Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,431
Wakuu hii ndio sababu kubwa ya CCM kutaka kumuondoa Meya wa Jiji la Dar es Salaam , hakuna sababu nyingine yoyote ile.
Mwita anatuhumiwa kuzuia matumizi ya zaidi bil 5 ambazo ni mgawo kutoka UDART, Je, ni matumizi gani hayo yaliyotakiwa kufanywa na kwanini yamezuiliwa ? Hakuna mwanaccm atakayejibu swali hili , kwamba sijui matumizi mabaya ya gari la Halmashauri hizo ni porojo tu .
Tutaendelea kumwaga taarifa zao za siri kwa kadri wafichua maovu wanavyotuletea , Endeleeni kubaki hapahapa Jf .
KAMA MMBWAI NA IWE MMBWAI .
Mwita anatuhumiwa kuzuia matumizi ya zaidi bil 5 ambazo ni mgawo kutoka UDART, Je, ni matumizi gani hayo yaliyotakiwa kufanywa na kwanini yamezuiliwa ? Hakuna mwanaccm atakayejibu swali hili , kwamba sijui matumizi mabaya ya gari la Halmashauri hizo ni porojo tu .
Tutaendelea kumwaga taarifa zao za siri kwa kadri wafichua maovu wanavyotuletea , Endeleeni kubaki hapahapa Jf .
KAMA MMBWAI NA IWE MMBWAI .