N Ndinani JF-Expert Member Aug 29, 2010 6,938 3,825 Jan 27, 2011 #6 Hawa jamaa wangepima afya zao naamini kabisa watakutwa na ugonjwa!!
Chris_Mambo JF-Expert Member Aug 11, 2010 596 119 Jan 27, 2011 #8 Ungeweka na jinsia nyingine! Uchunguzi unaonyesha wao ndiyo wanavyo sana, therefore richer!!
coscated JF-Expert Member Nov 17, 2010 2,919 1,968 Jan 27, 2011 #9 uwe na tumbo hilo halafu na mkeo awe na ujauzito kweli mnaweza kukutana kimwili? :car:
JOYCE PAUL JF-Expert Member Jan 8, 2010 1,005 82 Jan 28, 2011 #12 leornado said: ukiwa hivi ni rahisi kumdhamini mtu polisi au mahakamani... Click to expand... huu sio utajiri ni kujichimbia kaburi kabla ya wakati
leornado said: ukiwa hivi ni rahisi kumdhamini mtu polisi au mahakamani... Click to expand... huu sio utajiri ni kujichimbia kaburi kabla ya wakati
KIMICHIO JF-Expert Member Aug 12, 2010 1,179 80 Jan 28, 2011 #14 Sipati picha sazi ya mishedede waliyonayo kama vibamia.
Idimi JF-Expert Member Mar 18, 2007 14,967 10,461 Jan 28, 2011 #15 Safari_ni_Safari said: Ni ARVs at work Click to expand... Pole pole mkuu, utadaiwa ushahidi!
Mallaba JF-Expert Member Jan 30, 2008 2,554 47 Jan 30, 2011 #18 ooh kumbeeeeeeeee Leornado said: Ukiwa hivi ni rahisi kumdhamini mtu polisi au mahakamani... Click to expand...
ooh kumbeeeeeeeee Leornado said: Ukiwa hivi ni rahisi kumdhamini mtu polisi au mahakamani... Click to expand...
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Jan 30, 2011 #19 Tukaangalie bank statements :twitch:
Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 Jan 30, 2011 #20 hapo hebu naomba ufafanuzi kidogo utajiri wa minyama? au mali?