game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
Wewe individually ni uhuru gani Umenyimwa? Siasa zimewafanya Mmekuwa Wajinga kabisa,Ndio mkuu, vyombo vya habari vitakuwa huru kuibua ufisadi serikalini ili uchukuliwe hatua. Bunge litakua huru kuisimamia serikali bila hofu ya "mashangazi kuvunjwa viuno". Mahakama zitatenda haki sio kuwaachia mafisadi kisa tu ni CCM na kufunga wale tu wanaokuwa upinzani. Bajeti itatakelezwa kma ambavyo pesa ilipangwa bungeni bila kona kona za kufuja pesa za mfuko mkuu wa serikali.
Kiufupi kwa tafiti lukuki zilizofanyika kuna uhusiano mkubwa kati ya utawala wa sheria na maendeleo. Nadhani mifano hai unayo
Umesingiziwa Kesi?
Umefanya biashara zako au miradi yako ikakwamishwa na Serikali?
Bila shaka hata maisha yako binafsi hayana mwelekeo, Jitume tafuta pesa zako, Huyo Tundu Lisu au Zitto kama unavyojiita Acount zao za bank zimejaa mabilioni wewe una nini? Acha ushabiki wa Kijinga unapoteza Muda.
Sent using Jamii Forums mobile app