Is the Fifth Phase Government uncivilized?

Hiyo nibkawaida ya watu wenye "chip on their shoulder".

Magufuli ana hangups na psychological issues kutika umasikini na matatizo ya familia alipokulia na mpaka leo yanatuletea matatizo kwenye urais wake.

Ndiyo maana kawanyima Wahaya mpaka msaada wa tetemeko waliochangiwa.

Now what kind of president does that?

Sent from my Kimulimuli
Inasikitisha sana !
 
Nadhani unataka kutuambia kwamba Rais Magufuli sio civilized, ingawa naona Mkapa naye kaunganishwa.Hata hivyo umeshindwa ku-connect vizuri mawazo yako, ili hatimaye uweze kupata mtiririko mzuri.Kwa jinsi hiyo bandiko lako lingeweza kueleweka vizuri zaidi.

Kwa sehemu nakubaliana na wewe kwamba Mkapa sio civilized,hasa ukizingatia matamshi yake dhidi ya Watanzania kwa ujumla wetu, ambayo yamekuwa na utata mwingi.Hata hivyo sikubaliani na wewe kuhusu Rais Magufuli.Frankly he does not deserve to be called uncivilized. Sioni baya mno alilolifanya mpaka aonekane kwamba ni uncivilized.

At most he should be praised for his efforts.Mengi anayofanya ni mazuri, na yana lengo la kuhakisha kwamba tunafika salama, tofauti na wewe unavyodhani, hata kama kwa sasa hili haliko wazi,labda kwa sababu ya agenda zetu za siri au ufahamu wako mdogo.To me, hizi ni juhudi za makusudi za kumkatisha tamaa Rais.
Ni vigumu kuwa na matarajio ya kufika salama penye chuki na visasi!
 
Nadhani unataka kutuambia kwamba Rais Magufuli sio civilized, ingawa naona Mkapa naye kaunganishwa.Hata hivyo umeshindwa ku-connect vizuri mawazo yako, ili hatimaye uweze kupata mtiririko mzuri.Kwa jinsi hiyo bandiko lako lingeweza kueleweka vizuri zaidi.

Kwa sehemu nakubaliana na wewe kwamba Mkapa sio civilized,hasa ukizingatia matamshi yake dhidi ya Watanzania kwa ujumla wetu, ambayo yamekuwa na utata mwingi.Hata hivyo sikubaliani na wewe kuhusu Rais Magufuli.Frankly he does not deserve to be called uncivilized. Sioni baya mno alilolifanya mpaka aonekane kwamba ni uncivilized.

At most he should be praised for his efforts.Mengi anayofanya ni mazuri, na yana lengo la kuhakisha kwamba tunafika salama, tofauti na wewe unavyodhani, hata kama kwa sasa hili haliko wazi,labda kwa sababu ya agenda zetu za siri au ufahamu wako mdogo.To me, hizi ni juhudi za makusudi za kumkatisha tamaa Rais.

Rais Magufuli ameingia serikalini na nia nzuri sana. Alitupa hope Watanzania wengi. Amefanya vitendo vya kutetea haki zetu na Mali zetu Wakati MARAIS waliopita walishindwa. Kitu kinachomuangusha bado ana nawazo ya kizamani na ya kishamba ya kutawala na amri na siyo kwa kushauriana. Rais Magufuli hafuati sheria ya katiba ya nchi na sheria za ulimwengu, Tanzania ni nchi ambao ni member ya mashirika mbali mbali duniani, lazima aelewe sheria tulizoahidi haswa za kuchunga haki za binaadamu. Tanzania ni ya Watanzania wote, lazima asikilize maoni ya Watanzania Ndiyo maana tukawa na bunge. Kama atalipuuza bunge kwa kuwa yeye ni Rais basi bunge lifungwe. Yeye kusimama na kusema hawezi kuwaruhusu watoto waliopata ujauzito kuendelea na masomo Wakati bunge limepitisha huo sio ustaarabu, kuweka kid on da chumvi kufumbia macho Viongozi wanaotowa amri ya kuwaweka watu ndani kinyume. Kweli yeye ni `Rais aheshimiwe, lakini heshima hutoka pande zote mbili. Yeye mwenyewe alipokuwa kwenye serikali ya Kikwete vitu vingi vilikuwa vikimuuzi na hata akageuziwa kesi ya samaki ikawa yeye ni mshitakiwa ingawaje alikuwa akitenda haki ya Watanzania je alipenda?

Na kwa nini anataka kuwaziba Watanzania midomo kutetea haki zao na sheria ambazo Tanzania imepitisha, kama sio ushamba na kutokuwa na ustaarabu ni nini basi? Hii inaonyesha wazi kabisa elimu yake ya kimawazo ni ndogo sana na yakishamba, otherwise he could be the best leader.
 
