Is the Fifth Phase Government uncivilized?

Ruzuku ni kwa ajili ya mambo yafuatayo:-
1.Shuhuli za chama,ziko nyingi.Shuhuli sio mikutano tu.
2.Mikutano ya campaign katika wakati muafaka.
Hoja zako hazi justfy unalo taka tuamini.Ok katiba hutaki kuirejea. Ruzuku hutoka monthly, kuna uchaguzi kila mwezi????.....mkuu hoja zako ni weak/hewa.
 
Hoja zako hazi justfy unalo taka tuamini.Ok katiba hutaki kuirejea. Ruzuku hutoka monthly, kuna uchaguzi kila mwezi????.....mkuu hoja zako ni weak/hewa.
Hiyo ni conclusion yako mkuu,lakini ukweli utabaki.Jioni njema.
 
Hiyo ni conclusion yako mkuu,lakini ukweli utabaki.Jioni njema.
Ukweli upi? Kwamba hakuna haja ya kuirejea katiba.....kwako ndo ukweli unao usema una baki?. Wewe mwenyewe ndo umesema matumizi ya ruzuku ni kwenye chaguzi ilhali ruzuku hutoka kila mwezi.......yahani serikali inatoa pesa za kufanya kazi ilizo zipiga marufuku!!!!!!!?????.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom