Is the Fifth Phase Government uncivilized?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,206
103,769
Kamusi ya TUKI imetafsiri maana ya neno Civilization. Imetafsiri kuwa ni ustaarabu; hali bora ya kuishi, Hali ya kuwa mstaarabu na kuheshimiana

Mimi ni mmoja kati ya watu wanaomini serikali hii inaongozwa mtu mwenye mapenzi na hofu ya Mungu na mwenye roho ya upendo kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa. Kiongozi na viongozi ni watu wastaarabu. Lakini nimeanza kuingiwa na mashaka ya kushindwa kujua kama tutafika salama, Nitatoa mfano kwa machache
1. Kujivuna ushindi wa kumpiga adui aliyefungwa miguu na mikono
Hili linatudhalilisha sana sio ndani tu bali hata nje ya nchi. Viongozi wa CCM wamekuwa wakijitapa huku na kule kufanikiwa kuiangamaiza UKAWA lakini ajabu ni kwamba wakati CCM ikiwa huru kufanya siasa za wazi na vikao vya ndani, wapinzani hususani CHADEMA wanakamatwa hata wanapofanya vikao vya ndani. CHADEMA wamekuwa wapole na kuachana na siasa za majukwani na kubaki na vikao vya ndani, lakini bado hata huko wanafuatwa na kuwekwa ndani. Huu ni ustaarabu gani jamani.

2. Zoezi la ukaguzi wa vyeti wafanyakazi wa umma kufanywa kisiasa

Zoezi la vyeti kwa watumishi ni zoezi lililofanywa kwa mihemko ya kisiasa kama sio kutaka kiki kwa pikipiki. Kitaalam zoezi kama hilo lingefanywa kwa weledi na shirikishi badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kudhalilisha watu wasio husika.
Kiweledi zoezi hili lilitakiwa lifanyike kwa kina na kuwa na mawasiliano ya karibu kati ya kamati na wakurugenzi. Mawasiliano ya ndani kati ya kamati ya wataalam na wakurugenzi ingesaidia sana kupembua kwa umakini wote wasiohusika na kubaki na wale ‘’pure’’ tu, ndipo majina yangekabidhiwa kwa rais na kutolewa kwa umma. Kurudiwa-rudiwa kwa zoezi hili na baadhi ya watu kuingizwa kimakosa ni dhahiri kwamba kulikuwa na siasa nyuma ya kamati ya wataalam. Mmedhalilisha sana watu wasiohusika wakati kulikuwa na namna ya kuepuka yote haya.
3. Matukio ya mauaji Kibiti kuhusishwa na milengo ya kisiasa
Kauli zimetolewa na wakubwa kuanzia Dr.John, PM Majaliwa na waziri Mwigulu kwamba mbona wanaouliwa ni wa chama kimoja tu. Kiukweli mauaji ya Kibiti yanaumiza sana, lakini iweje kauli kama hizi za kutugawa zinatokana na viongozi. Picha gani inataka kuletwa na viongozi. Kauli kama hizi zinatonesha kidonda cha mgawanyiko uliopo kati ya watu wenye ideology tofauti.
4. Kauli za kibabe na kukataza mawazo kinzani.
  • Nilistajabishwa sana na kauli kupiga marufuku kupinga agizo la rais kuhusu wanafunzi wanaopata mimba. Nchi hii sio ya kidikteta ni ya kidemokrasia. Hata kama rais yupo sahihi lakini ni kweli tumefikia kiwango cha kukatazana kutoa mawazo tofauti na rais?
  • Ile kauli baada ya Lowasa kutaka mashehe wa Zanzibar wapelekwe mahakamani. Kwamba polisi wasiangalie sura wala mwendo wa mtu ''mchochezi''........Mwendo??Mwendo wa Lowasa unaosababishwa na maradhi??!!!!
  • Ile kauli ya rais kuwakaripia wabunge waliomtembelea Kamanda Lema akiwa gerezani ni wasaliti, haitatuacha salama
  • Matusi makubwa makubwa aliyotukana Rais Mstaafu Mkapa wakati wa kampeni na ambayo hata juzi ameendelea kutukana watanzania wenye mawazo tofauti kwamba ni Wapumbavu na Malofa
5. Uvamizi wa Kituo cha Habari cha Clouds Media
Hili lihitaji kulizungumzia, lakini jambo nili sio la kistaarabu kabisa na bahati mbaya zaidi hata Rais aliposhauriwa kumfukuza kazi RC Makonda mnajua majibu aliyoyatoa
Nauli tena kwa mara nyingine, Is government of ‘’Awamu ya 5’’ uncivilized?
Naomba majibu
 
Mimi ni mmoja kati ya watu wanaomini serikali hii inaongozwa mtu mwenye mapenzi na hofu ya Mungu na mwenye roho ya upendo kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa. Lakini nimeanza kuingiwa na mashaka ya kushindwa kujua kama tutafika salama, Nitatoa mfano kwa machache
1. Kujivuna ushindi wa kumpiga adui aliyefungwa miguu na mikono
Hili linatudhalilisha sana sio ndani tu bali hata nje ya nchi. Viongozi wa CCM wamekuwa wakijitapa huku na kule kufanikiwa kuiangamaiza UKAWA lakini ajabu ni kwamba wakati CCM ikiwa huru kufanya siasa za wazi na vikao vya ndani, wapinzani hususani CHADEMA wanakamatwa hata wanapofanya vikao vya ndani. CHADEMA wamekuwa wapole na kuachana na siasa za majukwani na kubaki na vikao vya ndani, lakini bado hata huko wanafuatwa na kuwekwa ndani. Huu ni ustaarabu gani jamani.

2. Zoezi la ukaguzi wa vyeti wafanyakazi wa umma kufanywa kisiasa

Zoezi la vyeti kwa watumishi ni zoezi lililofanywa kwa mihemko ya kisiasa kama sio kutaka kiki kwa pikipiki. Kitaalam zoezi kama hilo lingefanywa kwa weledi na shirikishi badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kudhalilisha watu wasio husika.
Kiweledi zoezi hili lilitakiwa lifanyike kwa kina na kuwa na mawasiliano ya karibu kati ya kamati na wakurugenzi. Mawasiliano ya ndani kati ya kamati ya wataalam na wakurugenzi ingesaidia sana kupembua kwa umakini wote wasiohusika na kubaki na wale ‘’pure’’ tu, ndipo majina yangekabidhiwa kwa rais na kutolewa kwa umma. Kurudiwa-rudiwa kwa zoezi hili na baadhi ya watu kuingizwa kimakosa ni dhahiri kwamba kulikuwa na siasa nyuma ya kamati ya wataalam. Mmedhalilisha sana watu wasiohusika wakati kulikuwa na namna ya kuepuka yote haya.
3. Matukio ya mauaji Kibiti kuhusishwa na milengo ya kisiasa
Kauli zimetolewa na wakubwa kuanzia Dr.John, PM Majaliwa na waziri Mwigulu kwamba mbona wanaouliwa ni wa chama kimoja tu. Kiukweli mauaji ya Kibiti yanaumiza sana, lakini iweje kauli kama hizi za kutugawa zinatokana na viongozi. Picha gani inataka kuletwa na viongozi. Kauli kama hizi zinatonesha kidonda cha mgawanyiko uliopo kati ya watu wenye ideology tofauti.
4. Kauli za kibabe na kukataza mawazo kinzani.
  • Nilistajabishwa sana na kauli kupiga marufuku kupinga agizo la rais kuhusu wanafunzi wanaopata mimba. Nchi hii sio ya kidikteta ni ya kidemokrasia. Hata kama rais yupo sahihi lakini ni kweli tumefikia kiwango cha kukatazana kutoa mawazo tofauti na rais?
  • Ile kauli baada ya Lowasa kutaka mashehe wa Zanzibar wapelekwe mahakamani. Kwamba polisi wasiangalie sura wala mwendo wa mtu ''mchochezi''........Mwendo??Mwendo wa Lowasa unaosababishwa na maradhi??!!!!
  • Ile kauli ya rais kuwakaripia wabunge waliomtembelea Kamanda Lema akiwa gerezani ni wasaliti, haitatuacha salama
  • Matusi makubwa makubwa aliyotukana Rais Mstaafu Mkapa wakati wa kampeni na ambayo hata juzi ameendelea kutukana watanzania wenye mawazo tofauti kwamba ni Wapumbavu na Malofa
5. Uvamizi wa Kituo cha Habari cha Clouds Media
Hili lihitaji kulizungumzia, lakini jambo nili sio la kistaarabu kabisa na bahati mbaya zaidi hata Rais aliposhauriwa kumfukuza kazi RC Makonda mnajua majibu aliyoyatoa
Nauli tena kwa mara nyingine, Is government of ‘’Awamu ya 5’’ uncivilized?
Naomba majibu


Go screw yourself!
 
Kamusi ya TUKI imetafsiri maana ya neno Civilization. Imetafsiri kuwa ni ustaarabu; hali bora ya kuishi, Hali ya kuwa mstaarabu na kuheshimiana

kwa maana hiyo na hali halisi ya jinsi serikali ya ccm inavyo wafanyia wapinzani basi jibu ushalipata na ulikua nalo ila ulitaka tu kutuumiza roho zetu kwani kila mtu anauona udhalimu na ubabe wao
 
Kamusi ya TUKI imetafsiri maana ya neno Civilization. Imetafsiri kuwa ni ustaarabu; hali bora ya kuishi, Hali ya kuwa mstaarabu na kuheshimiana

Mimi ni mmoja kati ya watu wanaomini serikali hii inaongozwa mtu mwenye mapenzi na hofu ya Mungu na mwenye roho ya upendo kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa. Kiongozi na viongozi ni watu wastaarabu. Lakini nimeanza kuingiwa na mashaka ya kushindwa kujua kama tutafika salama, Nitatoa mfano kwa machache
1. Kujivuna ushindi wa kumpiga adui aliyefungwa miguu na mikono
Hili linatudhalilisha sana sio ndani tu bali hata nje ya nchi. Viongozi wa CCM wamekuwa wakijitapa huku na kule kufanikiwa kuiangamaiza UKAWA lakini ajabu ni kwamba wakati CCM ikiwa huru kufanya siasa za wazi na vikao vya ndani, wapinzani hususani CHADEMA wanakamatwa hata wanapofanya vikao vya ndani. CHADEMA wamekuwa wapole na kuachana na siasa za majukwani na kubaki na vikao vya ndani, lakini bado hata huko wanafuatwa na kuwekwa ndani. Huu ni ustaarabu gani jamani.

2. Zoezi la ukaguzi wa vyeti wafanyakazi wa umma kufanywa kisiasa

Zoezi la vyeti kwa watumishi ni zoezi lililofanywa kwa mihemko ya kisiasa kama sio kutaka kiki kwa pikipiki. Kitaalam zoezi kama hilo lingefanywa kwa weledi na shirikishi badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kudhalilisha watu wasio husika.
Kiweledi zoezi hili lilitakiwa lifanyike kwa kina na kuwa na mawasiliano ya karibu kati ya kamati na wakurugenzi. Mawasiliano ya ndani kati ya kamati ya wataalam na wakurugenzi ingesaidia sana kupembua kwa umakini wote wasiohusika na kubaki na wale ‘’pure’’ tu, ndipo majina yangekabidhiwa kwa rais na kutolewa kwa umma. Kurudiwa-rudiwa kwa zoezi hili na baadhi ya watu kuingizwa kimakosa ni dhahiri kwamba kulikuwa na siasa nyuma ya kamati ya wataalam. Mmedhalilisha sana watu wasiohusika wakati kulikuwa na namna ya kuepuka yote haya.
3. Matukio ya mauaji Kibiti kuhusishwa na milengo ya kisiasa
Kauli zimetolewa na wakubwa kuanzia Dr.John, PM Majaliwa na waziri Mwigulu kwamba mbona wanaouliwa ni wa chama kimoja tu. Kiukweli mauaji ya Kibiti yanaumiza sana, lakini iweje kauli kama hizi za kutugawa zinatokana na viongozi. Picha gani inataka kuletwa na viongozi. Kauli kama hizi zinatonesha kidonda cha mgawanyiko uliopo kati ya watu wenye ideology tofauti.
4. Kauli za kibabe na kukataza mawazo kinzani.
  • Nilistajabishwa sana na kauli kupiga marufuku kupinga agizo la rais kuhusu wanafunzi wanaopata mimba. Nchi hii sio ya kidikteta ni ya kidemokrasia. Hata kama rais yupo sahihi lakini ni kweli tumefikia kiwango cha kukatazana kutoa mawazo tofauti na rais?
  • Ile kauli baada ya Lowasa kutaka mashehe wa Zanzibar wapelekwe mahakamani. Kwamba polisi wasiangalie sura wala mwendo wa mtu ''mchochezi''........Mwendo??Mwendo wa Lowasa unaosababishwa na maradhi??!!!!
  • Ile kauli ya rais kuwakaripia wabunge waliomtembelea Kamanda Lema akiwa gerezani ni wasaliti, haitatuacha salama
  • Matusi makubwa makubwa aliyotukana Rais Mstaafu Mkapa wakati wa kampeni na ambayo hata juzi ameendelea kutukana watanzania wenye mawazo tofauti kwamba ni Wapumbavu na Malofa
5. Uvamizi wa Kituo cha Habari cha Clouds Media
Hili lihitaji kulizungumzia, lakini jambo nili sio la kistaarabu kabisa na bahati mbaya zaidi hata Rais aliposhauriwa kumfukuza kazi RC Makonda mnajua majibu aliyoyatoa
Nauli tena kwa mara nyingine, Is government of ‘’Awamu ya 5’’ uncivilized?
Naomba majibu
Nadhani unataka kutuambia kwamba Rais Magufuli sio civilized, ingawa naona Mkapa naye kaunganishwa.Hata hivyo umeshindwa ku-connect vizuri mawazo yako, ili hatimaye uweze kupata mtiririko mzuri.Kwa jinsi hiyo bandiko lako lingeweza kueleweka vizuri zaidi.

Kwa sehemu nakubaliana na wewe kwamba Mkapa sio civilized,hasa ukizingatia matamshi yake dhidi ya Watanzania kwa ujumla wetu, ambayo yamekuwa na utata mwingi.Hata hivyo sikubaliani na wewe kuhusu Rais Magufuli.Frankly he does not deserve to be called uncivilized. Sioni baya mno alilolifanya mpaka aonekane kwamba ni uncivilized.

At most he should be praised for his efforts.Mengi anayofanya ni mazuri, na yana lengo la kuhakisha kwamba tunafika salama, tofauti na wewe unavyodhani, hata kama kwa sasa hili haliko wazi,labda kwa sababu ya agenda zetu za siri au ufahamu wako mdogo.To me, hizi ni juhudi za makusudi za kumkatisha tamaa Rais.
 
Nadhani unataka kutuambia kwamba Rais Magufuli sio civilized, ingawa naona Mkapa naye kaunganishwa.Hata hivyo umeshindwa ku-connect vizuri mawazo yako, ili hatimaye uweze kupata mtiririko mzuri.Kwa jinsi hiyo bandiko lako lingeweza kueleweka vizuri zaidi.

Kwa sehemu nakubaliana na wewe kwamba Mkapa sio civilized,hasa ukizingatia matamshi yake dhidi ya Watanzania kwa ujumla wetu, ambayo yamekuwa na utata mwingi.Hata hivyo sikubaliani na wewe kuhusu Rais Magufuli.Frankly he does not deserve to be called uncivilized. Sioni baya mno alilolifanya mpaka aonekane kwamba ni uncivilized.

At most he should be praised for his efforts.Mengi anayofanya ni mazuri, na yana lengo la kuhakisha kwamba tunafika salama, tofauti na wewe unavyodhani, hata kama kwa sasa hili haliko wazi,labda kwa sababu ya agenda zetu za siri au ufahamu wetu mdogo.To me, hizi ni juhudi za makusudi za kumkatisha tamaa Rais.
Unaandika huku umeonyeshwa bastola au uko huru ?
 
...also inferiority complex.
Hiyo ni kawaida ya watu wenye "chip on their shoulder".

Magufuli ana hangups na psychological issues kutoka umasikini na matatizo ya familia alipokulia na mpaka leo yanatuletea matatizo kwenye urais wake.

Ndiyo maana kawanyima Wahaya mpaka msaada wa tetemeko waliochangiwa.

Now what kind of president does that?

Sent from my Kimulimuli
 
Unaandika huku umeonyeshwa bastola au uko huru ?
Kwa kuwa nimemsifia JPM?Pole.Haya ni mawazo yangu,na si mawazo yangu tu,bali ndio ukweli.Wivu utawaua.

Hata hivyo sidhani kama wewe uko huru, kama unavyojiamisha,believe me, wewe ni mtumwa!Laiti ungejua kwamba you are mind controlled,wala usingejifaragua.
 
Kamusi ya TUKI imetafsiri maana ya neno Civilization. Imetafsiri kuwa ni ustaarabu; hali bora ya kuishi, Hali ya kuwa mstaarabu na kuheshimiana

Mimi ni mmoja kati ya watu wanaomini serikali hii inaongozwa mtu mwenye mapenzi na hofu ya Mungu na mwenye roho ya upendo kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa. Kiongozi na viongozi ni watu wastaarabu. Lakini nimeanza kuingiwa na mashaka ya kushindwa kujua kama tutafika salama, Nitatoa mfano kwa machache
1. Kujivuna ushindi wa kumpiga adui aliyefungwa miguu na mikono
Hili linatudhalilisha sana sio ndani tu bali hata nje ya nchi. Viongozi wa CCM wamekuwa wakijitapa huku na kule kufanikiwa kuiangamaiza UKAWA lakini ajabu ni kwamba wakati CCM ikiwa huru kufanya siasa za wazi na vikao vya ndani, wapinzani hususani CHADEMA wanakamatwa hata wanapofanya vikao vya ndani. CHADEMA wamekuwa wapole na kuachana na siasa za majukwani na kubaki na vikao vya ndani, lakini bado hata huko wanafuatwa na kuwekwa ndani. Huu ni ustaarabu gani jamani.

2. Zoezi la ukaguzi wa vyeti wafanyakazi wa umma kufanywa kisiasa

Zoezi la vyeti kwa watumishi ni zoezi lililofanywa kwa mihemko ya kisiasa kama sio kutaka kiki kwa pikipiki. Kitaalam zoezi kama hilo lingefanywa kwa weledi na shirikishi badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kudhalilisha watu wasio husika.
Kiweledi zoezi hili lilitakiwa lifanyike kwa kina na kuwa na mawasiliano ya karibu kati ya kamati na wakurugenzi. Mawasiliano ya ndani kati ya kamati ya wataalam na wakurugenzi ingesaidia sana kupembua kwa umakini wote wasiohusika na kubaki na wale ‘’pure’’ tu, ndipo majina yangekabidhiwa kwa rais na kutolewa kwa umma. Kurudiwa-rudiwa kwa zoezi hili na baadhi ya watu kuingizwa kimakosa ni dhahiri kwamba kulikuwa na siasa nyuma ya kamati ya wataalam. Mmedhalilisha sana watu wasiohusika wakati kulikuwa na namna ya kuepuka yote haya.
3. Matukio ya mauaji Kibiti kuhusishwa na milengo ya kisiasa
Kauli zimetolewa na wakubwa kuanzia Dr.John, PM Majaliwa na waziri Mwigulu kwamba mbona wanaouliwa ni wa chama kimoja tu. Kiukweli mauaji ya Kibiti yanaumiza sana, lakini iweje kauli kama hizi za kutugawa zinatokana na viongozi. Picha gani inataka kuletwa na viongozi. Kauli kama hizi zinatonesha kidonda cha mgawanyiko uliopo kati ya watu wenye ideology tofauti.
4. Kauli za kibabe na kukataza mawazo kinzani.
  • Nilistajabishwa sana na kauli kupiga marufuku kupinga agizo la rais kuhusu wanafunzi wanaopata mimba. Nchi hii sio ya kidikteta ni ya kidemokrasia. Hata kama rais yupo sahihi lakini ni kweli tumefikia kiwango cha kukatazana kutoa mawazo tofauti na rais?
  • Ile kauli baada ya Lowasa kutaka mashehe wa Zanzibar wapelekwe mahakamani. Kwamba polisi wasiangalie sura wala mwendo wa mtu ''mchochezi''........Mwendo??Mwendo wa Lowasa unaosababishwa na maradhi??!!!!
  • Ile kauli ya rais kuwakaripia wabunge waliomtembelea Kamanda Lema akiwa gerezani ni wasaliti, haitatuacha salama
  • Matusi makubwa makubwa aliyotukana Rais Mstaafu Mkapa wakati wa kampeni na ambayo hata juzi ameendelea kutukana watanzania wenye mawazo tofauti kwamba ni Wapumbavu na Malofa
5. Uvamizi wa Kituo cha Habari cha Clouds Media
Hili lihitaji kulizungumzia, lakini jambo nili sio la kistaarabu kabisa na bahati mbaya zaidi hata Rais aliposhauriwa kumfukuza kazi RC Makonda mnajua majibu aliyoyatoa
Nauli tena kwa mara nyingine, Is government of ‘’Awamu ya 5’’ uncivilized?
Naomba majibu

Kitu kinachomufethesha Rais Magufuli ni ushamba, kisomo pekee hakitoshi. Rais Magufuli anatakiwa ajichanganye na Viongozi wengine pia kabula ya uongozi wake angesafiri nchi mbali mbali na kujifunza ustaarabu na sheria za dunia. Hii ndiyo maana wanafunzi wa nchi za Ulaya wakimaliza masomo yao ya vyuo vikuu wanasafiri (back packers) kujifunza kwa kuiona dunia na nazingara yake. Hawasafiri kifahari kama vile alivyokuwa akisafiri Rais wetu Kikwet, wanasafiri kimasikini, na hata wanaishi na wenyji na kukaa kwenye vi hotels vidovidogo, hata siku moja wakiwa wakubwa wa nchi wanaijuwa vizuri dunia na mazingara yake. Rais wetu hayuko exposed, hajui sheria, kauri yake ndiyo sheria anasahau kabisa nchi hii ina Katiba, , ingawaje nia yake nzuri. Maamuzi yake anayofanya yanamuharibia jina, na anaonekana hana tofauti ya mtu asiyesoma. Uamuzi wake wa vyeti, uamuzi wake wa watoto wadogo wanaopata mimba kuwanyima kuendelea na elimu Wakati bunge limepitisha na kadharika, vinaonyesha ya kuwa elimu yake ya nawazo ni ndogo na Hanoi mbali.

Wananchi wamemunga mkono kwa juhudi zake za kupigana na wezi wa Mali zetu, lakini uamuzi wake mwingine unaletwa chuki, sio tu kwa Watanzania na kwa jamii ulimwenguni. Ukiwashambulia watoto na wakinamama , umewashambulia watoto na wakiwa mama duniani kote. Na kwa kuwa Watanzania tuna Uwoga wa kijinga, hata walio karibu naye wanaogopa kumwambia ingawaje vitendo vyake vinauzi, ni kama yeye alipokuwa kwenye serikali ya nne mambo mengi yalikuwa yakimuuzi sana lakini hakudhubutu kufunguwa mudomo mpaka aliposhika madaraka. Lazima serikali ikubali kuambiwa, na sio ikiambiwa ukweli, iweke watu ndani kinyume cha sheria. Tanzania siyo ya mtu binafsi ni yetu wote.
 
Hivi kuna tajiri Mtumwa ?
Funny,isn't it.Inaelekea hujui hata maana halisi ya utumwa, unadhani utumwa ni kumfanyia mtu kazi tu,pole!Unaweza ukatumikishwa kimawazo kwa kutumia covert technologies,indoctrination and brainwashing.Yaani unafanya mambo ambayo hayatoki from the inner you,ni mawazo yaliyopandikizwa.Ndio maana nikasema you are mind controlled.Utumwa huu ni mbaya,kwa kuwa you even do not know that you are a slave,kama wewe,so you can't call it quits.Mwalimu Nyerere aliliona hili.
 
Back
Top Bottom