Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,506
- 217,767
Inasikitisha sana !Hiyo nibkawaida ya watu wenye "chip on their shoulder".
Magufuli ana hangups na psychological issues kutika umasikini na matatizo ya familia alipokulia na mpaka leo yanatuletea matatizo kwenye urais wake.
Ndiyo maana kawanyima Wahaya mpaka msaada wa tetemeko waliochangiwa.
Now what kind of president does that?
Sent from my Kimulimuli