Rais Magufuli ameingia serikalini na nia nzuri sana. Alitupa hope Watanzania wengi. Amefanya vitendo vya kutetea haki zetu na Mali zetu Wakati MARAIS waliopita walishindwa. Kitu kinachomuangusha bado ana nawazo ya kizamani na ya kishamba ya kutawala na amri na siyo kwa kushauriana. Rais Magufuli hafuati sheria ya katiba ya nchi na sheria za ulimwengu, Tanzania ni nchi ambao ni member ya mashirika mbali mbali duniani, lazima aelewe sheria tulizoahidi haswa za kuchunga haki za binaadamu. Tanzania ni ya Watanzania wote, lazima asikilize maoni ya Watanzania Ndiyo maana tukawa na bunge. Kama atalipuuza bunge kwa kuwa yeye ni Rais basi bunge lifungwe. Yeye kusimama na kusema hawezi kuwaruhusu watoto waliopata ujauzito kuendelea na masomo Wakati bunge limepitisha huo sio ustaarabu, kuweka kid on da chumvi kufumbia macho Viongozi wanaotowa amri ya kuwaweka watu ndani kinyume. Kweli yeye ni `Rais aheshimiwe, lakini heshima hutoka pande zote mbili. Yeye mwenyewe alipokuwa kwenye serikali ya Kikwete vitu vingi vilikuwa vikimuuzi na hata akageuziwa kesi ya samaki ikawa yeye ni mshitakiwa ingawaje alikuwa akitenda haki ya Watanzania je alipenda?

Na kwa nini anataka kuwaziba Watanzania midomo kutetea haki zao na sheria ambazo Tanzania imepitisha, kama sio ushamba na kutokuwa na ustaarabu ni nini basi? Hii inaonyesha wazi kabisa elimu yake ya kimawazo ni ndogo sana na yakishamba, otherwise he could be the best leader.
Tanzania katika nchi za dunia 196 is ranked 186th kwa ujinga wa watu wake.Katika nchi ya watu wa namna hii mama Obama,ungetegemea rais aweje.WaTz ni watu wa ajabu sana.

Furthermore kwa mahali katika ujinga wetu tulipokuwa tumefika,nadhani tunahitaji Rais wa calibre ya Magufuli,ngoja atunyooshe kidogo.Mambo mengi yanayotokea katika nchi yetu ni out of shear stupidity.
 
Tanzania katika nchi za dunia 196 is ranked 186th kwa ujinga wa watu wake.Katika nchi ya watu wa namna hii mama Obama,ungetegemea rais aweje.WaTz ni watu wa ajabu sana.

Furthermore kwa mahali katika ujinga wetu tulipokuwa tumefika,nadhani tunahitaji Rais wa calibre ya Magufuli,ngoja atunyooshe kidogo.Mambo mengi yanayotokea katika nchi yetu ni out of shear stupidity.

Basi atunyooshe huku anatupa elimu, otherwise na ujinga na kunyooshwa bila ya elimu tutakuwaje?
 
Rais Magufuli ameingia serikalini na nia nzuri sana. Alitupa hope Watanzania wengi. Amefanya vitendo vya kutetea haki zetu na Mali zetu Wakati MARAIS waliopita walishindwa. Kitu kinachomuangusha bado ana nawazo ya kizamani na ya kishamba ya kutawala na amri na siyo kwa kushauriana. Rais Magufuli hafuati sheria ya katiba ya nchi na sheria za ulimwengu, Tanzania ni nchi ambao ni member ya mashirika mbali mbali duniani, lazima aelewe sheria tulizoahidi haswa za kuchunga haki za binaadamu. Tanzania ni ya Watanzania wote, lazima asikilize maoni ya Watanzania Ndiyo maana tukawa na bunge. Kama atalipuuza bunge kwa kuwa yeye ni Rais basi bunge lifungwe. Yeye kusimama na kusema hawezi kuwaruhusu watoto waliopata ujauzito kuendelea na masomo Wakati bunge limepitisha huo sio ustaarabu, kuweka kid on da chumvi kufumbia macho Viongozi wanaotowa amri ya kuwaweka watu ndani kinyume. Kweli yeye ni `Rais aheshimiwe, lakini heshima hutoka pande zote mbili. Yeye mwenyewe alipokuwa kwenye serikali ya Kikwete vitu vingi vilikuwa vikimuuzi na hata akageuziwa kesi ya samaki ikawa yeye ni mshitakiwa ingawaje alikuwa akitenda haki ya Watanzania je alipenda?

