nyambaya kurwaki
Senior Member
- Apr 8, 2020
- 133
- 155
Wewe ulitaka asimamie nini zaidi ya kusimamia utawala wa sheria na ndio ajenda ya watanzania
Nimemsikiliza Tundu Lissu akihojiwa na mwandishi wa BBC
Nimeshtuka sana baada ya kugundua kwamba TUNDU LISSU ninayemfahamu sio niliyemsikia katika maongezi yake.Je anafikir atapewa zawadi ya Urais kwa sababu tu alipigwa RISASI?Kwamba tutamzawadia URAIS kama kumpa pole kwa masahibu aliyoyapata?
TUNDU LISU ana SERA GANI?ANASIMAMIA NINI?JE ANATAKA KWELI KUWA RAIS WA HII NCHI?ANAO UWEZO WA KUWA RAIS WA HII NCHI?
Tuache masihara na cheo cha Urais sio cheo cha Mchezo Mchezo kusema kwamba tunampa mtu kwa sababu tu alipigwa RISASI bila kujua hasa ni nini anachokisimamia na nini anachokiamini
Nimeshangazwa sana na namna anavyozungumza na misimamo yake kuhusu maswala ya msingi haieleweki.Naona kama Tundu Lisu ameshakuwa addicted na Upinzani kiasi kwamba thinkinga yake iko katika kukosoa na kuhoji na kupinga na sio kupanga na kutekeleza maswala yenye maslahi
Niwaulize CHADEMA na TUNDU LISSU MWENYEWE JE Unautaka Urais ILI nini?KWELI unautaka Urais au unataka kugombea Urais?