Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,185
- 307
Jamani nimeshitusha na habari zilizoko kwenye gazeti la Mwanahalisi la leo kuwa wauaji watarajiwa wa Dr Mwakyembe walisafirishwa na magari ya polisi, Vodacom, Caspian na serikali???
Jamani ina maana Vodacom wanatumiwa kuhujumu usalama wa taifa??? Je JK anasemaje kuhusu tuhuma hizi nzito za waziri wake, je huyu waziri kweli anaweza kufanya kazi yake kwa ufanisi katika mazingira haya ya hofu?
Naomba wasije wakanikong'oli na mimi kwa umbeya huu... lakini wakifanya hivyo Mungu wa Ibrahim ninayemwamini atawaadhibu kwa pigo ambalo hawatalisahau
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika
Jamani ina maana Vodacom wanatumiwa kuhujumu usalama wa taifa??? Je JK anasemaje kuhusu tuhuma hizi nzito za waziri wake, je huyu waziri kweli anaweza kufanya kazi yake kwa ufanisi katika mazingira haya ya hofu?
Naomba wasije wakanikong'oli na mimi kwa umbeya huu... lakini wakifanya hivyo Mungu wa Ibrahim ninayemwamini atawaadhibu kwa pigo ambalo hawatalisahau
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika