Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,983
Barbarism nilianza kuiongela hapa JF baada ya watu kuingiliwa kwenye shughuli za misiba/mazishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuuma hiyo
Yet, is totally uncivilized government. It's tutsian.what is civilization? hapo ndio pakuanzia
Kwa akili zako fupi za one track mimi kuandika hivyo ushaniona Muhaya.
No wonder unatetea mjinga mwenzako.
Kwa akili zako fupi za one track mimi kuandika hivyo ushaniona Muhaya.
No wonder unatetea mjinga mwenzako.
Umekaa kisiasa sana ilhali watu wanajadili mambo ya muhimu... Mara wahaya wakaombe misaada tff et huko ndipo walipojazana na kwani michango iliyotolewa ilipelekwa tffwewe unayemtetea mwenye akili mwenzako Luwasa mmefika nae wapi zaidi ya kuchafua jukwaa tu Geita
Katika kunyooshwa huko huko tunajifunza mama Obama.Unaona kwamba kumbe hili halikupaswa kuwa hivi,linapaswa kuwa hivi.
Namhurumia Magufuli sana, kwa kazi ngumu.Ni vigumu sana kuwaongoza watu ambao hawajui kwamba wana matatizo,lakini pia ambao hata wakionyoshwa matatizo yao, hawa-appreciate kwamba hayo kweli ndio matatizo yao na kwamba yanahitaji ufumbuzi,and day in and day out they continue bending corners.He has real hard time.
Mkulu wa kaya kiukweli ana kaulimbukeni na hilo halipingiki. Kuna mambo anafanya vizuri au anaonyesha dhamira ya dhati kuyafanya vizuri. Ila kuna mambo ambayo mengine sio ya muhimu sana lakini anayatolea mapovu kwelikweli, kwa mfano suala la kuzuia mikutano ya vyama pinzani halikuwa na umuhimu wowote bali ni ushamba, ubabe na kupenda sifa. Ukiwa kiongozi na ukawa unavunja katiba huwezi kueleweka kwa watu wenye akili zao timamu, pia kutelekeza mchakato wa katiba mpya kunatia shaka sana kama kweli ana dhamira ya dhati na hili halihitaji itikadi za kisiasa hata kwa mimi wa chama chake.Nadhani unataka kutuambia kwamba Rais Magufuli sio civilized, ingawa naona Mkapa naye kaunganishwa.Hata hivyo umeshindwa ku-connect vizuri mawazo yako, ili hatimaye uweze kupata mtiririko mzuri.Kwa jinsi hiyo bandiko lako lingeweza kueleweka vizuri zaidi.
Kwa sehemu nakubaliana na wewe kwamba Mkapa sio civilized,hasa ukizingatia matamshi yake dhidi ya Watanzania kwa ujumla wetu, ambayo yamekuwa na utata mwingi.Hata hivyo sikubaliani na wewe kuhusu Rais Magufuli.Frankly he does not deserve to be called uncivilized. Sioni baya mno alilolifanya mpaka aonekane kwamba ni uncivilized.
At most he should be praised for his efforts.Mengi anayofanya ni mazuri, na yana lengo la kuhakisha kwamba tunafika salama, tofauti na wewe unavyodhani, hata kama kwa sasa hili haliko wazi,labda kwa sababu ya agenda zetu za siri au ufahamu wako mdogo.To me, hizi ni juhudi za makusudi za kumkatisha tamaa Rais.
nimeipenda comment yako, kama hajaonyeshwa bastola basi atakuwa empty upstair a.k.a ZombieUnaandika huku umeonyeshwa bastola au uko huru ?
Hakuna tajiri mtumwa mkuu, huyo jamaa ana matatizo kidogo. Kama hawezi kuuona ukweli wa mambo yanayoendelea nchi hii basi ana tatizo kidogo.Hivi kuna tajiri Mtumwa ?
Mkuu mbona unaandika kwa typing errors nyingi kiasi hicho, yaani mpaka mtu anaishiwa hamu ya kusoma, kwa nini usiandike taratibu then ukapitia ulichoandika kabla ya kupost? Tuwe makini kwa kweli sio uandishi wa mtu aliye makini hata kidogo makosa mia kidogo.Kitu kinachomufethesha Rais Magufuli ni ushamba, kisomo pekee hakitoshi. Rais Magufuli anatakiwa ajichanganye na Viongozi wengine pia kabula ya uongozi wake angesafiri nchi mbali mbali na kujifunza ustaarabu na sheria za dunia. Hii ndiyo maana wanafunzi wa nchi za Ulaya wakimaliza masomo yao ya vyuo vikuu wanasafiri (back packers) kujifunza kwa kuiona dunia na nazingara yake. Hawasafiri kifahari kama vile alivyokuwa akisafiri Rais wetu Kikwet, wanasafiri kimasikini, na hata wanaishi na wenyji na kukaa kwenye vi hotels vidovidogo, hata siku moja wakiwa wakubwa wa nchi wanaijuwa vizuri dunia na mazingara yake. Rais wetu hayuko exposed, hajui sheria, kauri yake ndiyo sheria anasahau kabisa nchi hii ina Katiba, , ingawaje nia yake nzuri. Maamuzi yake anayofanya yanamuharibia jina, na anaonekana hana tofauti ya mtu asiyesoma. Uamuzi wake wa vyeti, uamuzi wake wa watoto wadogo wanaopata mimba kuwanyima kuendelea na elimu Wakati bunge limepitisha na kadharika, vinaonyesha ya kuwa elimu yake ya nawazo ni ndogo na Hanoi mbali.
Wananchi wamemunga mkono kwa juhudi zake za kupigana na wezi wa Mali zetu, lakini uamuzi wake mwingine unaletwa chuki, sio tu kwa Watanzania na kwa jamii ulimwenguni. Ukiwashambulia watoto na wakinamama , umewashambulia watoto na wakiwa mama duniani kote. Na kwa kuwa Watanzania tuna Uwoga wa kijinga, hata walio karibu naye wanaogopa kumwambia ingawaje vitendo vyake vinauzi, ni kama yeye alipokuwa kwenye serikali ya nne mambo mengi yalikuwa yakimuuzi sana lakini hakudhubutu kufunguwa mudomo mpaka aliposhika madaraka. Lazima serikali ikubali kuambiwa, na sio ikiambiwa ukweli, iweke watu ndani kinyume cha sheria. Tanzania siyo ya mtu binafsi ni yetu wote.
Mkuu mbona unaandika kwa typing errors nyingi kiasi hicho, yaani mpaka mtu anaishiwa hamu ya kusoma, kwa nini usiandike taratibu then ukapitia ulichoandika kabla ya kupost? Tuwe makini kwa kweli sio uandishi wa mtu aliye makini hata kidogo makosa mia kidogo.
Mkuu sikumaanisha elimu bali makosa ya kiuandishi yanayoepukika, sorry kama nimekukwaza ila nimehisi wewe si mbongo kwa kuzaliwa. Hilo neno niifafanishe sio common hapa bongo, ila lengo langu lilikuwa kuepusha hizo typing errors na si vinginevyo.Elimu yangu mbovu niliyoipata Tanzania. Samahani. Ni wapi hujaelewa niifafanishe?
Mkuu tuko pamoja,ila wakati mwingine watu wa vyama vya upinzani wana udhi.Watu hawa hata pale ambapo hawapashwi kupinga wanapinga tu,for the sake of it,ili wa-justify their precense,bila kujua kwamba wanajidhalilisha kwa wananchi.Tabia za namna hii ni za kitoto sana.Mkuu Rais Magufuli sio malaika, kwa hiyo wakati mwingine atakosea katika maamuzi yake in trying to contain this childish behaviour of the oposition.To me overall he is doing fine,na kama ningeambiwa nimfanyie assessment, ningempa 75%.Jamani tuchukuliane nae,after all he is not a politician.Kwa tabia za Watanzania zilivyo, we need a President of the calibre of Magufuli.Ngoja atunyooshe kwanza tulizidi.Mkulu wa kaya kiukweli ana kaulimbukeni na hilo halipingiki. Kuna mambo anafanya vizuri au anaonyesha dhamira ya dhati kuyafanya vizuri. Ila kuna mambo ambayo mengine sio ya muhimu sana lakini anayatolea mapovu kwelikweli, kwa mfano suala la kuzuia mikutano ya vyama pinzani halikuwa na umuhimu wowote bali ni ushamba, ubabe na kupenda sifa. Ukiwa kiongozi na ukawa unavunja katiba huwezi kueleweka kwa watu wenye akili zao timamu, pia kutelekeza mchakato wa katiba mpya kunatia shaka sana kama kweli ana dhamira ya dhati na hili halihitaji itikadi za kisiasa hata kwa mimi wa chama chake.
Mkuu sikumaanisha elimu bali makosa ya kiuandishi yanayoepukika, sorry kama nimekukwaza ila nimehisi wewe si mbongo kwa kuzaliwa. Hilo neno niifafanishe sio common hapa bongo, ila lengo langu lilikuwa kuepusha hizo typing errors na si vinginevyo.
Ame piga bann upande wa pili, hilo ni tatizo namba moja.Nadhani unataka kutuambia kwamba Rais Magufuli sio civilized, ingawa naona Mkapa naye kaunganishwa.Hata hivyo umeshindwa ku-connect vizuri mawazo yako, ili hatimaye uweze kupata mtiririko mzuri.Kwa jinsi hiyo bandiko lako lingeweza kueleweka vizuri zaidi.
Kwa sehemu nakubaliana na wewe kwamba Mkapa sio civilized,hasa ukizingatia matamshi yake dhidi ya Watanzania kwa ujumla wetu, ambayo yamekuwa na utata mwingi.Hata hivyo sikubaliani na wewe kuhusu Rais Magufuli.Frankly he does not deserve to be called uncivilized. Sioni baya mno alilolifanya mpaka aonekane kwamba ni uncivilized.
At most he should be praised for his efforts.Mengi anayofanya ni mazuri, na yana lengo la kuhakisha kwamba tunafika salama, tofauti na wewe unavyodhani, hata kama kwa sasa hili haliko wazi,labda kwa sababu ya agenda zetu za siri au ufahamu wako mdogo.To me, hizi ni juhudi za makusudi za kumkatisha tamaa Rais.
Sawa amepiga ban mkuu,lakini nimeendelea kusisitiza kwamba upinzani hawana sababu za msingi kwa sasa ya kufanya mikutano kwa kuwa hawaongozi nchi.Upinzani wafanye mikutano kwa sababu gani na ili iweje?CCM wanafanya mikutano kwa kuwa ndio wanao ongoza nchi na wanafanya mikutano ili kutoa maelekezo ya kiutendaji,kuonyesha dira,na kuhamasisha wananchi katika shuhuli za maendeleo.Upinzani hawana sababu hizi.Sana sana wakiruhusiwa kwa jinsi tunavyowajua wataanza criticisms zao ambazo sio constructive,ku-discourage wananchi kushiriki kwenye maendeleo,kuidhalilisha institution ya Urais na matamshi mengine tata yenye nia ovu,badala ya wote kushirikiana kuijenga nchi.Ame piga bann upande wa pili, hilo ni tatizo namba moja.
Irejee sheria ya vyama vya siasa, alafu ruzuku ni za kazi gani?Sawa amepiga ban mkuu,lakini nimeendelea kusisitiza kwamba upinzani hawana sababu za msingi kwa sasa ya kufanya mikutano kwa kuwa hawaongozi nchi.Upinzani wafanye mikutano kwa sababu gani na ili iweje?CCM wanafanya mikutano kwa kuwa ndio wanao ongoza nchi na wanafanya mikutano ili kutoa maelekezo ya kiutendaji,kuonyesha dira,na kuhamasisha wananchi katika shuhuli za maendeleo.Upinzani hawana sababu hizi.Sana sana wakiruhusiwa kwa jinsi tunavyowajua wataanza criticisms zao ambazo sio constructive,ku-discourage wananchi kushiriki kwenye maendeleo,kuidhalilisha institution ya Urais na matamshi mengine tata yenye nia ovu,badala ya wote kushirikiana kuijenga nchi.
Upinzani wanadai kwamba katiba imeruhusu kila chama kufanya mikutano,ni sawa.Hata hivyo katiba haijasema mikutano hiyo ifanywe lini.Wapinzani waelewe kwamba serikali haijakataza vyama kufanya mikatano,serikali inachosema ni kwamba mikutano hiyo kwa vyama ambavyo haviongozi dola ifanywe wakati muafaka,wakati wa campaign.Lazima tukumbuke kwamba campaign zimeisha na sasa ni wakati wa kufanya kazi.Hawa wasubiri 2020 wakati wa campaign au watakapo pata nafasi ya kuingia Ikulu.
Ruzuku ni kwa ajili ya mambo yafuatayo:-Irejee sheria ya vyama vya siasa, alafu ruzuku ni za kazi gani?