Na kwa nini anataka kuwaziba Watanzania midomo kutetea haki zao na sheria ambazo Tanzania imepitisha, kama sio ushamba na kutokuwa na ustaarabu ni nini basi? Hii inaonyesha wazi kabisa elimu yake ya kimawazo ni ndogo sana na yakishamba, otherwise he could be the best leader.
mi nilishangaa MTU mwenye PHD kukomalia issue ya vitoto vinavyodanganywa na mibaba yenye mifedha vikabeba ujauzito.
mi kama raisi na msomi wa PhD ningekuja na Sera ya kuwaprotect wasichana wall katika mazingira hatarishi kwa kuwajengea mabweni nchi nzima. wakae shule na kuwe na ulinzi.

ngosha mshamba sana
 
Basi atunyooshe huku anatupa elimu, otherwise na ujinga na kunyooshwa bila ya elimu tutakuwaje?
Katika kunyooshwa huko huko tunajifunza mama Obama.Unaona kwamba kumbe hili halikupaswa kuwa hivi,linapaswa kuwa hivi.

Namhurumia Magufuli sana,ana kazi ngumu.Ni vigumu sana kuwaongoza watu ambao hawajui kwamba wana matatizo,lakini pia ambao hata wakionyoshwa matatizo yao, hawa-appreciate kwamba hayo kweli ndio matatizo yao na kwamba yanahitaji ufumbuzi,and day in and day out they continue bending corners.He has real hard time.
 
Kamusi ya TUKI imetafsiri maana ya neno Civilization. Imetafsiri kuwa ni ustaarabu; hali bora ya kuishi, Hali ya kuwa mstaarabu na kuheshimiana

Mimi ni mmoja kati ya watu wanaomini serikali hii inaongozwa mtu mwenye mapenzi na hofu ya Mungu na mwenye roho ya upendo kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa. Kiongozi na viongozi ni watu wastaarabu. Lakini nimeanza kuingiwa na mashaka ya kushindwa kujua kama tutafika salama, Nitatoa mfano kwa machache
1. Kujivuna ushindi wa kumpiga adui aliyefungwa miguu na mikono
Hili linatudhalilisha sana sio ndani tu bali hata nje ya nchi. Viongozi wa CCM wamekuwa wakijitapa huku na kule kufanikiwa kuiangamaiza UKAWA lakini ajabu ni kwamba wakati CCM ikiwa huru kufanya siasa za wazi na vikao vya ndani, wapinzani hususani CHADEMA wanakamatwa hata wanapofanya vikao vya ndani. CHADEMA wamekuwa wapole na kuachana na siasa za majukwani na kubaki na vikao vya ndani, lakini bado hata huko wanafuatwa na kuwekwa ndani. Huu ni ustaarabu gani jamani.

2. Zoezi la ukaguzi wa vyeti wafanyakazi wa umma kufanywa kisiasa

Zoezi la vyeti kwa watumishi ni zoezi lililofanywa kwa mihemko ya kisiasa kama sio kutaka kiki kwa pikipiki. Kitaalam zoezi kama hilo lingefanywa kwa weledi na shirikishi badala ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari na kudhalilisha watu wasio husika.
Kiweledi zoezi hili lilitakiwa lifanyike kwa kina na kuwa na mawasiliano ya karibu kati ya kamati na wakurugenzi. Mawasiliano ya ndani kati ya kamati ya wataalam na wakurugenzi ingesaidia sana kupembua kwa umakini wote wasiohusika na kubaki na wale ‘’pure’’ tu, ndipo majina yangekabidhiwa kwa rais na kutolewa kwa umma. Kurudiwa-rudiwa kwa zoezi hili na baadhi ya watu kuingizwa kimakosa ni dhahiri kwamba kulikuwa na siasa nyuma ya kamati ya wataalam. Mmedhalilisha sana watu wasiohusika wakati kulikuwa na namna ya kuepuka yote haya.
3. Matukio ya mauaji Kibiti kuhusishwa na milengo ya kisiasa
Kauli zimetolewa na wakubwa kuanzia Dr.John, PM Majaliwa na waziri Mwigulu kwamba mbona wanaouliwa ni wa chama kimoja tu. Kiukweli mauaji ya Kibiti yanaumiza sana, lakini iweje kauli kama hizi za kutugawa zinatokana na viongozi. Picha gani inataka kuletwa na viongozi. Kauli kama hizi zinatonesha kidonda cha mgawanyiko uliopo kati ya watu wenye ideology tofauti.
4. Kauli za kibabe na kukataza mawazo kinzani.
  • Nilistajabishwa sana na kauli kupiga marufuku kupinga agizo la rais kuhusu wanafunzi wanaopata mimba. Nchi hii sio ya kidikteta ni ya kidemokrasia. Hata kama rais yupo sahihi lakini ni kweli tumefikia kiwango cha kukatazana kutoa mawazo tofauti na rais?
  • Ile kauli baada ya Lowasa kutaka mashehe wa Zanzibar wapelekwe mahakamani. Kwamba polisi wasiangalie sura wala mwendo wa mtu ''mchochezi''........Mwendo??Mwendo wa Lowasa unaosababishwa na maradhi??!!!!
  • Ile kauli ya rais kuwakaripia wabunge waliomtembelea Kamanda Lema akiwa gerezani ni wasaliti, haitatuacha salama
  • Matusi makubwa makubwa aliyotukana Rais Mstaafu Mkapa wakati wa kampeni na ambayo hata juzi ameendelea kutukana watanzania wenye mawazo tofauti kwamba ni Wapumbavu na Malofa
5. Uvamizi wa Kituo cha Habari cha Clouds Media
Hili lihitaji kulizungumzia, lakini jambo nili sio la kistaarabu kabisa na bahati mbaya zaidi hata Rais aliposhauriwa kumfukuza kazi RC Makonda mnajua majibu aliyoyatoa
Nauli tena kwa mara nyingine, Is government of ‘’Awamu ya 5’’ uncivilized?
Naomba majibu

Majibu ni "He is Uncivilised" Na wala hana hofu ya Mungu ana act tu,ila anayo hofu ya mungu maana hata ikawa anaohofu ya upinzani pia.
 
Katika kunyooshwa huko huko tunajifunza mama Obama.Unaona kwamba kumbe hili halikupaswa kuwa hivi,linapaswa kuwa hivi.

Namhurumia Magufuli sana,ana kazi ngumu.Ni vigumu sana kuwaongoza watu ambao hawajui kwamba wana matatizo,lakini pia ambao hata wakionyoshwa matatizo yao, hawa-appreciate kwamba hayo kweli ndio matatizo yao na kwamba yanahitaji ufumbuzi,and day in and day out they continue bending corners.He has real hard time.

Tatizo JPM mwenyewe haelewi anafanya mini.Kwa maana hana vission wala mission.
 
Nadhani unataka kutuambia kwamba Rais Magufuli sio civilized, ingawa naona Mkapa naye kaunganishwa.Hata hivyo umeshindwa ku-connect vizuri mawazo yako, ili hatimaye uweze kupata mtiririko mzuri.Kwa jinsi hiyo bandiko lako lingeweza kueleweka vizuri zaidi.

Kwa sehemu nakubaliana na wewe kwamba Mkapa sio civilized,hasa ukizingatia matamshi yake dhidi ya Watanzania kwa ujumla wetu, ambayo yamekuwa na utata mwingi.Hata hivyo sikubaliani na wewe kuhusu Rais Magufuli.Frankly he does not deserve to be called uncivilized. Sioni baya mno alilolifanya mpaka aonekane kwamba ni uncivilized.

At most he should be praised for his efforts.Mengi anayofanya ni mazuri, na yana lengo la kuhakisha kwamba tunafika salama, tofauti na wewe unavyodhani, hata kama kwa sasa hili haliko wazi,labda kwa sababu ya agenda zetu za siri au ufahamu wako mdogo.To me, hizi ni juhudi za makusudi za kumkatisha tamaa Rais.

Usipate shida mkuu, kijana kapewa MB za bure na memo, kazi yake ni kupost tu, wala hajui nini kapost. Tatizo la ukosefu wa ajira ni kubwa sana.
 
Hiyo ni kawaida ya watu wenye "chip on their shoulder".

Magufuli ana hangups na psychological issues kutoka umasikini na matatizo ya familia alipokulia na mpaka leo yanatuletea matatizo kwenye urais wake.

Ndiyo maana kawanyima Wahaya mpaka msaada wa tetemeko waliochangiwa.

Now what kind of president does that?

Sent from my Kimulimuli

wahaya kaombeni msaada tff si mmejazana huko
 
mi nilishangaa MTU mwenye PHD kukomalia issue ya vitoto vinavyodanganywa na mibaba yenye mifedha vikabeba ujauzito.
mi kama raisi na msomi wa PhD ningekuja na Sera ya kuwaprotect wasichana wall katika mazingira hatarishi kwa kuwajengea mabweni nchi nzima. wakae shule na kuwe na ulinzi.

ngosha mshamba sana
Ngosha mshamba sana pamoja na kukaa mjini muda mrefu haijamsaidia
 
Usiamini chochote juu ua mwanadamu mwenzako, na hasa mwanasiasa. Kama ni mhofia mungu wake, basi huyo mungu (shetani) ndie anayejua, na ya familia yake hali kadhalika. Ila unayoyaona (kushuhudia) kama ulivyoorodhesha, huo ndio uhalisia wa mambo

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom